Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,606
- 1,956
Mambo ya Tarime Hayo!
heavy breakfast😁😁😁😁Mambo ya Tarime Hayo!
Sio ulafi mkuu, huku ni kudumisha kuwa mwafrika halisi, tangu enzi za mababu zetu hii ndio ulikuwa breakfast, nakukumbusha tu hapo watu wametoka kulima heka za kutosha,ulafi huo. Wakurya wengi ni walafi sana wa nyama.
Natamani kujua ni kwanini Wakurya ni walafi wa chakula.