Mpaka Saa Hizi Bado Uko Macho?

Mpaka Saa Hizi Bado Uko Macho?

ShesRise_1

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2025
Posts
7,538
Reaction score
18,448
Kawaida usiku huchukuliwa kama muda wa mapumziko muda wa kuipumzisha akili na ubongo ambao pengine umefanya kazi kutwa nzima

Ukiacha wale wenye shift za usiku madaktari, wauguzi, walinzi, na wengine ambao kwao muda huu ndio kama kumekucha

Lakini kama wewe haupo kwenye kundi hilo halafu mpaka sasa bado huna usingizi

who are you my friend? 😅

ShesRise_1 😴
 
Kawaida usiku huchukuliwa kama muda wa mapumziko muda wa kuipumzisha akili na ubongo ambao pengine umefanya kazi kutwa nzima

Ukiacha wale wenye shift za usiku madaktari, wauguzi, walinzi, na wengine ambao kwao muda huu ndio kama kumekucha

Lakini kama wewe haupo kwenye kundi hilo halafu mpaka sasa bado huna usingizi

who are you my friend? 😅

ShesRise_1 😴
Nipo tu apa nakuwaza wewe tuu
 
Unawaza nini tena ?
Hebu jinu swali who are you mpka sasa hujalala ?
Siwezo pato usingizo mudo woto nakuwozo wewo sijuo kwa nino
FB_IMG_1778926736477.jpg
 
Back
Top Bottom