bunge

  1. Erythrocyte

    Kishindo cha Mbowe chatikisa bunge, Amtaka Waziri mkuu kutoa ufafanuzi juu ya Corona na Tume huru ya uchaguzi

    Mara nyingi sana tumewaasa watu humu jf na kwingineko kwamba usithubutu kushindana na aliyejaaliwa , utaumia ! Watu wengi wamezungumza kuhusu Corona , lakini namna Mh Mbowe alivyouchambua ugonjwa huu ni namna ya kupigiwa mfano , huyu mtu ameshindikana , huyu Mfungwa si wa kawaida . Hakuna...
  2. Pascal Mayalla

    Pongezi Mhe. Spika Kuliongoza Vyema Bunge Letu, ila Sio Busara Kutumia Bunge Kujibu Trivia Issues za Mitandaoni, Zina Downplay Hoja Rasmi za Msingi!.

    Wanabodi, Naendelea kusisitiza kwenye mazuri tupongeze, kwenye mabaya tukosea na kwenye mapungufu tushauri, katika uendeshaji wa Bunge la safari hii, kiukweli wa dhati ya moyo wangu, safari hii Mhe. Spika anajitahidi sana kuliendesha vyema Bunge letu kiasi cha kustahili pongezi Hivyo hili ni...
  3. Nyamsusa JB

    GE2020 Bunge lijalo litavunja rekodi ya kupitisha hoja kwa haraka sana

    Kama wewe ni Mpenzi wa kufuatilia Vipindi vya Bunge basi Malizia Hamu yako kwa kusikiliza Bunge Hili la Sasa. Nasema hivi kutokana na Ukweli kwamba sioni dalili njema kwa Wapinzani kupita katika nafasi za Ubunge katika Uchaguzi ujao. Naona kama kuna kila Namna, Mbinu Chafu, Hujuma na pia...
  4. technically

    Bunge letu ni bunge la ajabu kweli! Je wanawakilisha wananchi gani? ni wabaguzi na wabinafsi wasiludi uchaguzi ujao

    Sijui ni utoto na mzaha wa Ndungai? Au ni kibri cha Tulia Akson? Wamejipunguzia masaa ya kufanya kazi wakati mshahara wao na posho zikiwa vile vile, baada wakate pesa zao ziende kwenye kupambana na corona wao wanajipunguzia masaa ya kazi! Wanapitisha kujipunguzia masaa ya kazi kisa corona...
  5. J

    Dodoma: Kikao cha Bunge chaanza, wimbo wa Taifa waimbwa na kwaya maalum

    Karibuni. UPDATES: Spika anawakaribisha wabunge na kuwapa salamu za Rais Magufuli na kwamba wasishangae endapo mh Rais atawatembelea hapo bungeni wakati wowote kabla ya 30/6/2020. Kadhalika Spika amesema Waziri mkuu yuko Dar akiratibu shughuli za kudhibiti Corona ila kesho atakuwepo Bungeni.
  6. Return Of Undertaker

    Bunge la bajeti litahudhuriwa na wabunge wasiozidi 150, sijajua sheria inaruhusu au huu uamuzi ni sahihi? Na bunge kuanza saa nane mchana

    Mabadiliko katika bunge la bajeti linaloanza Machi 31, Dodoma: Hakuna maswali kwa waziri mkuu Bunge litaanza saa 8 mchana hadi saa 12 jioni Maswali na majibu yatatumwa kwenye 'tablets' za wabunge Kura za kupitisha bajeti zitapigwa kwa mafungu Waandishi wachache wataruhusiwa
  7. cutelove

    CHADEMA wamshangaa Komu kusubiri posho za ubunge, wajiandaa kumtosa

    Chama cha Chadema kimesema kimemshangaa Antony Komu kuendelea kubaki CHADEMA ili kusubiri posho na huku Imani,itikadi na falsafa ya chama cha CHADEMA hana huku akiwa na itikadi ya NCCR- Mageuzi Amesema kesho wataweka wazi kuhusu hilo na ikiwezekana watamvua uanachama
  8. The Sheriff

    CoronaVirus: Mgonjwa wa kwanza wa corona apona Kenya. Watumishi wa Serikali akiwemo Rais kupunguziwa mishahara

    Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ametangaza kuwa mtu wa kwanza amepona kabisa ugonjwa wa corona. ''Hii inamaanisha kuwa ugonjwa huu unaweza kukabiliwa''alisema rais Kenyatta katika hotiba yake kwa taifa. Idadi ya walioambukizwa ugonjwa wa corona nchini Kenya imefikia 28. Rais pia ametangaza hatua...
  9. Miss Zomboko

    Israel: Mahakama yaamuru Bunge lifanye uchaguzi wa Spika mpya bila kisingizio cha Corona

    Mahakama ya juu nchini Israel imeamuru spika wa bunge aandae uchaguzi wa mrithi wake kufikia Jumatano ijayo, amri inayoongeza mkwamo uliopo kati ya wapinzani na wanaomuunga mkono waziri mkuu Benjamin Netanyahu. Spika wa sasa Yuli Edelstein wa chama cha Likud cha Netanyahu alikuwa amepuuzilia...
  10. Tabutupu

