Caroline who was three months pregnant was injured while trying to stop a fight between her brother and her uncle who were fighting over a parcel of land.
The area chief says the suspect arrived home while drunk and armed himself with a panga before proceeding to wake his uncle who he was...
Wakuu wakati mwingine tunaandika humu JF hadi tunashindwa kueleza , Kiukweli haya mambo sometimes hayaelezeki .
Tunaomba radhi sana kwa tunaowakwaza kwa habari zetu hizi motomoro za Mbowe na Chadema , hatuwezi kuficha , maana kuna msemo wa kiswahili unasena hivi , Kizuri kula na nduguyo
JESHI la Polisi mkoani Tabora linawashikilia watu watano kwa tuhuma za kumuua mkazi na mkulima wa kijiji cha Wita, Kata ya Ndala Wilaya ya Nzega mkoani hapa, Andrea Kipela (72) chanzo kikiwa ni mgogoro wa ardhi.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara kati ya wananchi wa kijiji hicho na Kamati ya...
Imeripotiwa na luninga ya ITV kuwa baadhi ya wananchi waliopewa ardhi na Rais Magufuli kwa ajili ya kilimo cha mazao ya chakula wao wamepanda bangi.
Mkuu wa wilaya ya Chato na kamati yake ya ulinzi na usalama imewalazimu kuvamia mashamba hayo na kuwashurutisha wale waliolima bangi waing'oe na...
Waziri wa ardhi mh Lukuvi leo ametekeleza agizo la Rais Magufuli kwa kuikabidhi halmashauri ya Kigamboni ekari 715 zilizokuwa za Quality group iliyozimiliki kupitia International Village ltd.
Rais Magufuli alitoa siku 7 kwa Waziri Lukuvi awe ameikabidhi ardhi hiyo kwa halmashauri ya Kigamboni...
Zaidi ya asilimia 80 ya wananchi hasa mijini wanaishi nyumba za kupanga. Kwa mji kama DSM ambapo bado kuna uhitaji mkubwa wa makazi bora, watu hutumia zaidi ya robo ya vipato vyao kulipia kodi za nyumba kila mwezi, lakini cha kushangaza, serikali haioni unyeti wa kuingilia na kusimammia sehemu...
Juzi kwenye maadhimisho ya siku ya sheria, Mh. Rais pamoja na mambo mengine alizungumzia matatizo ya Mabaraza ya Ardhi na Nyumba (ya Wilaya) na baadaye akatoa rai kwa Jaji Mkuu kutazama namna ambayo Mahakama inaweza kusimamia Mabaraza haya ili kukabiliana na malalamiko ya migogoro ya ardhi...
Mvua kali zilizonyesha nchini Brazil zimepelekea maporomoko ya ardhi ambayo yamesababisha uharibifu mkubwa wa miundombinu.
Watu 46 wafariki katika maporomoko ya ardhi yaliosababishwa na mvua kali zilizonyesha nchini Brazil.
Kiongozi wa kitengo kinachohusikana na usalama wa rais katika eneo la...
Watu 14 wafariki katika tetemeko la ardhi katika eneo la Mashariki mwa Uturuki.
Tetemeko la ardhi ambalo lilikuwa na ukubwa wa 6.7 katika kipimo cha Richter limetokea Elaziğ na kusababisha vifo vya watu 14 na kuwajeruhi watu wengine zaidi ya 300.
Tetemeko hilo limetokea majira ya saa mbili...
Israel imeanza hii leo kuchimba eneo la mpaka wake na Lebanon kwa ajili ya kufunga mfumo wa kujilinda utakaopita chini ya ardhi hii ikiwa ni mujibu wa jeshi la nchi hiyo.
Luteni kanali Jonathan Conrius amesema kwenye mfumo huo kutafungwa vifaa vya kutambua shughuli zozote za uchokozi. Amesema...
JAMII MASKINI KWENYE ARDHI TAJIRI
(MSANGANO MOMBA)
BY
MSUKU PETER
UTANGULIZI
Umasikini. Ni hali ya ukosefu wa mahitaji ya msingi ya binadamu kama vile malazi, mavazi na chakula. Lakini pia maji safi na salama, huduma za afya, kutokana na kukosa uwezo wa kununua au kulipia. Hii pia...
Wapendwa habarini za jioni/usiku.
Naombeni msaad wa namna ya kuipata muvi ya san andreas ya tetemeko la ardhi iliyokuwa inamhusisha dada aliyeanguka kwenye bonde la san fernando california then anaokolewa na helicopter.
link ya kipande cha muvi
Utangulizi
Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho kimeundwa kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa na Sheria Na. 18 ya mwaka 2007 kifungu 29(1).
Kwa mujibu wa Sheria hiyo, chombo hiki, pamoja na kazi zingine kimepewa jukumu...
Mara ya mwisho nilifanya hivi ilikua mwaka jana na wengi niliwasaidia bure tu, lakini hawakushukuru au wengine kuleta mrejesho.
Naam wakili nipo likizo toka hapa kijijini nilipo so naimani naweza kutoa msaada walau ata robo tu tokana na maarifa machache ya sheria niliyo bahatika kuya soma.
Pro...
Watu 13 wafariki, zaidi ya 600 wajeruhiwa katika tetemeko la ardhi lililotkea nchini Albania.
Watu watatu waripotiwa kufariki na wengine zaidi ya 150 wajeruhiwa katika tetemeko la ardhi ambalo limetokea mjini Tirana nchini Albania.
Tetemeko kubwa ambalo wanasayansi wamefahamisha kuwa lilikuwa...
Licha ya kuwa Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Jemedari Rais Mhe. John Magufuli kuwa katika mstari wa mbele kupiga vita rushwa, lakini katika hali ya kusikitisha vitendo vya rushwa vimekithiri Baraza la Ardhi na Nyumba Arusha.
Wengi wa wanaohitaji huduma kutoka kwa waheshimiwa...
Ili Mtanzania aendelee pamoja na mengine anahitaji kipande cha ardhi.
Bila kujali ni 1*1 au hekari 1000. Haiwezekani Mungu akuumbie dunia umiliki lakini wewe huna. Leo Mungu akisema kila mmoja asimame kwake ukabaki unatangatanga atakuchapa bakora kwa uovu wa kutomiliki ardhi aliyokupa.
Wakuu...
Kuna taarifa zinazoenea kuwa, wakulima waliokuwa wakimiliki mashamba katika shamba namba saba lililopo ktk kijiji cha mambegwa wilayani kilosa kunyang'anywa mashamba yao.
Ingawaje wakulima hao walipewa mashamba hayo kihalali mwaka 2009 yakiwa ni mapori na misitu minene, lakini inasemekana kuna...
Enzi zile Zimbabwe inaitwa Rhodesia ilikuwa mzalishaji mkubwa wa mahindi, Rhodesia iliweza kuzalisha mahindi na kulisha Afrika yote hasa kukiwa na ukame.
Waliweza kufanya vile kwakua walowezi walilima kwa kutumia mashine, walikuwa na mashamba ya biashara. Jembe la mkono haliwezi kumkomboa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.