arusha

  1. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania TANZIA Wakili Msomi N.I.N Munuo afariki dunia hospitali ya KCMC

    TLS imeondokewa na mwanachama wake wakili mwandamizi
  2. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Kati ya Arusha, Dar, Dodoma na Mwanza, wapi wanaongoza kwa kula mboga?

    Watu wamekuwa wakila mboga kwa visingio mbalimbali, wengine wakisingizia hii sio mboga, hii ni mishikaki. Wengine wanasema hii sio mboga, hii ni supu na wengine wanasema hii sio mboga ni nyama choma. Sasa katika hiyo mikubwa ni wapi mahiri zaidi kwa ulaji wa mboga?
  3. Mkogoti

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukweli lazima Usemwe: kwaiyo Wanawake wote wa Hitwe nyie mikoa yenu ni Dodoma, dar, Arusha na Mwanza, hakuna wa Ruvuma au Mara,

    Ndio nimeingia na mimi huko nami ni mfatiliaji mzuri tu, Sema kinanishinda kitu kimoja Wanawake wote wa huko ni hiyo mikoa ya Dar, Mwanza Arusha na Dodoma ndo wengi, Sijaona wa iringa au Makambako ama wa Rusumo🤦😂, Wanawake mnakwama wapi kuweni kwenye hiyo Mikoa nasi tufaidi alaaa, Sasa...
  4. Mparee2

    JamiiForums Tanzania Hospitali ya rufaa ya Mout Meru Arusha haina parking

    Nilishangaa kuona Hospitali inayoitwa ya Rufaa haina parking. Sehemu pekee watu wanayotegemea kupaki ni nje kabisa pembezoni mwa barabara ya East Africa ambapo ni pafinyu labda niseme panatosha robo ya mahitaji.
  5. Stroke

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Arusha Mjini, kikao kijacho cha Bunge usisahau kufuatilia kiwanda cha General Tyre

    Kiwanda cha kutengeneza matairi cha General Tyre kiliwahi kuwa na mchango mkubwa sana katika uchumi wa mkoa wa Arusha na Taifa kwa ujumla. Kili generate ajira nyingi za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja. Shughuli za kiuchumi zilichangamka kiasi chake. Baada ya kusimamishwa shughuli...
  6. G Sam

    JamiiForums Tanzania Video: Baada ya DC wa Arusha kuchapa watu bakora, Naibu waziri naye afuata nyayo kwa kutembeza bakora kwa wanaoendesha walemavu kwa maslahi yao

    Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayehughulikia watu wenye Ulemavu, Mhe.Ummy Ndeliananga akitembeza bakora kwa watu wanaohusika kuwaendesha watu wenye ulemavu kuomba FEDHA barabarani kwa maslahi yao Binafsi kinyume cha Sheria na Haki za Binadamu. Ni kwa kile alichodai kuwa wanawatoza walemavu...
  7. beth

    JamiiForums Tanzania Wafuasi 19 wa CHADEMA Arusha wapata dhamana kwa makosa ya uhujumu uchumi

    Mahakama kuu Kanda ya Arusha leo Alhamis Desemba 31 imewapa dhamana wafuasi 19 wa Chadema waliokuwa watuhumiwa kwa makosa ya uhujumu uchumi. Dhamana hiyo imetolewa na Jaji wa Mahakama hiyo Mohammed Gwae baada ya mahakama ya hakimu Mkazi kushindwa kutoa dhamana kutokana na mahakama hiyo kutokuwa...
  8. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Tunduru: Mama aua mtoto wake kwa sumu ya panya kwa masharti ya kupata kazi za ndani Arusha

    MKAZI wa Kijiji cha Mwenge, Kata ya Mtina wilayani Tunduru, mkoani Ruvuma, Neema Athumani (24), anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za mauaji ya mtoto wake kwa kumwekea sumu ya panya kwenye soda. Taarifa za tukio hilo zinadai kuwa mwanamke huyo alitekeleza mauaji hayo Desemba 24, mwaka huu, baada...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli ataweza kurejesha Azimio la Arusha? Tujadili

    Ukijaribu kuona aina ya uongozi wa Rais Magufuli na hata anavyojinasibu kupitia kwa wapambe wake ni kwamba anaenenda kama Rais wa kwanza Baba wa Taifa Mwl Julius Nyerere. Miongoni mwa Mambo aliyoanzisha Nyerere ni pamoja na Azimio la Arusha lililotaka watumishi wa umma kutenganisha utumishi wao...
  10. Mzizi Tanzania

    JamiiForums Tanzania Msaada juu ya nauli ya Dar to Arusha

    Wana Jf natarajia kusafiri Alhamisi 24/12/ 2020. kwenda arusha nilikuwa naomba kujua nauli zikoje kwa basi na daraja lake! Ukizingatia nauli za Dar to Arusha naskia huwa zinapanda msomi huu wa sikukuu! Natanguliza shukran
  11. J

    JamiiForums Tanzania Hongera CCM Treni ya Moshi - Arusha yawa mkombozi kipindi hiki cha sikukuu hakuna mchaga atabaki DSM!

