johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,902
- 141,845
Kwa kweli kiwanda cha Urafiki kina hali mbaya sana na watumishi wake hawajalipwa mishahara kwa miaka kadhaa sasa.
Hivyo ombi la kufutiwa deni la Dola Milioni 15 ambalo Tanzania inadaiwa likikubaliwa basi kiwanda hicho kitarudi mikononi mwa Watanzania na wafanyakazi wa Urafiki haki zao zitazingatiwa.
Rais Magufuli amesisitiza japo China hawanaga utaratibu wa kusamehe madeni ana imani ombi letu litaangaliwa kwa jicho la kipekee.
Maendeleo hayana vyama!
Hivyo ombi la kufutiwa deni la Dola Milioni 15 ambalo Tanzania inadaiwa likikubaliwa basi kiwanda hicho kitarudi mikononi mwa Watanzania na wafanyakazi wa Urafiki haki zao zitazingatiwa.
Rais Magufuli amesisitiza japo China hawanaga utaratibu wa kusamehe madeni ana imani ombi letu litaangaliwa kwa jicho la kipekee.
Maendeleo hayana vyama!