ilala yetu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 1,237
- 1,919
Wakuu hiki kitu kinakatisha tamaa na kinatisha sana.
Sijui serikali inaliona hili jambo na ina mipango gani ya haraka itusaide tutoke huku tulipo.
Maana tunapoelekea hili ni bomu linaendelea kujitengeneza.
TBA wametangaza majina ya vijana walioitwa kwenye usaili wa kazi mechanical engineer watu 280 nafasi mtu mmoja t anahitajika.
Yani probapility ni 0.001 kwa kila mtu, kiukweli inakatisha tamaa sana.
Serikali inabidi ituangalie na sie wakada hii ya uhandisi hali ni mbaya kwakweli. Hapo mtu unaenda kwenye usaili kichwa kinawaza vitu vingi sana hamna tumaini
Kifupi unakuwa ushafeli teyari.
Sijui serikali inaliona hili jambo na ina mipango gani ya haraka itusaide tutoke huku tulipo.
Maana tunapoelekea hili ni bomu linaendelea kujitengeneza.
TBA wametangaza majina ya vijana walioitwa kwenye usaili wa kazi mechanical engineer watu 280 nafasi mtu mmoja t anahitajika.
Yani probapility ni 0.001 kwa kila mtu, kiukweli inakatisha tamaa sana.
Serikali inabidi ituangalie na sie wakada hii ya uhandisi hali ni mbaya kwakweli. Hapo mtu unaenda kwenye usaili kichwa kinawaza vitu vingi sana hamna tumaini
Kifupi unakuwa ushafeli teyari.