Anonymous Buddy
Member
- Jul 5, 2015
- 8
- 9
Kunae demu nimejuana naye kwa miezi 6 sasa, kiufupi ni Mwanamke wangu na mahusiano yetu yanaenda poa kabisa.
Yeye ni mtu wa Arusha but anaishi Dar kwa ndugu zake, Majuzi kati kulitokea kutokuelewana yeye na ndugu zake hali inayomfanya asiishi kwa amani.
Binafsi sitaki kuingilia ugomvi wao lakini demu anataka kuhama na msaada pekee alionao sasa hivi huku Dar ni mimi.
Nahofia kumpangia nyumba ya kuishi huenda nikaonekana kama chanzo cha ugomvi wake na ndugu zake, but honestly nakapenda haka kabinti na nikazuri mashaallah.
Ushauri wako tafadhali.
Yeye ni mtu wa Arusha but anaishi Dar kwa ndugu zake, Majuzi kati kulitokea kutokuelewana yeye na ndugu zake hali inayomfanya asiishi kwa amani.
Binafsi sitaki kuingilia ugomvi wao lakini demu anataka kuhama na msaada pekee alionao sasa hivi huku Dar ni mimi.
Nahofia kumpangia nyumba ya kuishi huenda nikaonekana kama chanzo cha ugomvi wake na ndugu zake, but honestly nakapenda haka kabinti na nikazuri mashaallah.
Ushauri wako tafadhali.