Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
Nyakati za CCM kuendelea kutawala nchi hii zimefika mwisho na yote haya mnayoyashuhudia leo hii ni viashiria tu vya anguko la CCM katika siku zijazo.
Kelele za wana-CCM majukwaani, mitandaoni, Bungeni na kwingineko, ni sawa tu na mateke ya farasi anaekata roho hivyo hayaepukiki na watarusha...
Diwani wa Kata ya Gwarama wilayani Kakonko na MwanaJF Ndugu Elia F Michael aliyekuwa mgombea wa ubunge kwenye uchaguzi mdogo mwaka 2018 jimbo la Buyungu ameamua kuachana na Chadema na kujiunga na CCM.
Pia soma...
Huo ujumbe uende moja kwa moja kwa wana mikakati wa CCM na washauri wa chama na Serikali.
Mtakosea sana kufanya mbinu zenu za kuzorotesha Upinzani kwa kutumia mbinu za Zanzibnar huku Bara.
Kwa hulka Wazanzibari ni wapole sana lakini ni wamejaaliwa uelewa wa kisiasa. CCM imetumia njia nyingi...
Amani na umoja wa Watanzania, ni sifa ambayo ilijulikana juu ya Watanzania duniani kote. Kwa miaka mingi sana Tanzania ilikuwa haitajwi na vyombo vya habari kama BBC na CNN kwa kuwa hatukuwa na habarai mbaya ambazo vyombo vya magharibi hupenda kuzitangaza juu ya nchi zinazoendelea na masikini...
Turejee uchaguzi wa serikali za mitaa.
Mpaka jana, CCM walikuwa na ushindi mnono wa asilimia 90. Ushindi huu ulikuwa kwenye ngome za wapinzani, mfano Kilimanjaro, Dar es Salaam, Mara, Manyara, Kigoma, Mbeya na kwengineko.
Ilichokuwa imebakisha CCM ni kwenye ngome zake ambako ushindi wa...
Bila ya CCM kukubali kukaa nanyi mezani na kukubaliana kuunda taratibu mpya na namna bora ya kuendesha uchaguzi, wapinzani kamwe msikubali kurejea kwenye uchaguzi.
Mkisha kaa mezani tarehe mpya ya uchaguzi itangazwe ili kutoa muda wa kutosha kwa vyama vya upinzani kurejesha kuweka mipango sawa...
Habari wanabodi,
Haya yanayotokea hayatokei kwa bahati mbaya. Ni mipango ya makusudi ikiongozwa na kuratibiwa na vyombo vya ulinzi.
Mwaka Jana nilikuwa kwenye jimbo moja la uchaguzi. Pale kulikuwa na madiwani wawili toka upinzani.Kati yao mmoja anatoka CUF na mwingine CDM.Ulikuwa msimu wa...
Nimesoma maandiko mengi ya wadau wa vyama vya siasa na wafuasi wao bada ya CHADEMA NA ACT Wazalendo kujiondoa kwenye uchaguzi unaofanyika tr 24 ya mwezi huu. Hoja nyingi nilizosoma wengi wameandika CCM imejichimbia kaburi.
Nimesoma Twitter ya Jussa pia nimeona amenukuu hivyo hivyo kuwa CCM...
Mwangalie Polepole wa utawala wa Kikwete na wa utawala huu, Mwangalie Nape alivyokuwa na ushawishi wakati akiwa Katibu Mwenezi na sasa, Mwangalie Mwigulu yule na huyu anayemshukuru Magufuli baada ya kupata ajali, Mwangalie January Makamba wa kipindi cha Kikwete na huyu anayeenda akiburuza miguu...
Kuna ajali imetokea hapo jijini Arusha maeneo ya Mount Meru hotel karibu naofisi za Zola, taarifa isiyo rasmi watu zaidi ya 4 wanasadikiwa kugongwa na kupoteza maisha.
Waliopata ajali inasemekana ni kina mama wafanya biashara pembeni mwa barabara ambapo gari aina ya saloon ndiyo iliyosababisha...
Wanabodi,
Tangu kuanza kwa pilika pilika za uchaguzi wa Serikali za Mitaa, sijawahi kuzungumza lolote kuhusu uchaguzi huu kutokana na kuwa bize na shughuli za kitaifa, kwanza ni Wiki ya Msaada wa Kisheria iliyofanyika kitaifa mjini Bariadi Mkoani Simiyu na kufuatiwa na Wiki ya Azaki...
Kujito kwa vyama Pinzani katika Uchaguzi ujao wa Wenyeviti wa serikali za Mitaa na Wajumbe wake ni sawa na CCM kupewa point 3 za Mezani kwa Timu Pinzani kutokufika Uwanjani.
Nilitegemea hili liifurahishe CCM kwa kujichukulia Ushindi wa Point 3 mapema tena bila jasho lakini hali anaonekana...
Kumekucha habari za ndani ya kapeti ni kwamba msimamo wa vyama vya upinzani kujitoa kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa, umewatia kiwewe viongozi wakuu wa ccm na wanachama wao wote wakihofia, kutokukubalika kwa uchaguzi huo kimataifa, idadi ndogo ya watakao jitokeza,
Kukosa pesa za kampeni...
CCM imechoka sasa kuliko wakati wote toka kuumbwa kwa dunia hii. Simba akizeeka hukimbilia kwenye vyanzo vya maji kuvizia wanyama wadogo wadogo, kutokana na kukosa nguvu ya kupambana katika mawindo yake.
CCM inavizia kwenye kurudisha fomu, kupora fomu na kupitisha wanaCCM bila kupingwa kuwa...
Deo Sanga ama Jah People (aliyewahi kutuhumiwa kuvuta bangi miaka ya nyuma) , leo bungeni ameomba sheria za nchi zibadilishwe ili Mwenyekiti wa CCM, Dr Magufuli awe Rais wa milele.
Alisema: huwezi kuwa na Demokrasia na ukashinda kwa zaidi ya 90+ huku mpinzani wako umemfunga, hakuna uhuru wa habari, hakuna uhuru wa vyama kukutana, kufanya mikutano, uhuruwa kukosoa serikali, hakunataasisi imara za check and balance ukasema kuna demokrasia.
Unafanya uchaguzi kujidanganya...
Malisa GJ
Juzi TAMISEMI walitoa taarifa kuwa moja ya sababu za wagombea wa vyama vya upinzani kuenguliwa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa kwa 98% na kubakia 2% tu ni pamoja na kujaza kimakosa fomu za kugombea.
Moja ya makosa ambayo TAMISEMI waliyaainisha ni wagombea kujaza vifupisho vya...
CCM si chama chenye uadilifu katika matumizi ya pesa.
Nani anafahamu budget iliyotumika katika vita ya Kagera,
Tuliwahi kuhoji katika ukombozi wa bara la Afrika? Yote yalikuwa ni maamuzi ya mtu mmoja. Hata Chama kushika hatamu haikuwa ridhaa ya wananchi.
Afadhali ya Nyerere yalikuwa ni maamuzi...
Tamko la kimaslahi, mimi ni nwanachama hai wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) hivyo ni takayo yawasilisha hapa ni kwa manufaa ya ustawi wa chama changu CCM na Taifa letu kwa ujumla.
Nimefatilia kwa umakini mchakato mzima wa uchaguzi wa viongozi wetu katika ngazi ya Serika za Mitaa. Hakika...
Wakati mbunge wa Kigoma Kusini (CCM), Husna Mwilima akisema wahudumu wa ndege za ATCL hawana mvuto kwa wateja, shirika hilo limesema haliwachagui kwa ajili ya kuonyesha sura 3.
“Hatuchagui wanawake kwa ajili ya kuwapeleka kuonyesha uzuri kuna vigezo lazima tuwapime uelewa. Lazima kujua wana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.