bunge

  1. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Bunge laiagiza TAKUKURU kukamata vigogo mbalimbali

    Imeelezwa na chombo hicho cha kutunga sheria kuwa fedha hizo zilichotwa katika biashara ya uendeshaji wa machinjio ya Dodoma katika kipindi cha miaka 11 iliyopita. Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mahmoud Mgimwa, amesema wamebaini watendaji wa Narco na Wizara ya Mifugo na Uvuvi waliohudumu katika...
  2. Zitto

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Tangu lini Rais anaheshimu Bunge? Kosa la Lugola ni kufanya dili kwa kumzunguka Rais, hoja ya Bunge ni kisingizio tu

    Rais Magufuli anasema Kangi Lugola na wenzake wamesaini Mkataba bila ruhusa ya Bunge. Hii ndio standard? Mkataba Gani? Mbona kama hiyo ndio standard wengi hawapaswi kuwepo ofisini hata yeye mwenyewe. Ujenzi wa Chato Airport Shs 69 bilioni haukupitishwa na BUNGE Ununuzi wa Helkopta 13 USD...
  3. The Alchemist

    JamiiForums Tanzania Marekani: Wabunge wa Seneti nchini Marekani wakiuka Kanuni za Bunge kwa kupeleka vitafunwa ukumbi wa Bunge

    Wabunge wa Bunge la Seneti nchini marekani wamelalamikiwa na wanahabari kwa kuvunja Kanuni Zinazosimamia Shauri la Kumwondoa Raisi madarakani (Impeachment Trial Rules) kwa kuingiza pipi na vitafunwa kwa siri kwenye Ukumbi wa Bunge. Kwa mujibu wa kanuni hizo, vyakula na vinywaji vimekatazwa na...
  4. bahati93

    JamiiForums Tanzania Alichosema John Locke kuhusu sheria na haki

    Habari my comrades Kuna maneno mengi sana yanasemwa na mwanadamu kuhusu namna mbalimbali ndani ya jamii zetu, Lakini kuna sentensi zilizosemwa ambazo zitabaki na sisi wanadamu muda wote ambao tutakuwa wakazi kwenye hii sayari yetu ya tatu kutoka nyota jua. Mwanadamu kiumbe ambacho kazi yake...
  5. Gily Gru

    JamiiForums Tanzania Rai kwa Serikali na Bunge: Wanaoambukiza UKIMWI kwa kukusudia wahanisiwe, wapigwe chapa au wadungwe sindano za kutoa mihemuko

    Kuna mbaba mmoja wa kirangi mtaani ni mtu mwenye hela zake, lakini anaishi na virusi vya ukimwi (mwathirika). Huyu mzee kwa sababu ana vijihela, basi amekuwa akiwarubuni watoto wa kike yani hachagui wanafunzi, Malaya, wake za watu, ndugu zake, mpaka mashoga wote pakia. Huyu jamaa alishawahi...
  6. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Mashtaka yanayomkabili Donald Trump yatapelekwa mbele ya Bunge la Seneti

    Baada ya wiki kadhaa, hatimaye Baraza la Wawakilishi linataraji kupiga kura leo Jumatano kupeleka mashtaka dhidi ya Donald Trump mbele ya Bunge la Seneti. Hii ni hatua ya mwisho kabla ya kuanza kwa kesi ya ung'atuzi dhidi ya rais huyo kutoka chama cha Republican. Spika wa Baraza la Wawakilishi...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Zitto ataka ripoti ya Kamati ya Bunge ya Ulinzi na Usalama inayohusu shambulio la Lissu iwekwe wazi

    Pia ( 2) kama Mbunge Tundu Lissu shambulio lake la risasi haliwahusishi TISS basi Ripoti ya Kamati ya Bunge ya Ulinzi na Usalama iwekwe Wazi kwa Umma. Pia Watanzania waonyeshwe juhudi zozote za Polisi kuchunguza tukio lile la kikatili kufanyiwa Mbunge nchini. Mimi ninalaumu TISS Chanzo:Twitter...
  8. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Bunge la Marekani lazuia vita dhidi ya Iran, kura zapigwa

    Bunge la Wawakilishi nchini Marekani limepitisha azimio linalolenga kumzuia Rais Donald Trump kupigana vita na Iran. Bunge hilo ambalo linafahamika pia kama Kongresi limepitisha azimio hilo kwa kura 224 dhidi ya 194. Hata hivyo azimio hilo lililopitishwa na Kongresi ambayo ina wawakilishi...
  9. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Ugomvi wa madaraka na uongozi wasababisha Bunge la Venezuela kuongozwa na maspika wawili

    Mpinzani wa rais wa Venezuela, Nicolas Maduro, Juan Guaido, amechaguliwa tena Spika wa Bunge na wabunge wa upinzani saa chache baada ya mbunge mwingine wa upinzani, Luis Parra, kujitangaza kuwa spika wa bunge. Juan Guaido amechaguliwa tena kuwa Spika wa Bunge la venezuela katika...
  10. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Israel: Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu aomba kinga ya bunge dhidi ya mashitaka ya ufisadi

    Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ameamua kutafuta kinga ya bunge dhidi ya mashitaka ya ufisadi yanayomkabili. Hatua hiyo huenda ikachelewesha kesi dhidi yake hadi uchaguzi utakapofanywa upya mwezi Machi. Mwezi Novemba, Waziri Mkuu alishitakiwa na mwanasheria mkuu kwa kutoa hongo...
  11. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa vyama vya siasa, Serikali na Bunge acheni unafiki shule zote za Serikali ziwe English medium watoto wenu mbona wanasoma English Medium?

