Natafuta kazi yoyote halali kwa Arusha

Frank mtanganyika

JF-Expert Member
Aug 10, 2018
459
732
Mimi ni Civil technician kutokana na uhaba wa contract za ujenzi kwa sasa niko mtaani naombeni kwa yoyote anayeweza kunisaidia kazi yoyote halali.

Note sichagui kazi hata kama unataka kazi ya kibarua sehemu niko tayari kufanya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom