Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 761
- 6,985
Pamoja na nchi za Afrika kutaka kujitegemea ila viongozi wake wamekuwa wepesi sana kutaka sifa za kijinga kwa kununua au kukopeshwa fedha kupitia miradi ambayo hugeuka mzigo kwa wananchi.
Mikataba ya China hufanywa siri kubwa wakati miradi inaanza ila unapofika muda wakuilipa ndipo mijadala uibuka kutoka kona mbalimbali kuhusu kitanzi watawala walivyotuvisha.
Je, nani anawadanganya viongozi wa Afrika kwamba kutengeneza madeni yasiyo na tija kutainufaisha nchi siku za mbeleni?
Natamani viongozi wetu wawe na:
1. Vipaumbele
2. Wawazi kwa wananchi
3. Hofu ya Mungu hasa kuhusu kudanganya waliowapa kura
4. Waadilifu
5. Wakubali kushtakiwa kwa matumizi mabaya ya ofisi
Mikataba ya China hufanywa siri kubwa wakati miradi inaanza ila unapofika muda wakuilipa ndipo mijadala uibuka kutoka kona mbalimbali kuhusu kitanzi watawala walivyotuvisha.
Je, nani anawadanganya viongozi wa Afrika kwamba kutengeneza madeni yasiyo na tija kutainufaisha nchi siku za mbeleni?
Natamani viongozi wetu wawe na:
1. Vipaumbele
2. Wawazi kwa wananchi
3. Hofu ya Mungu hasa kuhusu kudanganya waliowapa kura
4. Waadilifu
5. Wakubali kushtakiwa kwa matumizi mabaya ya ofisi