jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Nimshukuru kwa moyo wa dhati Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutambua mchango wa madaktari na uhitaji wa wananchi kupata huduma zenye weledi.
leo hii ameagiza madaktari 1000 kuajiriwa...hili sio jambo dogo kiuchumi kwani wage bill katika sekta hii moja tu ni kubwa.
Jukumu la madaktari watakaopewa fursa ni kuhudumia vilivyo wananchi haswa maeneo yasiofikika kirahisi.hii inamaanisha Serikali ya CCM imedhamiria kifikisha huduma bora za Afya kivitendo...kwanza kwa kujenga miuondombinu ya Afya na sasa kwa kupeleka wataalamu.
Madaktari tutendee haki kiapo cha Appolo na kuhakikisha watu wanapona na kusaidika.
VIVA JPM ...HAPA KAZI TU
leo hii ameagiza madaktari 1000 kuajiriwa...hili sio jambo dogo kiuchumi kwani wage bill katika sekta hii moja tu ni kubwa.
Jukumu la madaktari watakaopewa fursa ni kuhudumia vilivyo wananchi haswa maeneo yasiofikika kirahisi.hii inamaanisha Serikali ya CCM imedhamiria kifikisha huduma bora za Afya kivitendo...kwanza kwa kujenga miuondombinu ya Afya na sasa kwa kupeleka wataalamu.
Madaktari tutendee haki kiapo cha Appolo na kuhakikisha watu wanapona na kusaidika.
VIVA JPM ...HAPA KAZI TU