mchemsho heevi
mliwa anaitamani pia ale.ndizi.na.supu then ajile tena, ..supu baabkubwa kama uko kuzimu vile,
Wapi huku kha!
Hujakosea mkuu.Bila shaka hapo ni Kenya.
mwe! hiyo sura mbona kama katibu wa itikadi na uenezi, mheshimiwa slow slow?
kama cyo yeye basi huyo ni stiv nyenyere, wanaweza kuigiza movie ya mazombie bila kufanya make up na ikatishaMimi simo😂😂😂😂
Ni ndizi ile siyo kipande cha hindi.mliwa anaitamani pia ale.mhindi.na.supu then ajile tena, ..supu baabkubwa kama uko kuzimu vile,