ajira

  1. Mema Tanzania

    JamiiForums Tanzania Je, wajua kazi zinazofanywa na wanawake zingetengeneza nusu ya ajira?

    Wanawake nchini Tanzania hutumia wastani wa zaidi ya masaa 6 kwa siku kufanya kazi zisizokuwa na malipo kama kupika, kuchota maji - ukilinganisha na masaa 3 tu wanayotumia wanaume. Kama kazi wanazofanya zingegeuzwa kuwa za malipo zingetengeneza zaidi ya nusu ya ajira zilizopo. #IWD2020 #EachforEqual
  2. M

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri, maoni au maelezo kuhusu hii kozi

    Habari wana JF, Mimi ni kijana na nina Stashahada ya Afya ya wanyama na Uzalishaji ( Diploma in Animal health and production). Matamanio yangu mwaka 2020 ni kusoma kozi ya Wildlife tourism management pale MWEKA, naomba mwenye ujuzi na hii kozi au field ya utalii anijuze, atoe maoni au taarifa...
  3. funaku

    JamiiForums Tanzania Madaktari 1,000 mtakaopata fursa ya Ajira nendeni pembezoni kupeleka huduma za kiweledi

    Nimshukuru kwa moyo wa dhati Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutambua mchango wa madaktari na uhitaji wa wananchi kupata huduma zenye weledi. leo hii ameagiza madaktari 1000 kuajiriwa...hili sio jambo dogo kiuchumi kwani wage bill katika sekta hii moja tu ni kubwa. Jukumu la...
  4. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Dar: Madaktari wamuangukia Rais Magufuli, amwaga ajira 1,000 za Madaktari, aelezea alivyozimia siku mbili mbele ya Zainabu

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 20, Febuari, 2020 anazungumza na Madaktari pamoja na watumishi wa Sekta ya Afya katika Hafla Maadhimisho ya Siku ya Madaktari Nchini inayofanyika katika Ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Julius Nyerere...
  5. mayowela

    JamiiForums Tanzania Tunapoomba ajira tujitahidi kufahamu haya

    Habari wadau, kwa ka uzoefu kadogo nilikonako naona kwenye usaili kuna baadhi ya vitu vinapelekea usiitwe au uitwe ili kuja kukupima uelewa wako, kuna baadhi ya mambo ya kuzingatia kwenye kuomba kazi pia kwenye usaili, unaweza ukawa unakosa kazi au unataka kubadirisha kazi ukaanza kumtafuta...
  6. C

    JamiiForums Tanzania Mikataba kwenye ajira binafsi

    Hawa waajiri hasa waajiri wa kigeni (foreigners) hawapendi kabisa ishu ya mikataba, wanapenda kuajiri kisela sela sana, yaani mnaelewana kwa mdomo tu kwamba mtalipana kiasi fulani cha pesa kwa muda fulani basi. Sasa changamoto inakuja kwenye malipo ni kasheshe, wananyanyasa sana wafanya kazi...
  7. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Kazi kutoka Kituo cha Ufundishaji Data cha Afrika Mashariki, Chuo Kikuu Huria cha Tanzania na Ofisi ya Mwanasheria ya Serikali

    UNITED REPUBLIC OF TANZANIA PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT Ref.No.EA.7/96/01/K/154 11th February 2020 VACANCIES ANNOUNCEMENT On behalf of The Open University of Tanzania (OUT), The Eastern Africa Statistical Training Centre (EASTC) and The Office of the Solicitor...
  8. I

    JamiiForums Tanzania Fahamu Aina ya nafasi za kazi na ajira zinazopatikana Airport Tanzania

    CLOSED
  9. M

    JamiiForums Tanzania Blog za uhakika kwa ajili ya matangazo ya ajira

    Habari wadau. Nina swali kichwani bado sijalipatia jawabu, naombeni mchago wenu. Zipi ni blog 10 safi Tanzania ambazo zipo updated sana kila siku na zinatoa matangazo ya ajira ya uhakika?
  10. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Wilbur Ross asema virusi vya Corona vitawapatia ajira Wamarekani wengi

    Katibu wa maswala ya kibiashara nchini Marekani Wilbur Ross amesema kwamba mlipuko mbaya wa virusi vya Corona nchini China unaweza kuinua uchumi wa Marekani. Wakati wa mahojiano katika runinga bwana Ross alisema: Nadhani vitasaidia kurudisha ajira kaskazini mwa Marekani. Kuenea kwa kasi kwa...
  11. Elia F Michael

    JamiiForums Tanzania Kucheleweshwa kwa Mkopo World Bank: Tumkemee Zitto Kabwe kwa pamoja

