ardhi

  1. M

    GE2020 Lissu ashtushwa na kitendo cha viongozi wakuu wastaafu kuhodhi ardhi kubwa sana na kupelekea migogoro ya wakulima na wafugaji nchini

    Katika hali ya kuendelea na wito wake wa kuliponya Taifa kupitia kusema ukweli mchungu, Ndugu Tundu Lissu amewaeleza wananchi wa Ifakara na Kilombero mshtuko mkubwa alioupata baada ya kufahamu ardhi kubwa sana ya mkoa wa morogoro kumbe inahodhiwa na viongozi wakuu wa nchi wastaafu. Lissu amesema...
  2. Mwanahabari Huru

    Askofu Mkuu Emmaus Bandekile akanyaga ardhi ya Zanzibar na kukemea hujuma na ukiukwaji wa haki katika Uchaguzi Mkuu

    Tarehe 7 Septemba 2020: Niliendelea kupaza sauti ili kutaka HAKI katika nchi. Nilionya na kutahadharisha kuhusu uwezekano wa kutokea kwa vurugu za kisiasa katika Visiwa vya Unguja na Pemba (Zanzibar) endapo Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) haitawarejesha Wagombea wa Upinzani walioenguliwa hasa...
  3. WaHapahapa

    Migogoro ya Ardhi Jijini Dodoma

    Mhe. Rais na mgombea wa Chama cha mapinduzi, kunajambo yawezekana wasaidizi wako wanakuficha kuhusu migogoro ya ardhi katika eneo la ngome ya CCM Dodoma. Kumekua na migogoro ya kutengenezwa na ile iliyokuwa CDA ambayo uliivunja mara moja ili kuondoa Migogoro ya ardhi jijini Dodoma, Lakini kitu...
  4. Homeboy255

    Msaada: Jinsi ya kufanya maombi Ardhi university

    Mbna hawanipi payment fee .. wanasema application pending
  5. Nyanswe Nsame

    Watumishi ardhi Jiji Mwanza linawaliza wananchi viwanja

    Watumishi ardhi Jiji Mwanza linawaliza wananchi viwanja JIJI la Mwanza linatuhumiwa kudhurumu viwanja vya familia ya Marehemu Hassan Seif, Mkazi wa Nera wilayani Nyamagana mkoani Mwanza vilivyomilikiwa na familia hiuo tangu mwaka 1984. Viwanja vilivyochukuliwa na Jiji na kuviuza kwa watu...
  6. Jamii Opportunities

    Tutorial Assistant at Ardhi University

    ARDHI UNIVERSITY JOB VACANCIES Ardhi University has vacant position in the Academic cadre as indicated below. The University subscribes to the policy of an equal opportunity employer and therefore invites applications from candidates who are interested to work in a thriving University...
  7. ze future

    Mambo Unayotakiwa kufanya linapotokea tetemeko la ardhi

    Kwa mujibu wa tafiti za jiolojia tetemeko hutokea mara kwa mara, lakini mara nyingi ni hafifu mno, haisikiki na binadamu ila tu inapimwa na mitambo ya wataalamu. Mara nyingine huweza kusababisha madhara kama uharibifu wa makazi na mali. Tetemeko likitokea katika eneo la bahari, basi huweza...
  8. Determinantor

    Tetemeko la Ardhi latokea baadhi ya Mikoa ya Tanzania

    Wakuu hili tetemeko limepita Huku Ubungo mkoa wa Dar es Salaam. Vipi huko kwenu? Earthquake M6.1 - 3.495 miles of Field Patch - Tanzania by BMKG (2020-08-12 17:13:13 UTC) -- Taarifa ya WanaJF walio mkoa wa Morogoro Pia soma: Tetemeko la ardhi 14:57Hrs lapita mkoani Tabora Tetemeko dogo...
  9. pombe kali

    Migogoro ya ardhi Dar ilitatuliwa kwa kuvunja mabaraza ya ardhi ya kata

    Baada ya aliyekuwa mkuu wa mkoa Dar kuitisha, watu wenye matatuzo ya kisheria ili watatuliwe Kero zao, majibu yalitoka kuwa kero nyingi ni za ardhi ambazo zilikuwa zinasababishwa na mabaraza ya ardhi. RC wa Dar kipindi hicho alifanya Maamuzi magumu kuyafuta mabaraza ya Ardhi na kwa kweli...
  10. Ndengaso

    Msaada Muongozo wa namna ya kununua ardhi ambayo tayari ipo kwenye process ya kupimwa

