ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 7,538
- 18,448
Kawaida usiku huchukuliwa kama muda wa mapumziko muda wa kuipumzisha akili na ubongo ambao pengine umefanya kazi kutwa nzima
Ukiacha wale wenye shift za usiku madaktari, wauguzi, walinzi, na wengine ambao kwao muda huu ndio kama kumekucha
Lakini kama wewe haupo kwenye kundi hilo halafu mpaka sasa bado huna usingizi
who are you my friend? 😅
ShesRise_1 😴
Ukiacha wale wenye shift za usiku madaktari, wauguzi, walinzi, na wengine ambao kwao muda huu ndio kama kumekucha
Lakini kama wewe haupo kwenye kundi hilo halafu mpaka sasa bado huna usingizi
who are you my friend? 😅
ShesRise_1 😴