    Kuna maana gani viongozi wa Serikali, bunge na vyama vya siasa kusomesha watoto wao English medium schools halafu wanaacha watoto wa wengine wasome Swahili medium? Huu ni unafiki mkubwa. Badilisheni shule zote za Serikali ziwe English medium. Wanafiki wakubwa nyie msio na haya Hizi ndizo...
  12. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Spika wa Bunge la Sudan Kusini ajiuzulu

    Spika wa bunge la Sudan Kusini amejiuzulu baada ya kushutumiwa na wabunge wenzake kwa kushindwa hadi wakati huu kuwasilisha ripoti jumla ya ukaguzi wa mahesabu ya serikali. Spika wa bunge la Sudan Kusini amejiuzulu baada ya wabunge kutishia kumuondowa madarakani kwa kuzuia juhudi za kupambana...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Kama kuwa wazalendo kwa hiari ni ngumu: je, Bunge halina budi kumsaidia Rais kutunga sheria watu kuwa wazalendo kwa lazima?

    Kadiri siku zinavyokwenda, uzalendo wa baadhi ya watu kwa nchi yao unazidi kupungua tena bila sababu ya msingi. Baadhi ya watu wamefikia hatua kufurahia mali za serikali zinapozuiwa au kukamatwa nje ya nchi, wengine wanaona fahari kutetea mabeberu wanaonyonya mali za nchi. Haya ni baadhi ya...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Spika Ndugai: Kwa wale msiojua Bunge limebakisha mikutano miwili tu Februari na Aprili 2020 kabla Rais Magufuli hajalivunja rasmi

    Spika wa bunge mh. Ndugai amesema Bunge la 11 ambalo yeye ndio analiongoza limebakiza mikutano miwili tu yaani Februari na Aprili 2020 kabla halijavunjwa rasmi na Rais Magufuli. Spika Ndugai alikuwa anaweka uelewa sawa kwa wananchi ili tuweze kwenda pamoja kama kuna jambo limesahaulika basi...
  15. Mystery

    JamiiForums Tanzania Je, Mhimili wa Bunge umemezwa na Mhimili wa Serikali?

    Katika kipindi ambacho huwa kinatoka Live, kila siku ya alhamisi ya kila wiki, ambapo wabunge hupata wasaa wa kiuliza maswali ya moja kwa moja kwa Mheshimiwa Waziri mkuu Moja ya maswali yaliyoulizwa leo ni kutoka kwa Mbunge wa viti maalum wa Chadema, Devotha Minja, ambaye aliuliza kuhusu...
  16. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitisha Sheria inayotoa mamlaka kwa mtu kujipima UKIMWI

    Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu, amesema kuwa hadi kufikia Ijumaa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania litaipitisha Sheria inayotoa mamlaka kwa mtu kujipima UKIMWI. Hayo ameyabainisha leo Novemba 11, 2019 wakati wa ufunguzi wa semina elekezi kwa...
  17. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Ambaye amekwazwa na shughuli za uchaguzi akalalamike kwenye Bunge au Mahakama za Afrika Mashariki – Naibu Waziri wa Katiba na Sheria

    Serikali imewataka watu ambao hawaridhiki na mwenendo wa shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, bado wanayo fursa ya kufungua kesi kwenye Mahakama za Afrika Mashariki au kushtaki katika Bunge la Afrika Mashariki. Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt Damas Ndumbaro leo...
  18. J

    JamiiForums Tanzania Wabunge kutumia Tabiti ( tablet) kuwasilisha au kuwasiliana ndani ya bunge badala ya kuandika kwenye karatasi, Spika agawa tabiti kwa wabunge wote

    Wabunge wote wa bunge la JMT leo wamegawiwa tabiti ( tablet) kwa ajili ya mawasiliano ndani ya bunge badala ya kuandika kwenye karatasi utaratibu ulioelezwa umepitwa na wakati. Hivyo kuanzia leo uwasilishaji wa hoja au taarifa kupitia maandishi ya kwenye makaratasi hautatumika tena. Spika...
  19. K

    JamiiForums Tanzania Ofisi ya Bunge kuendeshwa kidigitali

    Kuanzia leo vikao vya Bunge vitaendeshwa kidigitalii. Hii ni hatua kubwa ya kimaendeleo na kuokoa fedha nyingi zilizokuwa zinatumika kununua makaratasi. Kwa wale ambao hawajazoea matumizi ya kidigitali msione aibu kujifunza. Kitu kipya lazima mtu ujifunze.
  20. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Kurusha matangazo ya moja kwa moja ya Vikao vya Bunge au Kamati za Bunge zikiwa kazini hakufai

    Mtu ukiwa unalima shamba huhitaji press. Vikao vya Kamati za Bunge na vikao vya Bunge ni vikao serious vya kikazi. Wananchi wanachohitaji kujua ni matokeo ya kile walichojadili sio zile porojo za sijui mbunge huyu akachekesha, huyu akatukana. Wananchi wanachohitaji ni final result za kikao...
Back
Top Bottom