ardhi

  1. X-Agent

    JamiiForums Tanzania Msaada Muongozo wa namna ya kununua ardhi ambayo tayari ipo kwenye process ya kupimwa

    Wataalamu naomba msaada wenu, kuna Ardhi nataka kununua, muuzaji tayari alishalipia kwaajili ya upimaji na usajili lakini wapimaji bado hawajafika kwa ajili ya upimaji, je ni namna gani bora ya kuweza kununua kiwanja hiki ili kuepuka migogoro ya umiliki ambayo inaweza kuja kujitokeza baadae?
  2. Nuraty J

    JamiiForums Tanzania Kunduchi: Wapimaji Ardhi wakiuka agizo la Waziri Lukuvi

    Habarini wapendwa," Nimepita jana maeneo ya kule Kunduchi /Meko/Mtongani, kuna upimaji wa maeneo yaliyo jengwa na viwanja baada ya kurasimishwa, tatizo nililoliona kuna utapeli unafanyika. Mhe. Lukuvi alitangaza mwaka Jana mwezi Aprili kuwa gharama za kupimiwa kiwanja ni TSH 150,000/= Sasa...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Msaada tafadhali wa hili la ardhi

    Nina kipande cha ardhi. Ni unsurveyed nilinunua kwa mtu. Nikaenda kucheki status yake ardhi, nikakuta humo kuna ramani za open space, Msikiti, Kanisa, Soko etc. eti sehemu hizo zimeshakuwa marked for those activities. Mwenye eneo anasema hajawahi kupimiwa na hajui nani alifanya hayo. Nataka...
  4. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Serikali isimamie kutoa fidia kwa wale wanaotoa ardhi kwa ajili ya maendeleo, watu wanalia sana

    Binafsi naiamini na kuiomba Serikali ya sasa jinsi inavyosimamia maendeleo kadhaa isimamie pale wananchi wanapolipwa pesa zao kwa kutoa ardhi kwa ajili ya serikali. Hili naamanisha ama inapovunja nyumba ama kuchukua sehemu ambayo wana haki ya kulipwa. Nimeona wengi wakiteseka hasa wanaposema...
  5. J

    JamiiForums Tanzania Kigamboni: Ndugulile tutakukumbuka kwa kuipigania ardhi yetu isiuzwe kwa mabeberu na akina Methew wa CHADEMA

    Wananchi wa Kigamboni wanasema hata kama mbunge wa sasa wa jimbo hilo Dkt. Ndugulile hatapitishwa na CCM kugombea bado atakumbukwa daima na wapiga kura. Wamesema Dkt. Ndugulile alisimama kidete kuwatetea barazani na bungeni ili manyang'au wasipole ardhi yao. Wamedai waziri mstaafu Prof...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Joakim Minde (Laitolya Tours)- ATT: Waziri wa Ardhi

    Ndugu Mh. Waziri, Mtajwa hapo juu alifariki siku ya tarehe Saba July 2020 na anatakiwa kuzikwa siku ya kesho. Nalotaka kuketa kwako ni kesi inayohusu huyu marehemu na chama Cha Ushirika Cha Uru Cooperative kinachomiliki shamba la maize na Kifumbu Estate. Huyo Bwana aliingia mkataba na chama...
  7. mkiluvya

    JamiiForums Tanzania Makamishna wa Ardhi watakiwa kukutana na Taasisi zinazodaiwa kodi ya pango la Ardhi

    Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amewaagiza Makamishna Wasaidizi wa ardhi katika ofisi za mikoa kukaa na taasisi za serikali zinazodaiwa kodi ya pango la ardhi kuangalia namna bora ya kulipa madeni wanayodaiwa. Dkt Mabula alitoa agizo hilo jana mkoani...
  8. Civilian Coin

    JamiiForums Tanzania Taarifa: Nimekwisha kula Kiapo (DEED POLI) na kwa msajili wa Viapo na Nyaraka (Mahakama ya Ardhi) kuanzia sasa nitakuwa naitwa DON NALIMISON

    Nyaraka hii, sahihi zimefichwa kwa sababu za kisheria tu. Mahakama ya Ardhi Nimekwisha lipia usajili na subiri hati yao tu muda wowote.@DON NALIMISON.
  9. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Afisa Ardhi Arumeru Matatani

    WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, amemfukuza kazi Ofisa Ardhi wa Wilaya ya Arumeru, mkoani Arusha, Nicodemus Hillu, kwa kosa la kurejesha eneo lenye ukubwa wa ekari 3000, kwa mwekezaji Paradeep Lodhia, lililokuwa limefutwa na Rais Dk. John Magufuli. Katika...
  10. mkiluvya

    JamiiForums Tanzania Waziri Lukuvi aagiza Hati za Ardhi kutolewa ndani ya wiki moja

    Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeeo ya Makazi William Lukuvi ameagiza kutolewa Hati za umiliki wa ardhi ndani ya wiki pamoja pale mwananchi atakapokuwa amekamilisha taratibu zote za umilikishwaji ardhi. Aidha, ameagiza wananchi kupatiwa hati zao za ardhi katika halmashauri waliolipia gharama...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Ardhi imulikeni Mtwara Mjini

