Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Hizi nilizopewa ni za ndani kabisa na mtu aliyeniambia ni mtu wa ndani ndani ya CHADEMA.
Kile kilichotokea tarime ni kama mfano tu pamoja na wanachama wa chadema kufanya vurugu na kupopoa mawe gari la NCCR Mageuzi.
Inasemekana ndani ya CHADEMA kuna uozo mwingi na ukiritimba bali watu walikuwa wanavumilia tu.
Chama ni mali ya mtu mmoja na familia yake.
Maamuzi ya chama yanafuata matakwa ya mtu mmoja.
Mali za chama zinaliwa na mtu mmoja wabunge nao wanachangishwa kama vile wanalipia pango.
Makatibu wa wilaya hawalipwi na mambo mengi yasiyofaa.
Wimbi hili la mwisho litakuwa ndio fagia fagia ya kukimaliza CHADEMA.
Na huu ndio utakuwa mwisho wa Chadema.
Maana sidhani kama wataweza kukomaa kama NCCR mageuzi.
Kile kilichotokea tarime ni kama mfano tu pamoja na wanachama wa chadema kufanya vurugu na kupopoa mawe gari la NCCR Mageuzi.
Inasemekana ndani ya CHADEMA kuna uozo mwingi na ukiritimba bali watu walikuwa wanavumilia tu.
Chama ni mali ya mtu mmoja na familia yake.
Maamuzi ya chama yanafuata matakwa ya mtu mmoja.
Mali za chama zinaliwa na mtu mmoja wabunge nao wanachangishwa kama vile wanalipia pango.
Makatibu wa wilaya hawalipwi na mambo mengi yasiyofaa.
Wimbi hili la mwisho litakuwa ndio fagia fagia ya kukimaliza CHADEMA.
Na huu ndio utakuwa mwisho wa Chadema.
Maana sidhani kama wataweza kukomaa kama NCCR mageuzi.