    Serikali isipofanya haya inataka kuua raia wake kwa coronavirus

    Mambo mawili tuu 1. Inatakiwa kuhakikisha ina coronavirus Test kits za kutosha mijini na vijini 2. Inatakiwa kuhahakisha kuna stock za kutosha za Masks . Added.. 3. Inatakiwa kuhakikisha wananchi wapo salama kwa kuzua maambukizi kutoka maeneo ambayo tayari yameadhirika.. lockdown. 4...
  11. Determinantor

    Kuhusu Corona: Bunge lilipuuza hoja ya Mch. Msigwa

    Mwezi uliopita wakiwa Bungeni, Mchungaji Msigwa wa CHADEMA alilitaka Bunge lijadili kama dharura issue ya Corona ambapo wangetoka na azimio kama wawakilishi wetu. Hoja hio ikapingwa kwakua tu ilitolewa na MTU ambaye "sio wa kwetu" na kupitisha hoja ya "kipuuzi" ya kumjadili @Zito na World...
  12. J

    Pendekezo: Bunge la bajeti mwezi Aprili - Juni liendeshwe kidigitali fedha itayookolewa isaidie mapambano dhidi ya Corona

    Najua kwa uhakika wabunge wengi hawatapendezwa na ushauri huu ambavyo wakimbiza mwenge wa uvccm walivyochukizwa na hatua ya kusitisha mbio za mwenge lakini hakuna namna. Vikao vya bunge viendeshwe kwa njia ya mtandao na kwa bahati nzuri Spika Ndugai amewanunulia Computer wabunge wote. Fedha...
  13. beth

    Afrika Kusini: Mahakama kuu yamfutia Rais Ramaphosa mashtaka ya utakatishaji fedha na kudanganya Bunge

    Mahakama Kuu ya Afrika Kusini imefuta mashataka yote yaliyokuwa yakimkabili Rais wa nchi hiyo, Cyril Ramaphosa aliyeshtakiwa na Mpelelezi wa Masuala ya Rushwa, Busisiwe Mkhwebane. Alimshtaki Rais huyo kwa kulidanganya Bunge kuhusu matumizi ya fedha hizo. Pia alitaka Rais achunguzwe kwa tuhuma...
  14. J

    Pascal Mayalla: NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama lilivyo bunge na mahakama kwa sababu vyote hivi msingi wake ni Rais

    Mwandishi mkongwe na mwanasheria nguli Pascal Mayalla amesema NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama zilivyo Mahakama na Bunge. Pascal amesisitiza kuwa Rais wa JMT ndio msingi wa taasisi zote hizo hivyo zote zipo huru kwa namna zilivyoundwa na katiba. Pia Pascal amempongeza Rais Magufuli kwa...
  15. J

    Wabunge wa Tanzania wasusa na kutoka nje Bunge la Afrika Mashariki wakipinga kupitisha mswada wa Forodha

    Wabunge wa Tanzania katika bunge la Afrika Mashariki wamesusia kikao na kutoka nje ya ukumbi wakipinga kupitisha muswada wa forodha. Spika wa bunge hilo aliahirisha kikao kwa akidi kutotimia. Source ITV habari!
  16. Miss Zomboko

    El Salvador: Jeshi lavamia Bunge ili kushinikiza mapendekezo yao yapitishwe

    Viongozi wa upinzani wnasema kwamba wanatishiwa na wanajeshi Wanajeshi na maafisa wa polisi waliojihami nchini El Salvador wamevamia bunge , wakitaka kuidhinishwa kwa mkopo wa dola milioni 109 ili kuwanunulia vifaa vya kukabiliana na uhalifu. Waliingia katika jengo la bunge wakati rais Nayib...
  17. Kididimo

    Nini hasa kinafichwa bunge letu kutoonyeshwa live? Kama ni muda wa kazi, basi Tv zote ziwe hewani kuanzia saa 9:30 alasiri

    Ninaenda kwenye uchaguzi Mkuu 2020 bila kujua mchango wa Mbunge wangu bungeni. Bunge live lilisaidia wengi kutathmini japo sio kwa asilimia zote uimara wa Wabunge wetu kifikra. Awali, aliyekuwa Waziri wa Habari alitoa tamko kuwa Bunge Live muda wa kazi linafanya watu waache kufanya kazi za...
  18. J

    Kwanini bunge lisiwaandikie Benki ya Dunia kupinga hoja za Mbunge Zitto badala ya "kutamani" kuchukua njia ya mkato?

    Bahati nzuri Bunge letu limesheheni wabobezi na ngumbaro wachache, sasa kwanini hoja za Zitto zisijibiwe kwa hoja? Zitto ameiandikia Benki ya Dunia katika nafasi yake kama Mbunge na siyo kiongozi wa chama. Hivyo Bunge lina nafasi nzuri ya kumkanusha Zitto kwa kuiandikia WB ukweli ulivyo badala...
  19. Kibanga Ampiga Mkoloni

    Je, wamjua Mbunge yeyote aliyepo hatarini kiusalama kutokana na shughuli zake ? Toa taarifa sasa!

    Ndugu zangu kama mnamjua Mbunge yeyote aliyepo hatarini kiusalama kutokana na shughuli zake au anayetendewa sivyo na Bunge letu kutokana na shughuli zake Bungeni ni fursa sasa kurepoti hili: https://www.ipu.org/contact-us Most common violations:- 1. Undue suspension and loss of parliamentary...
Back
Top Bottom