Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Nashindwa kuamini kuwa mpaka muda huu hakuna hata mmoja wao miongoni waliotajwa aliweza kutoka hadharani kukanusha au kufafanua juu ya tuhuma hizi. Yaani hata ofisi zao zimeshindwa kuwatetea!
Swali la msingi hapa ni je, kama tuhuma ni za uongo, kwanini ichukue muda kujibu?
Tutaelewana tu mwaka huu.
Swali la msingi hapa ni je, kama tuhuma ni za uongo, kwanini ichukue muda kujibu?
Tutaelewana tu mwaka huu.