Bado mnatumia Excel kufuatilia mali (Asset) za kampuni?

Bado mnatumia Excel kufuatilia mali (Asset) za kampuni?

robbinhood

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2020
Posts
539
Reaction score
1,532
kampuni nyingi bado kufuatilia laptop, printer, furniture au vifaa vya kazi kwa makaratasi au Excel.

Changamoto inaanza vifaa vinapopotea au kukosekana kwa taarifa nani anatumia kifaa gani.


Asset Management System inasaidia,
1. Kufuatilia vifaa vyote kwa urahisi
2. Kujua nani amepewa kifaa gani
3. Kuona history ya matengenezo
4. Kupata report kwa haraka
5. Kupunguza upotevu wa vifaa

Nimeunda mfumo huu kwa ajili ya kampuni, shule, hospitali na taasisi mbalimbali.

Ukihitaji kuona demo au screenshots unaweza kunicheki inbox.

Karibu utueleze, Taasisi uliopo inasimamia vip Assets?
 
Back
Top Bottom