Janga la njaa lazidi kuwa baya nchini Zimbabwe. Watu milioni 7.7 hawana chakula

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,498
9,279
Shirika la Mpango wa Chakula Duniani WFP limetoa wito wa kuchangisha kiasi cha dola milioni 130 za kimarekani ili kuwasaidia watu wanaokumbwa na njaa nchini Zimbabwe kwenye kipindi hiki maalumu cha mlipuko wa virusi vya Corona.

Shirika hilo limesema Zimbabwe imekumbwa na msukosuko wa ukosefu wa chakula kutokana na hali mbaya ya hali ya hewa na kupungua kwa ukuaji wa uchumi, WFP inahitaji dola milioni 130 za kimarekani kuendeleza operesheni ya dharura hadi mwezi Agosti, ili kuwaokoa mamilioni ya watu wa nchi hiyo watakaokumbwa na baa la njaa.

WFP imeongeza kuwa kutokana na ukosefu wa fedha, tangu mwezi Januari mwaka huu shirika hilo limeshindwa kuwasaidia watu milioni 4.1 nchini humo kila mwezi kama lilivyopangwa, na idadi hiyo ilikuwa milioni 3.7 mwezi uliopita.

Kwa sasa idadi ya watu wanaokumbwa na ukosefu wa chakula nchini Zimbabwe imefikia milioni 7.7, idadi ambayo imezidi nusu ya watu wote wa nchi hiyo.
 
Haya ndio majanga yanayotusumbua sisi waafrika!
Tuwachane na corona ya wazungu, tuunganishe nguvu tupambane na adui wetu mkubwa njaa
Shirika la Mpango wa Chakula Duniani WFP limetoa wito wa kuchangisha kiasi cha dola milioni 130 za kimarekani ili kuwasaidia watu wanaokumbwa na njaa nchini Zimbabwe kwenye kipindi hiki maalumu cha mlipuko wa virusi vya Corona.

Shirika hilo limesema Zimbabwe imekumbwa na msukosuko wa ukosefu wa chakula kutokana na hali mbaya ya hali ya hewa na kupungua kwa ukuaji wa uchumi, WFP inahitaji dola milioni 130 za kimarekani kuendeleza operesheni ya dharura hadi mwezi Agosti, ili kuwaokoa mamilioni ya watu wa nchi hiyo watakaokumbwa na baa la njaa.

WFP imeongeza kuwa kutokana na ukosefu wa fedha, tangu mwezi Januari mwaka huu shirika hilo limeshindwa kuwasaidia watu milioni 4.1 nchini humo kila mwezi kama lilivyopangwa, na idadi hiyo ilikuwa milioni 3.7 mwezi uliopita.

Kwa sasa idadi ya watu wanaokumbwa na ukosefu wa chakula nchini Zimbabwe imefikia milioni 7.7, idadi ambayo imezidi nusu ya watu wote wa nchi hiyo.
 
Laana ya kupora mashamba ya mzungu without compensation.

Mtu katumia akili na teknolojia kalima wewe unajichukulia tu mali znang'aa.

Zimbabwe waachane na propaganda za akina Prof. Kabudi. Wakampigie magoti malkia Elizabeth awasamehe arudishe wawekezaji.

Na hao wakoloni weusi wa Zanu PF wanaoua demokrasia waondoke madarakani kwa amani.
 
Laana ya kupora mashamba ya mzungu without compensation.

Mtu katumia akili na teknolojia kalima wewe unajichukulia tu mali znang'aa.

Zimbabwe waachane na propaganda za akina Kabudu. Wakampigie magoti malkia Elizabeth awasamehe.

Na hao wakiloni weusi wa Zanu PF waondoke madarakani kwa amani.
Mzalendo Mugabe kawadhulumu wazungu mashamba halafu wao watu weusi wameshindwa kuyalima.

Mtu mweusi bana Daaah
 
Shirika la Mpango wa Chakula Duniani WFP limetoa wito wa kuchangisha kiasi cha dola milioni 130 za kimarekani ili kuwasaidia watu wanaokumbwa na njaa nchini Zimbabwe kwenye kipindi hiki maalumu cha mlipuko wa virusi vya Corona.

Shirika hilo limesema Zimbabwe imekumbwa na msukosuko wa ukosefu wa chakula kutokana na hali mbaya ya hali ya hewa na kupungua kwa ukuaji wa uchumi, WFP inahitaji dola milioni 130 za kimarekani kuendeleza operesheni ya dharura hadi mwezi Agosti, ili kuwaokoa mamilioni ya watu wa nchi hiyo watakaokumbwa na baa la njaa.

WFP imeongeza kuwa kutokana na ukosefu wa fedha, tangu mwezi Januari mwaka huu shirika hilo limeshindwa kuwasaidia watu milioni 4.1 nchini humo kila mwezi kama lilivyopangwa, na idadi hiyo ilikuwa milioni 3.7 mwezi uliopita.

Kwa sasa idadi ya watu wanaokumbwa na ukosefu wa chakula nchini Zimbabwe imefikia milioni 7.7, idadi ambayo imezidi nusu ya watu wote wa nchi hiyo.
Hao kina mnanangwa ni wapumbavu.
Kwa vile wanakaa state house na hawaijui njaa badi wanaona nchi nzima unaweza kuiweka lockdown na maisha yakasonga.

Yani sijui Africa wanakuwa na akili za aina gani?
Pumbavu kabisa
 
Dona kantri tutawapelekea msaada wa mahindi..

Everyday is Saturday..................... :cool:
 
Unaowanyang'anyia harafu huna mitaji kuwapa waendeleze .afrika bana
Laana ya kupora mashamba ya mzungu without compensation.

Mtu katumia akili na teknolojia kalima wewe unajichukulia tu mali znang'aa.

Zimbabwe waachane na propaganda za akina Prof. Kabudi. Wakampigie magoti malkia Elizabeth awasamehe arudishe wawekezaji.

Na hao wakoloni weusi wa Zanu PF wanaoua demokrasia waondoke madarakani kwa amani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaowanyang'anyia harafu huna mitaji kuwapa waendeleze .afrika bana

Sent using Jamii Forums mobile app
Failure mentality. Kila wakiona kitu kinaenda vizuri wanafikiri kimepatikana kwa porojo. Hata huyu wetu akiona mtu tajiri anafikiri kapata utajiri kwa kupiga porojo vijiweni. Anafikiri akitaifisha serikali itaweza kusimamia na kupata hela.
 
Back
Top Bottom