Cicadulina
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 961
- 2,345
Nazidi kuona hili jamaa lilikuwa nabii... Fuwatilia uzi wangu wa utabiri wake before Magu
ur smart na hujaelewa je wale wengine itakuaje ?Mleta mada mimi simo... Siyo kwa kufukua kaburi namna hii...
Kwa hiyo unataka kusema kwa kinachoendelea sasa kwenye uhusiano wa Tanzania na Kenya ni kwamba... Nini tena?
Endapo kama ukimnukuu Rais mstaafu...
Cc: mahondaw
Uweke Hapa tuupate kirahisiNazidi kuona hili jamaa lilikuwa nabii... Fuwatilia uzi wangu wa utabiri wake before Magu
Atajibu kuwa mpumbavu kishapatikanaAlisema anayeweza kuharibu uhusiano na Kenya ni mpumbavu, kisha akasema wapumbavu Tanzania ni wachache kwahiyo hilo haliwezi kutokea. Tena akawahakikishia kabisa. Sasa hivi wakimuuliza sijui atajibu kitu gani!
Sidhani kama atakuwa anawasema Kenya wapumbavu ni wengi saana kwamba ndo maana wakaamua kufunga mpaka.Alisema anayeweza kuharibu uhusiano na Kenya ni mpumbavu, kisha akasema wapumbavu Tanzania ni wachache kwahiyo hilo haliwezi kutokea. Tena akawahakikishia kabisa. Sasa hivi wakimuuliza sijui atajibu kitu gani!
Jamani acheni kuwatukana wakenya. Mlitaka wasiwachokonoe madereva wetu puani na kufunga mipaka yao?Atajibu kuwa mpumbavu kishapatikana