china

  1. mugah di matheo

    JamiiForums Tanzania China yaitaka USA kutowabughudhi wanafunzi wake walio USA

    Kwakile kinachoonekana ni maagizo ya China kwa USA toka wizara ya mambo ya nje ya China Wizara hiyo imesema kuwa. "Tunataka marekani iache kuwasumbua wanafunzi wanaosoma marekani wakitoka China kwa kisingizio cha mahakama" Source CRI kiswahili
  2. mugah di matheo

    JamiiForums Tanzania GE2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

    Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi == CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian...
  3. Ntaghacha

    JamiiForums Tanzania China yaipita Marekani kiuchumi

    IMF Admits China Has Overtaken The US As The World’s Largest Economy; But Why Is The Media Silent?Published 17 hours ago on October 18, 2020By EurAsian Times Desk. The world is waking up to a new reality post the devastating pandemic that brought everything to a grinding halt. One of them is the...
  4. U

    JamiiForums Tanzania Taarifa Kwa Umma: Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru atakuwa na kikao kazi na Balozi wa China Nchini Saa 4:00 leo asubuhi

    Katibu Mkuu wa CCM atafanya Kikao Kazi Na Balozi wa China Mhesh Wang Ke kuanzia saa 4: 00 asubuhi ya leo Oktoba 10, 2020. Matangazo ya moja kwa moja kutokea Ukumbi wa Chuo Cha Uongozi Cha Mwalimu Nyerere Kibaha kupitia Televisheni za TBC na Channel 10 Tafadhali mkumbushe & Mtaarifu mwenzako
  5. Yoyo Zhou

    JamiiForums Tanzania Shenzhen: Alama ya mafanikio ya sera ya mageuzi na ufunguaji mlango nchini China

    Miaka 40 baada ya kuanzishwa kama eneo maalum la kwanza la Ukanda wa Kiuchumi nchini China, Shenzhen imeibuka na kuwa alama ya mageuzi na ufunguaji mlango wa China. Mji huo umebadilika kutoka kijiji cha uvuvi na kuwa mji mkubwa wa viwanda na fedha. Utafiti uliofanywa na Program ya Makazi ya...
  6. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Najua 'Unatania' ila kwa sasa unazidisha na kuharibu kwani Kauli za 'Kingonongono' ni nyingi 'Jukwaani' kuliko 'Kujinadi' Kwako zaidi Kisiasa

    Tafadhali sana badilika upesi na niwaombe pia hata wale walioko karibu nae ( hasa Washauri ) ama wamsaidie au wambadilishe kwani anachokifanya sasa ni 'Kujichoresha' na hadi 'Kujidhalilisha' kwa Watanzania. Haiwezekani Wewe kila ukianza tu 'Kuhutubia' unaacha 'Kujinadi' hasa 'Kisera' Kazi yako...
  7. E

    JamiiForums Tanzania Waagizaji wa smartphone China jumla/rejareja

    Habari za muda huu! Rejea kichwa cha habari hapo Juu sisi ni waagizaji wa smartphones kwa gharama nafuu kutoka China specialized kwenye iphone na Samsung. Mzigo hutumia siku 8-14 kwa maana haizid week 2 unakua ushapata simu yako mpya kabisa na kwa gharama nafuu mno wote tunawakaribisha Kuanzia...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Nauza mashine ya kuranda na kuchana mbao ipo Magomeni Mwembechai lida brand kutoka China, inch 12

    Hallow wana jamvi nimewaletea mashine nyingine ya kuranda na kuchana mbao yenye uwezo mkubwa baada ya ile nyingine kununuliwa bei ni sh. 2,800,000 karibu tuwasiliane bei ni rahisi sana tofauti na ukiagiza nje, pia haina shida yoyote kama unavyoiona kwenye picha ipo kazini. inauzwa kwa kuwa haina...
  9. FrankLutazamba

    JamiiForums Tanzania China itautingisha uchumi wa Marekani ikiwa tu Wanawake wa China watakubali kuzaa na Waafrika

    Ili Uchumi wa Marekani utikisike basi ni mpaka wanawake wa China watakapokubali kuzaa na waafrika ili kupata kizazi chenye nguvu na maarifa kama ilivyokuwa kwa wazungu miaka mingi iliyopita,ila wakijitenga wao kama wao si rahisi
  10. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakenya bana! Kenya in space station deal with China