    Kiukweli kurejea kwa usafiri wa gari moshi kanda ya kaskazini imekuwa ni mkombozi mkubwa kwetu hasa nyakati hizi za sikukuu za kufungia mwaka. Shukrani pekee ziwaendee viongozi wa CCM na hasa komredi Polepole kwa kuhakikisha usafiri wa gari Moshi unarejea. 2020 hakuna mchagga atakula Krismas...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Waliochapwa na DC Arusha na kulazimishwa kulipa fedha bila kufikishwa mahakamani waombe msaada wa kisheria kumshtaki DC

    Ni miaka karibia mitano sasa viongozi wamekuwa wakijichukulia sheria mikononi na hakuna kiongozi wa kisiasa wa juu anayekemea Jambo linaloashiria wahusika wanatekeleza msimamo wa serikali. Wahanga wa tukio la Arusha wamelazimishwa kupigwa na kisha kulipishwa fedha zaidi ya milioni tano ambazo...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Video: DC wa Arusha alivyoimba mistari stejini kwa kurap

    Inakuwaje Wanajamvi! Ni yule Mkuu wa Wilaya Arusha Kenan Kihongosi aliyewachapa watu wazima viboko makalioni mbele ya watu na waandishi wa habari.
  14. mwanamwana

    JamiiForums Tanzania Arusha: DC Kenani awachapa mboko wanafunzi 3 kwa tuhuma za kuiba madawati 108 na kuyauza kama vyuma chakavu

    Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Kenani Kihongosi amewacharaza bakora wanafunzi watatu wa kidato cha kwanza shule ya sekondari Sinoni kwa tuhuma za kuiba madawati 108 ya shule hiyo na kuyauza kama vyuma chakavu. Wanafunzi hao wanadaiwa kuiba madawati hayo kwa nyakati tofauti na kuwauzia watu watano...
  15. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Tanzania Mgao wa umeme Arusha umeanza

    Hapo vipi, Watu wa Arusha kwa ujumla wameifuta CHADEMA - Arusha wakaweka kijani kibichi ambayo ni ishara ya neema. Ni takriban wiki sasa Arusha maeneo ya Sakina, Mianzini, Sanawari, Sekei, Kimandolu, Ngulelo n.k wanakata umeme alafu wanarudisha jioni hakuna taarifa yeyote. Mwananchi ana haki...
  16. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kongamano la Wanaume wa Arusha ndio kitu gani?

    Nimeona kipeperushi cha kongamano la wanaume wa Arusha. Kongamano hilo lililenga kukutanisha wanaume ili wakazungumzie matatizo wanayokabiliana nayo na kuhimizana kutokaa na jambo moyoni. Sijajua kama walikutana jana ama lah lakini kongamano linawaomba wanaume wa Arusha wasiwe wakimiya...
  17. Barbarosa

    JamiiForums Tanzania Arusha city Geneva ya Afrika imegeuka Mogadishu ya Tanzania

    Serikali yetu imechangia kuuwa mji wa Arusha, kwa nini walijenga ukumbi wa Nyerere Dar wakati tayari AICC ipo ? AICC ilikuwa ni chanzo kikubwa sana cha Uchumi wa Arusha City baada ya UN, sasa UN wameondoka, AICC Mikutano hakuna kwa maana yote inafanyikia Dar unajiuliza kwanini waliamua kujenga...
  18. D

    JamiiForums Tanzania Mabasi ya Arusha, Moshi na Tanga kupita Madale?

    Nimesikia baada ya stendi ya Mbezi kuanza kutumika mabasi ya mikoa tajwa hapo juu yatapitia Goba, Madale, Tegeta, Bagamoyo kuelekea mikoa husika. Lisemwalo lipo kama halipo basi linakuja. Karibuni kwa yeyote mwenye taarifa.
  19. C

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Kazi ya Ualimu Arusha

    TROPICAL CENTRE INSTITUTE LIMITED, inawatangazia nafasi za Kazi, Walimu wenye Sifa katika masomo yafuatayo: - 1. Food and Beverage Service and Sales. 2. Food Production. 3. Front Office. 4. House Keeping. 5. English Language and Communication Skills. Sifa za mwombaji: - 1. Awe ni muhitimu wa...
  20. Kanungila Karim

    JamiiForums Tanzania ARUSHA: Msichana akutwa gesti amefariki

    Arusha. Amina Jamali (18) amekutwa amekufa katika nyumba ya kulala wageni ya Lightness iliyopo jijini Arusha. Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha Salumu Hamduni ameieleza Mwananchi Digital leo Jumamosi Desemba 5, 2020 kuwa taarifa za awali ni kuwa msichana huyo amekufa kifo cha kawaida...
Back
Top Bottom