RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 3,590
- 8,475
CCM mgombea wake kazungumzia ndege,barabara,stigraz,sgr na meli .
Ningependa kusikia pia akizungumzia mambo yanayowagusa wananchi moja kwa moja na effect zake zinaonekana ndani ya muda mfupi, nayo nihayo niliyoorodhesha kwenye kichwa cha habari cha thread hii.
Lakini niwakumbushe wana CCM "TUMPIGIE KURA TAL" kwa ustawi wa maisha yetu,nchi yetu, pamoja nakizazi chetu kijacho.
Ningependa kusikia pia akizungumzia mambo yanayowagusa wananchi moja kwa moja na effect zake zinaonekana ndani ya muda mfupi, nayo nihayo niliyoorodhesha kwenye kichwa cha habari cha thread hii.
Lakini niwakumbushe wana CCM "TUMPIGIE KURA TAL" kwa ustawi wa maisha yetu,nchi yetu, pamoja nakizazi chetu kijacho.