    Nimesoma kwa ufasaha Taarifa zilizoandikwa na Mwandishi Tom Wilson kwenye Gazeti la FINANCIAL TIMES akiwa Uingereza kuwa baadhi ya viongozi wa Jamii ya Tanzania wakiongozwa na Mbunge wa Kigoma Mjini Ndugu yangu Zitto Kabwe kuiomba Benki Kuu ya Dunia kuahirisha kuipa Tanzania Dollar Milion 500 za...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Tuuze tembo halafu tununue matrekta

    Kutokana na uhaba wa ajira na uchumi kuwa mgumu mimi nashauri kama itawezekana tuwe tunavuna tembo au nyumbu au nyati kwa kipindi fulani then tunafanya barter trade na Wachina wanatupa matrekta na vifaa vingine vya kilimo ili vijana waweze kujishughulisha na kilimo. Tembo mmoja=trekta 1, nyumbu...
  13. Martin Kemosabe

    JamiiForums Tanzania Mashine ya nano liquid inakodishwa kwa kijana usiye na Ajira

    Nakodisha hii mashine ukafanye kazi popote unapopajua nitakufundisha jinsi ya kuitumia kisha nitakupa ukahangaike nayo unapopajua wewe baada ya sisi wawili kukubaliana,mimi kupajua kwenu/kwako kwa mwenyekiti wako wa mtaaa,nk nk baada ya mimi kujiridhisha na upatikanaji wako basi nitakukabidhi...
  14. tzhosts

    JamiiForums Tanzania Jipatie Websites, Android Apps, Domain Names, ERP system and Accounting system kuanzia TZS 49,900

    Je, wewe ni mmiliki wa shule, Kampuni binafsi au NGO, Je, unahitaji kujipatia huduma mojawapo kati ya hizi au zote kwa pamoja? Websites, Android Apps, Domain Names, ERP system Accounting system CRM system SEO services Online Promotion Je, budget yako ni kati ya TZS 49900 na kuendelea? Kama...
  15. U

    JamiiForums Tanzania Poleni sana wahitimu kwa kuhitimu katika kipindi hiki cha ugumu wa ajira

    Nasikitika sana kuwaona graduates wanazurura zurura mtaani huku. Hakuna ajira tangu huyu bwana aingie madarakani yeye ni madege tu inatosha. Tumeinjoy sana kipindi cha Rais Mstaafu jakaya Kikwete maana ajira nilikuwa bwerere serikalini mpaka tunazikataa tunaamua kuingia private hususani ualimu...
  16. Bonde la Baraka

    JamiiForums Tanzania Kama wasomi wenyewe ndio hawa wasiojua Kiswahili fasaha na wanaandika kihuni ni heri waendelee kukosa ajira

    Kijana mhitimu wa Shahada, stashahada au astashahada hajui Kiswahili fasaha, cha ajabu wengine chuo kikuu wamesoma Shahada ya Elimu na Lugha. Ukipitia kurasa zao Facebook au instagram utaona wameandika hovyohovyo halafu utamsikia anamlaumu Magufuli. Unataka uwe mwalimu ukawafundishe upumbavu...
  17. miamiatz

    JamiiForums Tanzania Jinsi gani teamwork inaweza saidia kupunguza makali ya ukata wa ajira kwa wasomi wetu

    Mimi ni muumini wa msemo usemao Tanzania kazi ni nyingi sana ila ushirikiano ndio mdogo sana. Kuna watu wanajua sana kuandaa proposal mpaka wakapewa kazi fulani ila ile kazi hawaiwezi. Kuna wale wanaojua kazi mwanzo mwisho ila kuandaa proposal yenye ushawishi hawawezi. Changamoto kubwa...
  18. OLS

    JamiiForums Tanzania Ubidhaishaji huleta ajira na kipato kwa kiasi kikubwa

    Ubidhaishaji (Commoditification) Mbali na kitu hiki kuonekana kuwa kinawafanya watu wakae mbali na utu lakini tunapoendea tunapaswa kujua kuwa ubidhaishaji ni chanzo kikuu cha ajira kwa kipindi chetu hiki chenye ongezeko kubwa la watu huku kazi za viwandani na maofisini zikiwa hazitoshi...
  19. Breezyman

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu Verification Certificate inayopatikana kwenye Ajira Portal

    Wadau, naomba msaada kuhusu Verification Certificate ambayo inapatikana kwenye Ajira Portal. Sehemu hii ni ya ku-add vitu gani?
  20. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Madai: Robot Sophia anataka awe na familia yake na ajira kama binadamu

    Wakuu uvumbuzi mkubwa kwenye teknolojia umeanza kuleta shida. Robot wa kwanza duniani kupewa uraia wa nchi, bidada Sophia raia wa Saudia amesema na yeye anataka kuwa na familia yake, kuwa na ajira na marafiki kama binadamu wengine halisi. Yale waliyo opgopa Elon Musk, Stephen Hawkings na wenzao...
Back
Top Bottom