Wanawake nchini Tanzania hutumia wastani wa zaidi ya masaa 6 kwa siku kufanya kazi zisizokuwa na malipo kama kupika, kuchota maji - ukilinganisha na masaa 3 tu wanayotumia wanaume. Kama kazi wanazofanya zingegeuzwa kuwa za malipo zingetengeneza zaidi ya nusu ya ajira zilizopo. #IWD2020 #EachforEqual
Habari wana JF,
Mimi ni kijana na nina Stashahada ya Afya ya wanyama na Uzalishaji ( Diploma in Animal health and production).
Matamanio yangu mwaka 2020 ni kusoma kozi ya Wildlife tourism management pale MWEKA, naomba mwenye ujuzi na hii kozi au field ya utalii anijuze, atoe maoni au taarifa...
Nimshukuru kwa moyo wa dhati Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutambua mchango wa madaktari na uhitaji wa wananchi kupata huduma zenye weledi.
leo hii ameagiza madaktari 1000 kuajiriwa...hili sio jambo dogo kiuchumi kwani wage bill katika sekta hii moja tu ni kubwa.
Jukumu la...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 20, Febuari, 2020 anazungumza na Madaktari pamoja na watumishi wa Sekta ya Afya katika Hafla Maadhimisho ya Siku ya Madaktari Nchini inayofanyika katika Ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Julius Nyerere...
Habari wadau, kwa ka uzoefu kadogo nilikonako naona kwenye usaili kuna baadhi ya vitu vinapelekea usiitwe au uitwe ili kuja kukupima uelewa wako, kuna baadhi ya mambo ya kuzingatia kwenye kuomba kazi pia kwenye usaili, unaweza ukawa unakosa kazi au unataka kubadirisha kazi ukaanza kumtafuta...
Hawa waajiri hasa waajiri wa kigeni (foreigners) hawapendi kabisa ishu ya mikataba, wanapenda kuajiri kisela sela sana, yaani mnaelewana kwa mdomo tu kwamba mtalipana kiasi fulani cha pesa kwa muda fulani basi.
Sasa changamoto inakuja kwenye malipo ni kasheshe, wananyanyasa sana wafanya kazi...
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
PRESIDENT’S OFFICE
PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT
Ref.No.EA.7/96/01/K/154
11th February 2020
VACANCIES ANNOUNCEMENT
On behalf of The Open University of Tanzania (OUT), The Eastern Africa Statistical Training Centre (EASTC) and The Office of the Solicitor...
Habari wadau. Nina swali kichwani bado sijalipatia jawabu, naombeni mchago wenu.
Zipi ni blog 10 safi Tanzania ambazo zipo updated sana kila siku na zinatoa matangazo ya ajira ya uhakika?
Katibu wa maswala ya kibiashara nchini Marekani Wilbur Ross amesema kwamba mlipuko mbaya wa virusi vya Corona nchini China unaweza kuinua uchumi wa Marekani.
Wakati wa mahojiano katika runinga bwana Ross alisema: Nadhani vitasaidia kurudisha ajira kaskazini mwa Marekani.
Kuenea kwa kasi kwa...
Nimesoma kwa ufasaha Taarifa zilizoandikwa na Mwandishi Tom Wilson kwenye Gazeti la FINANCIAL TIMES akiwa Uingereza kuwa baadhi ya viongozi wa Jamii ya Tanzania wakiongozwa na Mbunge wa Kigoma Mjini Ndugu yangu Zitto Kabwe kuiomba Benki Kuu ya Dunia kuahirisha kuipa Tanzania Dollar Milion 500 za...
Kutokana na uhaba wa ajira na uchumi kuwa mgumu mimi nashauri kama itawezekana tuwe tunavuna tembo au nyumbu au nyati kwa kipindi fulani then tunafanya barter trade na Wachina wanatupa matrekta na vifaa vingine vya kilimo ili vijana waweze kujishughulisha na kilimo. Tembo mmoja=trekta 1, nyumbu...
Nakodisha hii mashine ukafanye kazi popote unapopajua nitakufundisha jinsi ya kuitumia kisha nitakupa ukahangaike nayo unapopajua wewe baada ya sisi wawili kukubaliana,mimi kupajua kwenu/kwako kwa mwenyekiti wako wa mtaaa,nk nk baada ya mimi kujiridhisha na upatikanaji wako basi nitakukabidhi...
Je, wewe ni mmiliki wa shule, Kampuni binafsi au NGO,
Je, unahitaji kujipatia huduma mojawapo kati ya hizi au zote kwa pamoja?
Websites,
Android Apps,
Domain Names,
ERP system
Accounting system
CRM system
SEO services
Online Promotion
Je, budget yako ni kati ya TZS 49900 na kuendelea?
Kama...
Nasikitika sana kuwaona graduates wanazurura zurura mtaani huku. Hakuna ajira tangu huyu bwana aingie madarakani yeye ni madege tu inatosha.
Tumeinjoy sana kipindi cha Rais Mstaafu jakaya Kikwete maana ajira nilikuwa bwerere serikalini mpaka tunazikataa tunaamua kuingia private hususani ualimu...
Kijana mhitimu wa Shahada, stashahada au astashahada hajui Kiswahili fasaha, cha ajabu wengine chuo kikuu wamesoma Shahada ya Elimu na Lugha. Ukipitia kurasa zao Facebook au instagram utaona wameandika hovyohovyo halafu utamsikia anamlaumu Magufuli.
Unataka uwe mwalimu ukawafundishe upumbavu...
Mimi ni muumini wa msemo usemao Tanzania kazi ni nyingi sana ila ushirikiano ndio mdogo sana.
Kuna watu wanajua sana kuandaa proposal mpaka wakapewa kazi fulani ila ile kazi hawaiwezi. Kuna wale wanaojua kazi mwanzo mwisho ila kuandaa proposal yenye ushawishi hawawezi.
Changamoto kubwa...
Ubidhaishaji (Commoditification)
Mbali na kitu hiki kuonekana kuwa kinawafanya watu wakae mbali na utu lakini tunapoendea tunapaswa kujua kuwa ubidhaishaji ni chanzo kikuu cha ajira kwa kipindi chetu hiki chenye ongezeko kubwa la watu huku kazi za viwandani na maofisini zikiwa hazitoshi...
Wakuu uvumbuzi mkubwa kwenye teknolojia umeanza kuleta shida.
Robot wa kwanza duniani kupewa uraia wa nchi, bidada Sophia raia wa Saudia amesema na yeye anataka kuwa na familia yake, kuwa na ajira na marafiki kama binadamu wengine halisi.
Yale waliyo opgopa Elon Musk, Stephen Hawkings na wenzao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.