ajira

  1. AHMARDZ

    JamiiForums Tanzania Nashida ya Kuzamia

    Habarini wana JF, mimi ni mhanga wa ajira kwa muda tuu ila nimetafakari na kuona halihalisi ya maisha yanavyozidi kuwa juu nimeona nitafute kazi nje ya nchi, nje ya Africa kazi yoyote ya halali hata kudeki vyoo, kwa anayejua au mwenye ndugu pls aniunganishe, asanteni mtakaoguswa. Maisha magumu...
  2. C

    JamiiForums Tanzania HESLB mkimaliza kuwaumbua wadaiwa sugu Jumatato ijayo, muwaumbue pia na wale wanaofanya tatizo la ajira kuongezeka nchini

    Nichukue fursa hii adhimu kabisa kuwapongezeni watu wazima ambao ni Watendaji wa Bodi ya Mikopo nchini ( HESLB ) kwa kuweza kupoteza muda wenu mwingi, kujadiliana, kuchanganya fikra zenu hadi baadae mkaja na maamuzi ambayo Kwenu mmeona yana Tija ya kuwaumbua wadaiwa sugu wa mikopo na kuweka...
  3. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Waitara anakubali kuwa kuna upungufu wa walimu na ajira zilisimama

  4. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Kupunguza tatizo la ajira serikali iruhusu huduma ya kupokea pesa kupitia PayPal

    Tanzania kumekuwa na tatizo kubwa la ajira. Njia moja ya kuondoa hilo tatizo ni kwa watu kutafuta kazi za kufanya online, yaani mitandaoni. Kazi zipo nyingi. Mfano, waweza pata kazi ya kutafsiri website ya kampuni au mtu kwa Kiswahili au kutafsiri kitabu. Unafanya online malipo yanakuwa kwa njia...
  5. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Tusilazimishe ajira kwa kuwakosesha watu ajira

    Elimu yetu imekaa katika hali ambayo kila mmoja anaijua, kuenda mwisho kuchukua gamba pale juu. Kutokana na ubovu wa yanayotoka chuoni kumeanzisha bodi ili kuhakiki tena ubora wa wale waliotoka vyuoni, bodi ya wahasibu, bodi ya bankers, wahandisi, wagavi nk. Hii imefanya watu waajiriwe katika...
  6. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Tuwekeze zaidi kwenye kilimo, tutumie ardhi yetu na izalishe ajira

    Enzi zile Zimbabwe inaitwa Rhodesia ilikuwa mzalishaji mkubwa wa mahindi, Rhodesia iliweza kuzalisha mahindi na kulisha Afrika yote hasa kukiwa na ukame. Waliweza kufanya vile kwakua walowezi walilima kwa kutumia mashine, walikuwa na mashamba ya biashara. Jembe la mkono haliwezi kumkomboa...
  7. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Kwanini Viongozi ' Waandamizi ' na ' Waliostaafu ' bado huwa wanapewa Vyeo badala ya kuachwa Wapumzike?

    Leo nikijibiwa na Kuelemishwa ' Kiutaalam ' kabisa katika hili nililouliza nitawashukuruni sana Wadau. Na kama tulikuwa kumbe bado tunawahitaji kwanini wakati tukijua wanakaribia Kustaafu ' Utendaji ' wao Serikali basi tusingewaongezea tu muda na waendelee kuwatumikia Watanzania? Kuna Mzee...
  8. Y

    JamiiForums Tanzania Wale wahanga wa ajira tukutane hapa

    Wale wahanga wa ajira,nimeona niwashirikishe fusra hii ya kuweza kujiingizia kipata ukiwa nyumbani. Nimeona niwashirikishe maana nami nimeshirikishwa. Fungua hiyo link na ujiunge leo na uanze kujiingizia kipato. https://jubmoney.xyz/1149647779795/
  9. Makirita Amani

    JamiiForums Tanzania Kitabu: Biashara ndani ya ajira, toleo la pili, Oktoba 2019

    Rafiki yangu mpendwa, Mwezi Oktoba mwaka 2016 nilitoa toleo la kwanza la kitabu cha BIASHARA NDANI YA AJIRA. Kitabu ambacho kilikuwa na maarifa na mwongozo sahihi kwa yeyote anayetaka kuingia kwenye biashara lakini kazi inakuwa kikwazo kwao. Nilitoa kitabu hiki baada ya kujifunza kwa wengi...
  10. Zuia Sayayi