    Wanajamii forum nawasalim, Naiomba wizara ya Ardhi na Maendeleo Ya Makazi waumulike Manispaa ya Mtwara. Mimi ni mhanga katika ufisadi ambao unaendelea pale ofisi ya ardhi jirani ma BOT. Nilikuwa nahitaji kulipia kiwanja changu. Lakini kila nikipewa control number inasoma jina ambalo silo la...
  12. Chalikidunda

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa kuhusu Sheria ya Ardhi Serikali za Mitaa

    Samahani wanasheria wasomii, napenda kujua kuhusu sheria ya umiliki wa ardhi serikali la mitaaa, kwani tumekuwa tukiteswa na migambo na vuobgozi wa maendeleo kuhusu uharibifu wa mazibgira ,hata kama ukilima sehemu isiyokuwa ndani ya hidadhi wanakukamata na fine ni zaid ya laki 6. Napenda...
  13. Nigrastratatract nerve

    JamiiForums Tanzania Kwa aliyoituhumu Tanzania akiwa ughaibuni, Lissu hatakiwi kabisa kukanyaga ardhi ya Tanzania

    The man is naive ameropoka toka mwaka Jana serikali haijamjibu chochote Amezunguka akihamasisha mabaya yote ya nchi serikali imekaa kimya Nadhani huyu jamaa anaichukulia poa sn Tanzania kwamba unaweza Fanya chochote bila kufanywa chochote . Jamaa anasahasau kwamba anaowategemea tuliwafurusha...
  14. Mkikuyu- Akili timamu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tetesi: Uganda wamekataa SGR ya Kenya na ardhi waliopewa bure huko Naivasha

    Wakuu, Ukajanja wa Kenyatta umekwisha. Hongera Museveni, wacha linchi la njaa na ukabila likule ujeuri wao. ======
  15. S

    JamiiForums Tanzania Natafuta kiwanja, ardhi au shamba Morogoro Manispaa

    NATAFUTA KIWANJA , SHAMBA , ARDHI MOROGORO MANISPAA Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, natafuta Kiwanja, Shamba au Ardhi ya kununua Morogoro Manispaa.Ardhi ninayohitaji iwe aidha imepimwa (i.e Surveyed land) au haijapimwa (i.e unsurveyed land or Squatter ), isipokuwa kitu cha...
  16. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Kiti tunaomba na ardhi ya kuotesha miti

    Huu ni ubunifu wa kuvutia watalii. India vitu kama hivi vinauzika sana kwa watalii. Huu ni ubunifu wa Hispania kuwakutuma Miti ya mizeituni (olive)
  17. R

    JamiiForums Tanzania Lukuvi, mbona ofisi za kila mkoa ulizozifungua kumaliza taratibu za umiliki wa ardhi hazifanyi kazi? Bado tunalazimika kwenda ofisi za Kanda na Dar

    Ulitutangazia na tukakuona kwenyeTv ukisema kuwa process/procedure zote za umiliki wa ardhi ( kiwanja/viwanja) zitamalizwa na mkoa (ulianzisha ofisi za ardhi kwa baadhi ya mikoa) bila kwenda Dar/ Moshi/Mwanza kwenye kanda kama taratibu za zamani zilivyo kuwa. Leo naona bado utaratibu wa...
  18. A

    JamiiForums Tanzania Sasa migogoro ya wakulima na wafugaji imekomeshwa

    Hivi ni kweli kwamba migogoro ya ardhi baina ya wakulima na wafugaji sasa imeisha,au labda vyombo vya habari vinaogopa kureport kwakua rais alisha piga mkwala kwamba vina uhuru "but not to that extent". Kama bado ipo na vyombo vya habari vinaogopa kureport nini hatima yake na kama kweli...
  19. N

    JamiiForums Tanzania Zimbabwe yafanya toba kwa mabeberu. Yatunga sheria ya kurudisha ardhi iliyoporwa na utawala wa Mugabe.

    Zim to give back farms taken under land reform programme 20:20 10/03/2020 Crecey Kuyedzwa Zimbabwe has announced plans to give back land controversially taken over under its controversial fast track land reform programme, which started in 2000. The programme, which was criticised for being...
  20. S

    JamiiForums Tanzania Migogoro ya ardhi:Kati ya mikaba na sheria ya ardhi,kipi hutumika kuamua migogoro/mashauri yanayohusu ardhi katika vyombo vya kutoa haki?

    Hivi katika utatuzi wa migogoro ya ardhi au mashauri ya ardhi katika vyombo vya kutoa haki(mabaraza ya ardhi na mahakama) kipi hutumika katika kufanya maamuzi? Kwa maneno mengine,inapotokea mikabata ya watu kuuziana ardhi au watu kuweka ardhi rehani ili kupata mkopo,n.k na baadae ukaibuka...
Back
Top Bottom