ajira

  1. D

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi

    Jobs facilitators ni Organization inayowaunganisha waajiriwa kwa waajiri. Kwa yeyeto mwenye hitaji la kazi yoyote tafadhali tutumie ujumbe kupitia Email Address hapo chini... Jobsfacilitators@gmail.com Na kwa muajiri anaehitaji muajiriwa pia anaweza kuwasiliana na sisi.kupitia Email Address...
  2. D

    JamiiForums Tanzania NAFASI YA KAZI DAR.

    Habari... Anahitajika kijana kwa ajili ya kazi ya utengenezaji na uuzaji juice ya miwa .. eneo kigamboni ferry .. awe msafi,mzoefu,muaminifu na mchapakazi. Mshahara mzuri .. malipo ya kila siku. Garama za chakula na usafiri atapata. Kwa muhitaji wa kazi hii aniPM au atume ujumbe kupitia...
  3. D

    JamiiForums Tanzania Madereva wa Uber, Taxify na Rova Dar es Salaam

    Madereva wenye uzoefu na kazi na wanaoijua kazi wanapatikana kwa wakazi wa Dar es salaam ,Dodoma na Mwanza. SIFA ZAO ★Wanajua ufundi wa magari ★Wamepitia mafunzo ya udereva ★Hawana rekodi mbaya ya kutokamilisha hesabu ★wastaarabu ★Wasafi Wasiliana na sisi tunguunganishe moja kwa moja na dereva...
  4. D

    JamiiForums Tanzania TAXIFY DODOMA

    Mfumo wa usafiri wa kimtandao wa Taxify sasa wawafikia wakazi wa dodoma. Kwa yeyote anaehitaji madereva wa hesabu au mkataba usisite kuwasiliana na jobsfacilitators@gmail.com Madereva wanapatikana, wastaarabu na waaminifu na wenye uzoefu na kazi. Gari...
  5. SOKETI

    JamiiForums Tanzania Kujiajiri kupitia watu wanaotafuta ajira

    UKIPITIA POST HIZI UTAWEZA KUTAMBUA NAMNA WATU WANAVYOWEZA KUBUNI MBINU ZA UJASIRIAMALI KILA KUKICHA Jamani hii tabia mpya, post ya Inosent Watanzania tunakoelekea sio kuzuri,juzi niliomba kazi kwenye ampuni ya wa Swedish cha kushangaza nikatumiwa messege na mtu nisie mfahamu tena...
Back
Top Bottom