Kwa maelezo ya Raisi Magufuli mwenyewe Tanzania imelipa kampuzi za China $10B kwa miaka 10 iliyopita! hii ni wastani wa $1B kwa mwaka.
Hii inashutusha kwa jinsi tunavyotoa wahandisi kwenye vyuo mpaka sasa bado kazi nyingi zinafanywa na makampuni ya China.
Kazi nyingi kama za majengo, visima na barabara zingeweza kufanywa na kampuni zetu lakini hakuna utaratibu mzuri wa kuanzisha kampuni kubwa zenye uwezo mfano hizi kampuni ndogo ndogo zingeweza kuungana na kuuza hisa kwa watu na sisi tungeweza kununua hisa ili kuwapa kampuni mtaji wa kutosha na kuwa na kampuni yenye uwezo.
Sasa tuna kampuni zaidi ya 8,000 lakini nyingi zimekuwa kama za kubabaisha na haziwezi hata kupewa kazi.
Na hata kampuni za serikali za ujenzi wamekuwa vinara wa kuongeza gharama sana mfano lab ya Wizara ya kilimo badala ya kuweka Tsh milioni 500 wakaweka bilioni 1.4 kwa jengo la chini na hii ni kampuni ya serikali!
Hatuwezi kukua kwa namna hii ya ujanja ujanja wakati kampuni za nje zinapiga contract za maana!
Hii inashutusha kwa jinsi tunavyotoa wahandisi kwenye vyuo mpaka sasa bado kazi nyingi zinafanywa na makampuni ya China.
Kazi nyingi kama za majengo, visima na barabara zingeweza kufanywa na kampuni zetu lakini hakuna utaratibu mzuri wa kuanzisha kampuni kubwa zenye uwezo mfano hizi kampuni ndogo ndogo zingeweza kuungana na kuuza hisa kwa watu na sisi tungeweza kununua hisa ili kuwapa kampuni mtaji wa kutosha na kuwa na kampuni yenye uwezo.
Sasa tuna kampuni zaidi ya 8,000 lakini nyingi zimekuwa kama za kubabaisha na haziwezi hata kupewa kazi.
Na hata kampuni za serikali za ujenzi wamekuwa vinara wa kuongeza gharama sana mfano lab ya Wizara ya kilimo badala ya kuweka Tsh milioni 500 wakaweka bilioni 1.4 kwa jengo la chini na hii ni kampuni ya serikali!
Hatuwezi kukua kwa namna hii ya ujanja ujanja wakati kampuni za nje zinapiga contract za maana!