    JamiiForums Tanzania PROJECT OFFICER (1 position )

    Magu Poverty Focus on Older People Rehabilitation Centre (MAPERECE) in collaboration with Amref Health Africa Tanzania is implementing Empowering Women with Obstetric Fistula Project in Mwanza Region. The project aims to deliver a fistula treatment, psychosocial support, and livelihoods...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Qualified Baker of Bread And Pastries/ Muoka Mikate na Keki

    Natafuta mtaalamu wa kuoka mikate ya aina mbalimbali, keki, biskuti , donut, maandazi. Awe na cheti kutoka Veta/ chuo cha utalii ama taasisi nyingine zinazotambulika. Mahala pa kazi ni Dar es Salaam, Kijitonyama. Awe tayari kufanya kazi kwa shifti- mchana ama usiku, na pia awe mbunifu...
  12. aztec

    JamiiForums Tanzania Bachelor of Agriculture Economy and Agribusiness

    Wakuu naomba kuuliza juu ya kozi ya ""Bachelor of Agriculture Economy and Agribusiness """ iliyopo pale sua . Ipoje na fursa zake zipoje.
  13. A

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kujua basics questions za interview ya udereva

    Ndugu yangu anahitaji msaada kwa mwenye uelewa juu ya maswali ya interview kuhusu udereva serekalini.ameitwa kesho interview ya tanesco northern zone. Msaada jamani kwa mwenye uwelewa
  14. AjiraLeo

    JamiiForums Tanzania HABARI NJEMA: UTUMISHI WAMETANGAZA NAFASI ZA - CHINA MOFCOM SCHOLARSHIPS 201O20.

    HABARI NJEMA: UTUMISHI WAMETANGAZA NAFASI ZA CHINA MOFCOM SCHOLARSHIPS 201O20. 📌WANAHITAJIKA WATANZANIA KWENYE VYUO 39 CHINA. 💰SERIKALI YA JAMHURI YA WATU WA CHINA ITAKUPA VITU HIVI: ▪Gharama za usafiri ▪Fedha Za Kujikimu ▪Gharama Za Mafunzo ▪Gharama Za Matibabu ▪Utalipiwa Ada ▪Fedha Ya...
  15. L

    JamiiForums Tanzania Nafasi Ya Kazi Program Coordinator (IT Officer)

    Non Government Organization is searching for Program Coordinators, To apply read the attachment below and follow instructions
  16. P

    JamiiForums Tanzania utengenezaji wa vyungu vya kisasa vya maua

    Habari zenu wakuu wa humu jf naombeni msaada kwa anayefahamu juu ya utengenezaji wa vyungu vya kisasa vya maua anipe ABC juu ya mchakato mzima kam vifaa .a mahitaj mengne na pia juu ya upatikanaji wa soko kama unafahamu lolote tupia comment apa wakuu swala la ajira limekuwa changamoto hivo nipo...
  17. defashi

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya Matangazo ya Kazi

    Wapo watu wanaweka matangazo ya kazi. Watu wanafanya application na wanapewa hadi sehem na tarehe ya interview. Ila wakienda wanakutana na semina za Network Marketing. Me naona hii sio fair cos watu wanajiandaa kwa interview na nguo wanapasi then unaenda kuambiwa utafute watu watatu cjui blaa...
  18. shetrish

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kazi ya kuwa wakala

    Karibuni sana
  19. hashimrashidy

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa *Online Teachers Applications System(OTEAS)* upo hewani. Waombaji wa kazi za ualimu wanaweza kuendelea.

    *Muhimu* 1. Hakikisha upo katika internet nzuri. 2. Nyaraka ziwe katika pdf na kila moja isizidi 1Mb. 3. Mwombaji akiwa na changamoto apige simu zilizopo kwenye video manual. 4. Deadline ya kuwasilisha maombi ni 15.03.2019. Kila la kheri DICT TAMISEMI. 04.03.2019 BONYEZA HAPA KUPATA MAELEKEZO...
  20. S

    JamiiForums Tanzania One Health Specialized Poly Clinic: Vacancies announcement

    One Health Specialized Poly Clinic is a specialized clinic with multi specialties that focuses on diagnosing and treating conditions of all ages while emphasizing preventative medicine and the overall health and wellness of all patients. The clinic is utilizing new equipment and a trained...
Back
Top Bottom