china

  1. Yoyo Zhou

    Maonyesho ya 127 ya uagizaji na uuzaji wa bidhaa ya China yanayojulikana kama Canton Fair yamefunguliwa rasmi

    Maonyesho ya 127 ya uagizaji na uuzaji wa bidhaa ya China yanayojulikana kama Canton Fair yamefunguliwa rasmi tarehe 15. Hii ni mara ya kwanza kwa maonyesho haya kufanyika kwa njia ya mtandao Wafanyabiashara na wateja kutoka China na nchi za nje wanaweza kufanya biashara kutoka nyumbani Kauli...
  2. pingli-nywee

    Mlipuko mpya wa virusi vya Corona waibuka jijini Beijing, China kutoka kwa samaki kwenye soko la vyakula la Xianfadi

    Wakazi wa Beijing wamerudi kwenye hali ya taharuki ya hapo awali janga la Corona lilipoibuka baada ya serikali yao kuweka sehemu za jiji lao kwenye total lockdown na kuwashurutisha maelfu ya watu kupimwa. Hii inafatia mkurupuko mpya wa COVID-19 ulioibuka kutoka kwa samaki aina ya 'Salmon' ndani...
  3. MK254

    India na China wakinukisha, wanajeshi watatu wa India wauawa, dunia inatamani sana damu

    Kawaida ya dunia baada ya kama miongo kadhaa lazima iingie kwenye reset mode, pale ambapo kunakua na maafa makubwa na maangamizi kila mahali, hii huwa haikwepeki, corona imeanza kwa kubip ila ndiko tunakokwenda, India na China waanza chokochoko na ikumbukwe wote wawili ni wababe wa nyuklia...
  4. Yoyo Zhou

    Kupaka matope kwa makusudi mabaya hakuwezi kukwamisha urafiki kati ya China na Afrika

    Hivi sasa, janga la virusi vya Corona linaenea kwa kasi barani Afrika. Kwa mujibu wa takwimu kutoka Kituo cha Kinga na Udhibiti wa Magonjwa cha Afrika, hadi kufikia tarehe 14 Juni, nchi 54 barani Afrika zimeripoti watu laki 2.3 waliothibitika kuwa na maambukizi ya virusi hivyo, na idadi ya vifo...
  5. Yoyo Zhou

    Rais Xi Jinping kuendesha mkutano wa ushirikiano kati ya China na Afrika kwenye mapambano dhidi ya virusi vya Corona

    Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China Bibi Hua Chunying leo ametangaza kuwa, rais Xi Jinping wa China kesho hapa Beijing ataendesha na kuhutubia mkutano maalumu wa kilele wa ushirikiano kati ya China na Afrika kwenye mapambano dhidi ya virusi vya Corona. Mkutano huo umefanyika chini ya...
  6. CARIFONIA

    Wachina walilia serikali yao waondolewe Kenya

    Kama ilivyo kawaida ya kenya ile tabia yao ya kwamba kila kitu kinzuri ni cha kwao, hatimaye wamefanikiwa kuwapiku wachina, kwani wanadai ugonjwa wa corona umeanzia kwao na ni mali yao, na sasa hawauiti corona virus au Wuhani virus bali unaitwa Nairobi virus. Wachina bahada ya kugundua njama...
  7. M

    China WW3 Threat: Beijing military insider exposes how War could break with US.

    A CHINESE insider has exposed the growing threat of a "direct military confrontation" breaking out between the US and China as Beijing continues to expand its war readiness. China and the US could break out into a military war at any moment, according to a leading Chinese military analyst...
  8. Mzukulu

    China reports 11 new confirmed, 7 asymptomatic COVID-19 cases for June 12

    Niliwahi Kumsikia mahala Mtaalam Mmoja akisema kuwa kama pakiwa pametokea tatizo / janga fulani ndani ya nchi husika hata kama juhudi zinafanyika za kukabiliana nalo na zimeanza kuzaa Matunda ila bado haipaswi kwa Kiongozi husika wa nchi Kusifiwa, Kupongezwa na Kupambwa kila Kona kwani Kupunguza...
  9. M

    China thretens to wipe €20bn off Australia Economy for daring to question the Origin of COVID-19

    AUSTRALIA has hit back at threats from China to punish Australia for daring to question the origin of the coronavirus, after Beijing vowed to wipe £20billion off the Australian economy. Australian Prime Minister Scott Morrison has hit back at China for threatening to punish Australia...
  10. Influenza

    Twitter yafuta akaunti 170,000 zilizokuwa zikihamasisha maandamano Hong Kong na kueneza uongo kuhusu usambaaji wa COVId-19 China

