Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Wakati tukijua kilimo ni UTI wa mgongo wa uchumi wa taifa letu, leo muda huu waziri wa kilimo anawasilisha hotuba ya wizara hiyo.
Televisheni za Azam TV na Chanel Ten zinaonyesha live hotuba hiyo muhimu.
Cha ajabu, Televisheni ya taifa TBC muda huu inaonyesha vikatuni vya alfabeti vya a. e. i. o. u
Tafakari.
Televisheni za Azam TV na Chanel Ten zinaonyesha live hotuba hiyo muhimu.
Cha ajabu, Televisheni ya taifa TBC muda huu inaonyesha vikatuni vya alfabeti vya a. e. i. o. u
Tafakari.