    Wataalamu naomba msaada wenu, kuna Ardhi nataka kununua, muuzaji tayari alishalipia kwaajili ya upimaji na usajili lakini wapimaji bado hawajafika kwa ajili ya upimaji, je ni namna gani bora ya kuweza kununua kiwanja hiki ili kuepuka migogoro ya umiliki ambayo inaweza kuja kujitokeza baadae?
  11. Nuraty J

    Kunduchi: Wapimaji Ardhi wakiuka agizo la Waziri Lukuvi

    Habarini wapendwa," Nimepita jana maeneo ya kule Kunduchi /Meko/Mtongani, kuna upimaji wa maeneo yaliyo jengwa na viwanja baada ya kurasimishwa, tatizo nililoliona kuna utapeli unafanyika. Mhe. Lukuvi alitangaza mwaka Jana mwezi Aprili kuwa gharama za kupimiwa kiwanja ni TSH 150,000/= Sasa...
  12. S

    Msaada tafadhali wa hili la ardhi

    Nina kipande cha ardhi. Ni unsurveyed nilinunua kwa mtu. Nikaenda kucheki status yake ardhi, nikakuta humo kuna ramani za open space, Msikiti, Kanisa, Soko etc. eti sehemu hizo zimeshakuwa marked for those activities. Mwenye eneo anasema hajawahi kupimiwa na hajui nani alifanya hayo. Nataka...
  13. Pdidy

    Serikali isimamie kutoa fidia kwa wale wanaotoa ardhi kwa ajili ya maendeleo, watu wanalia sana

    Binafsi naiamini na kuiomba Serikali ya sasa jinsi inavyosimamia maendeleo kadhaa isimamie pale wananchi wanapolipwa pesa zao kwa kutoa ardhi kwa ajili ya serikali. Hili naamanisha ama inapovunja nyumba ama kuchukua sehemu ambayo wana haki ya kulipwa. Nimeona wengi wakiteseka hasa wanaposema...
  14. J

    Kigamboni: Ndugulile tutakukumbuka kwa kuipigania ardhi yetu isiuzwe kwa mabeberu na akina Methew wa CHADEMA

    Wananchi wa Kigamboni wanasema hata kama mbunge wa sasa wa jimbo hilo Dkt. Ndugulile hatapitishwa na CCM kugombea bado atakumbukwa daima na wapiga kura. Wamesema Dkt. Ndugulile alisimama kidete kuwatetea barazani na bungeni ili manyang'au wasipole ardhi yao. Wamedai waziri mstaafu Prof...
  15. K

    Joakim Minde (Laitolya Tours)- ATT: Waziri wa Ardhi

    Ndugu Mh. Waziri, Mtajwa hapo juu alifariki siku ya tarehe Saba July 2020 na anatakiwa kuzikwa siku ya kesho. Nalotaka kuketa kwako ni kesi inayohusu huyu marehemu na chama Cha Ushirika Cha Uru Cooperative kinachomiliki shamba la maize na Kifumbu Estate. Huyo Bwana aliingia mkataba na chama...
  16. mkiluvya

    Makamishna wa Ardhi watakiwa kukutana na Taasisi zinazodaiwa kodi ya pango la Ardhi

    Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amewaagiza Makamishna Wasaidizi wa ardhi katika ofisi za mikoa kukaa na taasisi za serikali zinazodaiwa kodi ya pango la ardhi kuangalia namna bora ya kulipa madeni wanayodaiwa. Dkt Mabula alitoa agizo hilo jana mkoani...
  17. Civilian Coin

    Taarifa: Nimekwisha kula Kiapo (DEED POLI) na kwa msajili wa Viapo na Nyaraka (Mahakama ya Ardhi) kuanzia sasa nitakuwa naitwa DON NALIMISON

    Nyaraka hii, sahihi zimefichwa kwa sababu za kisheria tu. Mahakama ya Ardhi Nimekwisha lipia usajili na subiri hati yao tu muda wowote.@DON NALIMISON.
  18. Analogia Malenga

    Afisa Ardhi Arumeru Matatani

    WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, amemfukuza kazi Ofisa Ardhi wa Wilaya ya Arumeru, mkoani Arusha, Nicodemus Hillu, kwa kosa la kurejesha eneo lenye ukubwa wa ekari 3000, kwa mwekezaji Paradeep Lodhia, lililokuwa limefutwa na Rais Dk. John Magufuli. Katika...
  19. mkiluvya

    Waziri Lukuvi aagiza Hati za Ardhi kutolewa ndani ya wiki moja

    Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeeo ya Makazi William Lukuvi ameagiza kutolewa Hati za umiliki wa ardhi ndani ya wiki pamoja pale mwananchi atakapokuwa amekamilisha taratibu zote za umilikishwaji ardhi. Aidha, ameagiza wananchi kupatiwa hati zao za ardhi katika halmashauri waliolipia gharama...
Back
Top Bottom