CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Dodoma kimepita bila kupingwa katika vijiji, mitaa na vitongoji 3,905 kati ya 4,032 vilivyopo sawa na asilimia 96.85. Akizungumza na Habari- LEO Katibu wa CCM Mkoa wa Dodoma, Jamila Yusuph alisema ushindi huo ni taswira nzuri katika kuelekea Uchaguzi Mkuu mwaka...