    Hadi Marekani ameanza kuweweseka China Space Station: A space station deal between Kenya and China has put Kenya in the middle of the latest contest between the United States and China. This is after the US raised alarm that the multi-billion dollar China space programme, of which Kenya is set...
  11. Yoyo Zhou

    JamiiForums Tanzania China yatoa mchango mkubwa na kushiriki katika kazi mbalimbali za UM

    Katika miaka 49 iliyopita tangu China irejeshewe kiti chake halali kwenye Umoja wa Mataifa mwaka1971, imekuwa ikitoa msaada na mchango mkubwa na kuwa mshiriki hai kwenye shughuli mbalimbali za Umoja wa Mataifa. China imedumisha madhumuni na kanuni za Mkataba wa Umoja wa Mataifa, na kudumisha...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Tatizo la kupata maumivu chini ya kitovu kwa mwanaume

    Preview Nina Maumivu chini ya kitovu, takribani ni miezi mitano sasa nime angalia Utra sound wamesema kuna vijiwe,nimetumia dawa lakini maumivu bado yapo pale pale na sina UTI, henia wala tezi dume. Naombeni msaada wenu wakuu
  13. Rahma Salum

    JamiiForums Tanzania Akaunti ya mtandao wa Twitter ya Balozi wa China nchini Uingereza imeonesha kupenda “like” picha yenye maudhui ya ngono

    Ubalozi wa China nchini Uingereza umeomba mtandao wa Twitter kufanyia uchunguzi akaunti ya Liu Xiaoming Balozi wa nchini humo baada kuonesha kupenda maudhui ya picha ya ngono kupitia mtandao huo. Tukio lilitambuliwa mara ya kwanza na Mwanaharakati wa haki za binadamu Uingereza na kusababisha...
  14. Almendezz

    JamiiForums Tanzania Samsung na LG kutowauzia display HUAWEI

    Tarehe ya mwisho ya Septemba 15 inaonekana inazidi kutisha kwa Huawei - laini ya usambazaji ya kampuni hiyo itapungua pamoja na kukatwa kutoka kwa supplier wa chip wa TSMC. Reuters inaripoti (ikinukuu media ya Kikorea) kwamba Samsung Display na LG Display zinatarajiwa kusitisha uuzaji kwa...
  15. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Clip fupi: Sasa nimegundua umuhimu wa Corona virus China, nadhani wanapaswa kupigwa na korusi kingine ili akili ikae sawa

    Nisingependa kutia chumvi kwenye hili, labda hiyo video clip iongee yenyewe, nimeishiwa maneno.
  16. N

    JamiiForums Tanzania China kujenga kambi za kijeshi ndani ya Tanzania na Kenya

    China 'kujenga' kambi za kijeshi Tanzania na Kenya Jeshi la China Getty ImagesCopyright: Getty Images China inafikiria kujenga kambi za kijeshi katika nchi nne za Afrika, kwa mujibu wa ripoti ya idara ya ulinzi ya Marekani. Tanzania, Kenya, Ushelisheli na Angola zimetajwa kuwa miongoni mwa...
  17. The Assassin

    JamiiForums Tanzania Marekani inatarajia kuiingiza SMIC ya China kwenye vikwazo, yenyewe yakataa kuhusika na jeshi la China

    Rais Donald John Trump anatarajia kuiingiza kampuni kubwa ya kutengeneza vifaa vya elektroniki ya China, Semiconductor Manufacturing International Corporation au SMIC ya China kwenye blacklist ya vikwazo kama Huawei wakiituhumu kushirikiana na jeshi la China. Kampuni ya SMIC imekataa vikali...
  18. IAfrika

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania African Economies With the Highest External Chinese Debt in 2017

  19. M

    JamiiForums Tanzania China bridges that are magnificent to view and travel on

    Chinese bridges are among the most developed and required high technology to develop their bridges that are a bit confusing though it required highly skilled engineers to build the bridges. The China government has maximized more capital on the developments thus this has became effective for the...
  20. Naipendatz

    JamiiForums Tanzania Tanzania ni miongoni mwa nchi 6 za mwanzo kutoka Afrika Raia wake kuruhusiwa kuingia China kuanzia Septemba

    Kiambatanisho hapo chini kinajieleza. Sijui ndugu zetu Kenya, Uganda na Rwanda watasemaje sasa. Maana wamekuwa wanatunanga sana sisi na Burundi, Burundi nao wamo. Picha iliyotolewa hapa ni kwamba kuiga western countries kwa kila kitu sio dili tena kwa sasa. Wale waliosema Tanzania itatengwa...
Back
Top Bottom