Frumence M Kyauke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2021
- 630
- 1,245
Baby mama wa Rayvanny Fahyvanny ameacha maswali miongoni mwa shabiki zake kwenye mitandao tofauti ya kijamii.
Hii ni baada ya kusema kuwa anateseka kwenye chapisho lake la hivi punde ambalo limesambaa mitandaoni.
Kulingana na chapisho hilo ambalo Fayhma alisambaza kupitia akaunti yake ya Instagram, mwanadada huyo aliwaeleza shabiki zake kuwa anaumwa sana, jambo ambalo watumiaji wa mitandao hawawezi kuacha kulizungumzia.
"Naumwa jamani!" Ameandika Fayhma.
Ujumbe huu aliochapisha hivi punde Fahyvanny akisema kuwa anaumwa umeenea kwenye mitandao tofauti ya kijamii nakuzua hisia tofauti kwa sasa.
Shabiki zake wamekuwa wakimuliza Fahyvanny kwa nini anaumwa huku, wengine wakionesha hisia za kufurahishwa na taarifa hiyo.
Msanii Rayvanny na Fahyvanny walitengana mapema mwaka jana huku kutengana kwao kukizua mdahalo mkubwa mitandaoni.
Hii ni baada ya kusema kuwa anateseka kwenye chapisho lake la hivi punde ambalo limesambaa mitandaoni.
Kulingana na chapisho hilo ambalo Fayhma alisambaza kupitia akaunti yake ya Instagram, mwanadada huyo aliwaeleza shabiki zake kuwa anaumwa sana, jambo ambalo watumiaji wa mitandao hawawezi kuacha kulizungumzia.
"Naumwa jamani!" Ameandika Fayhma.
Ujumbe huu aliochapisha hivi punde Fahyvanny akisema kuwa anaumwa umeenea kwenye mitandao tofauti ya kijamii nakuzua hisia tofauti kwa sasa.
Shabiki zake wamekuwa wakimuliza Fahyvanny kwa nini anaumwa huku, wengine wakionesha hisia za kufurahishwa na taarifa hiyo.
Msanii Rayvanny na Fahyvanny walitengana mapema mwaka jana huku kutengana kwao kukizua mdahalo mkubwa mitandaoni.