johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,918
- 141,883
Mkuu wa magereza mkoani Arusha afande Godson Mwanagwa amekanusha taarifa zilizozagaa mitandaoni kwamba mh Lengai Ole sabaya aligoma kuoga na kufanya vurugu gerezani.
Afande Mwanagwa amesema Ole Sabaya alipokelewa vizuri na hakuna tatizo lolote gerezani.
“Alipokelewa vizuri tu hakuna vurugu zilizotokea, hakuna tukio kama hilo lililotokea huyo unayemtaja aliyetoa taarifa mngemuuliza amezitoa wapi mimi muhusika nakuambia wanaoripoti ni waongo”
Amesema Godson Mwanangwa Mkuu wa magereza mkoa wa Arusha
Source: Ayo tv
Afande Mwanagwa amesema Ole Sabaya alipokelewa vizuri na hakuna tatizo lolote gerezani.
“Alipokelewa vizuri tu hakuna vurugu zilizotokea, hakuna tukio kama hilo lililotokea huyo unayemtaja aliyetoa taarifa mngemuuliza amezitoa wapi mimi muhusika nakuambia wanaoripoti ni waongo”
Amesema Godson Mwanangwa Mkuu wa magereza mkoa wa Arusha
Source: Ayo tv