    Mtandao wa Twitter umesema umezifuta akaunti 170,000 zilizokuwa zinahamasisha maandamano Hong Kong, kutoa mtazamo wa uongo kuhusu COVID19 na kuhusu maandamano ya Marekani ya George Floyd Twitter imesema akaunti 23,750 zilizoandika jumbe hizo na 150,000 zilizosaidia kusambaa zaidi jumbe hizo...
  11. Analogia Malenga

    China: Dawa ya COVID19 kujaribiwa kwa mwanadamu

    Madaktari nchini China wamaenza kuijaribu dawa ya #COVID19 iliyogunduliwa na Eli Lilly na kampuni ya kichina ya ‘Bioscience’ Dawa hiyo iliyopewa jina la JS016,, itaanza kujaribiwa kama haina madhara kwa mwanadamu katika awamu ya kwanza ya majaribio Jaribia la kwanza likifanikiwa itajaribiwa...
  12. M

    AU Comission: South Africa Urged to stop China from building Africa Desease Control Center HQ in Addis Ababa

    The African Union Commission headquarters building in Addis Ababa, Ethiopia. (Photo: Ecdpm) The Africa CDC headquarters row has also pulled in the US and has become a regional sideshow to the larger and more public spat between Washington and Beijing over the WHO. South Africa has been urged...
  13. T

    Ndege zote za abiria kutoka China kuzuiwa kuingia Marekani kuanzia Juni 16 mwaka huu

    Marekani imezuia ndege zote za abiria za kutoka China kuingia nchini humo kuanzia tarehe 16 mwezi huu. ==== In a move likely to inflame tensions between the United States and China, the Trump administration said Wednesday it will ban all commercial passenger flights by Chinese carriers. The...
  14. Miss Zomboko

    Vita ya Marekani na China yaendelea kuwaka, China yatangaza kulipiza kisasi

    China imeionya Marekani kuwa italipiza kisasi baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kutangaza vikwazo dhidi ya wanafunzi wa China nchini Marekani katika hatua ya kulalamikia sheria mpya ya usalama wa taifa mjini Hong Kong. Trump alisema Ijumaa kuwa Marekani itawapiga marufuku baadhi ya...
  15. R

    China na historia mbaya ya kueneza magonjwa duniani (pandemics): The case of Bubonic Plague

    .... imeandikwa kuwa the Black Death ambayo iliua karibu 60% ya watu duniani ilianzia China. The Black Death: What Bubonic Plague Reveals About COVID-19 Coronavirus Pandemic The so-called Black Death, or pandemic of the Middle Ages, began in China and made its way to Europe, causing the death...
  16. The Assassin

    Wanafunzi na watafiti kutoka China wanaosoma Marekani wazuiwa kukaganya Marekani

    Marekakani imekua ikiwatuhumu wanafunzi na watafiti kutoka china kwa wizi wa nyaraka za siri za kiutafiti kutoka kwenye vyuo wanavyosoma na kuzipeleka China. Juzi juzi hapa ilikamata watafiti kadhaa kwa kutorosha sampuli za virusi kwenda China. Marekani imekua ikiituhumu China kutumia...
  17. Tajiri Mapesa

    Watu waliowaponda vijana wetu waliopo China ndiyo wamekuwa wa kwanza kulia kwenye mitandao

    Huu uzi ni maalumu kwa watu wanao laumu viongozi ili hali na wao pia ni wa binafsi. Watu wengi walijitokeza facebook, Instagram na watsap kuwakebehi na kuwaponda vijana wa watu na hata wazazi wa vijana hao. Yalitolewa maneno ya dhihaka. Lakini pia hata msaada wowote haukutolewa. Na wengi...
  18. B

    Wataalamu wa Tanzania na China live ktk TV mada: Covid-19

    May 27, 2020 Covid-19 Frontline live on CGTN TV Madaktari wa Kitanzania na China wazungumzia uzoefu wakihojiwa Live na Televisheni ya kimataifa ya CGTN Habari nzuri madokta waTanzania toka Prof. Mohammed Janabi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, Dr. Charles Hospitali ya Kairuki Memorial Dsm...
  19. Miki123

    Kwanini Hongkong wanaichukia sana China?

    Hongkong kuna maandamano ya kutisha kutokana na "muswada wenye utata" uliopitishwa na Serikali Kuu ya China. Mapambno yamekuwa makubwa kati ya polisi na waandamanaji. Katika harakati za kuivuruga china kabisa, Trump amesema atachukua hatua kali zaidi dhidi iwapo muswada huo utapitishwa...
  20. Suley2019

    China kuendelea kuisaidia Afrika kukabiliana na COVID-19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa China Bw. Wang Yi amesema, China itaendelea kuzisaidia nchi za Afrika kupambana na COVID-19, na kuchangia utekelezaji wa pendekezo la Kundi la nchi 20 la kukubali nchi maskini kuahirisha kulipa madeni. Vilevile China inafikiria kutoa msaada zaidi kwa nchi za Afrika...
Back
Top Bottom