MSHANGAO: Hadi Uswizi watu wanapanga foleni ndefu kupokea chakula cha bure Corona imeleta maajabu

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Jul 5, 2018
6,191
13,614
Mzuka wanajamvi

Kamwe usingewaza tukio kama hili kutokea Uswizi. Korona (pathetic virus) imeleta shida kwa kipindi kifupi sana.
28221668-8304869-image-a-2_1589111532475 (1).jpg


Yani watu Uswizi wanapanga foleni ndefu tena ya zaidi kilometre moja kupewa chakula cha bure tena wanawahi kupanga mstari kwaanzia saa kumi na moja asubuhi.
28221668-8304869-image-a-2_1589111532475 (1).jpg
28221620-8304869-image-a-4_1589111842444 (1).jpg

Kwa sasa hivi Uswizi imethibitisha watu 30, 305 wana maambukizi ya korona na vifo ni 1800.
28221664-8304869-image-a-12_1589112026255.jpg


Uswizi ni nchi inayoongoza kwa maisha bora na malipo mazuri ulaya na duniani hata kwa wabeba boksi.
28221652-8304869-image-a-7_1589111882382.jpg


Hata kwenye kati ya jiji Tajiri duniani Geneva hali ya uchumi imedorora na imeleta hali ngumu ya kiuchumi kwa watu waliokuwa wanafanya kazi kwenye housekeeping, hoteli, migahawa, kilimo na ujenzi
 
Hakuna Mswisi asilia hata mmoja kwenye hiyo foleni, Mswisi hawezi kupanga foleni ya chakula cha bure leo hii, itachukuwa miaka 20-50 mfululizo ya ,,lockdown” Mswisi kufikia hali hiyo, na Mswisi akifikia hapo ujue Duniani kwingine watakuwa wameanza kula watu, ...
 


Poor ni relative term, kwa maana ya kwamba mtu anayeitwa ,,poor” Uswisi pesa anayolipwa kwa mwezi na Serikali kwa TZ yetu ni upper middle class, isitoshe, wana vigezo tofauti kabisa na vyetu vya kupima umaskini, na hao wanaoitwa masikini > 85% siyo Waswisi asilia ni wageni/wahamiaji kutoka third World na Ulaya ya Mashariki, ...
 
Hao wengi watakuwa jamii za watu wa asia wanaofanya kazi za vibarua, wazungu wenyewe orijino walishaweka mitego yao kitambo sana...na ukikutana nao mara nyingi wanapiga misele tu town...
 
A
Hakuna Mswisi asilia hata mmoja kwenye hiyo foleni, Mswisi hawezi kupanga foleni ya chakula cha bure leo hii, itachukuwa miaka 20-50 mfululizo ya ,,lockdown” Mswisi kufikia hali hiyo, na Mswisi akifikia hapo ujue Duniani kwingine watakuwa wameanza kula watu, ...
Acha kudanganya watu mkuu, kuna kipindi pesa inakosa thamani kwa sababu vitu vinakua hazipatikani hiyo hata China ilitokea supermarket watu walikuwa wanapanga mstari wanauziwa vitu kwa kugawana. Mchele ulikua sawa na almasi ulipotea kabisa
 
Ac
Poor ni relative term, kwa maana ya kwamba mtu anayeitwa ,,poor” Uswisi pesa anayolipwa kwa mwezi na Serikali kwa TZ yetu ni upper middle class, isitoshe, wana vigezo tofauti kabisa na vyetu vya kupima umaskini, na hao wanaoitwa masikini > 85% siyo Waswisi asilia ni wageni/wahamiaji kutoka third World na Ulaya ya Mashariki, ...
Acha uongo mkuu,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom