Ajira sio utumwa ukiwa katika kazi ya ndoto yako unayoipenda

safuher

JF-Expert Member
Feb 11, 2019
11,164
15,841
Utumwa wa kweli ni kufanya usichokipenda katika maisha yako, utumwa ni kulazimishwa, kutokuridhika na kile unachofanya.

Babu zetu walikuwa watumwa kwa sababu walilazimishwa kulima na kufanya kazi zingine bila hiari zao na kufungua nafsi.

Lakini leo babu zetu wanalima pia ila hawalalamiki kuwa ni utumwa kwa sababu wako huru kinafsi wameridhika.

Kwa hiyo unaweza kujiajiri na bado ukawa mtumwa kwa sababu tu unatafuta pesa lakini moyo haupendi hiko kitu unachotumia kutafuta pesa.

Na unaweza kuajiriwa na bado ukawa HURU kwa sababu unachokifanya unapenda na unakifurahia licha ya mshahara mdogo unaoupata.

Uhuru wa nafsi unakupa maana halisi ya utumwa, daktari ambaye anaipenda kazi yake hawezi kuacha kazi hiyo kwa kikwazo cha mshahara mdogo.

Kweli ni mdogo lakini kuenjoy kwake kazi hiyo ni kukubwa kuliko machungu ya kuongezewa laki unusu kwa mwaka.

KAMA UNAIPENDA KAZI UNAYOIFANYA USIACHE, BAKI NA KAZI YAKO KWANI UPO HURU KINAFSI.
 
Naunga mkono hoja.
Bila shaka unafahamu utamu wa kufanya upendacho.

Hata mume ama mke unaweza kuchaguliwa na wazazi lakini ukampenda,hauwezi kumuacha ati kwa sababu umetafutiwa.

Lengo ni kupenda no matter how ....
 
Utumwa wa kweli ni kufanya usichokipenda katika maisha yako, utumwa ni kulazimishwa, kutokuridhika na kile unachofanya.

Babu zetu walikuwa watumwa kwa sababu walilazimishwa kulima na kufanya kazi zingine bila hiari zao na kufingua nafsi.

Kwa hiyo unaweza kujiajiri na bado ukawa mtumwa kwa sababu tu unatafuta pesa lakini moyo haupendi hiko kitu.

Na unaweza kujiajiri na bado ukawa HURU kwa sababu unachokifanya unapenda na unakifurahia licha ya mshahara mdogo unaoupata.

Uhuru wa nafsi unakupa maana halisi ya utumwa, daktari ambaye anaipenda kazi yake hawezi kuacha kazi hiyo kwa kikwazo cha mshahara mdogo.

Kweli ni mdogo lakini kuenjoy kwake kazi hiyo ni kukubwa kuliko machungu ya kuongezewa laki unusu kwa mwaka.

KAMA UNAIPENDA KAZI UNAYOIFANYA USIACHE, BAKI NA KAZI YAKO KWANI UPO HURU KINAFSI.
Kweli kabisa👏👏
 
Sijajua mkuu.

Motivesheni wengi wanasema kuajiriwa ni utumwa.

Alafu wengine wanakuambia fanya unachopenda.

Sasa kama niinachopenda ili nikifanye lazima niajiriwe kuna shida gani nikiajiriwa kufanya ninachopenda ?
Mbona wao wamejiajiriwa , kama chris mauki ni mwajiriwa wa udsm, na anawatia mademu wa pale kama hana aciri nzuri
 
Bila shaka unafahamu utamu wa kufanya upendacho.

Hata mume ama mke unaweza kuchaguliwa na wazazi lakini ukampenda,hauwezi kumuacha ati kwa sababu umetafutiwa.

Lengo ni kupenda no matter how ....
Hakika
Nimejiajiri na nafurahia nikifanyacho sababu ndiyo kitu nikipendacho.. alhamdulilah.
 
Hakika
Nimejiajiri na nafurahia nikifanyacho sababu ndiyo kitu nikipendacho.. alhamdulilah.
Yah ishu sio kujiajiri ama kuajiriwa.

Ishu ni kufanya unachokipenda.


Oa unayempenda eidha kwa kutafutiwa au utafute mwenyewe,maadamu umempenda basi kutafutiwa hakuzuwii kuoa.

Fanya unachopenda kwa kuajiriwa ama kujiajiri maadamu umependa basi kuajiriwa hakuzuii hata kidogo.


Kuna mwalimu wangu mmoja wa phsyics o level(sikufika a level) akifundisha unaenjoy na wewe unatamani kuwa kama yeye.

Jamaa ananoga akifundisha,yani kipengele hujaelewa unasema kimoyomoyo "hapa sijaelewa sio kwa sababu mwalimu hhajui kufundisha bali kwa sababu bichwa langu gumu"
 
Utumwa wa kweli ni kufanya usichokipenda katika maisha yako, utumwa ni kulazimishwa, kutokuridhika na kile unachofanya.

Babu zetu walikuwa watumwa kwa sababu walilazimishwa kulima na kufanya kazi zingine bila hiari zao na kufungua nafsi.

Lakini leo babu zetu wanalima pia ila hawalalamiki kuwa ni utumwa kwa sababu wako huru kinafsi wameridhika.

Kwa hiyo unaweza kujiajiri na bado ukawa mtumwa kwa sababu tu unatafuta pesa lakini moyo haupendi hiko kitu.

Na unaweza kujiajiri na bado ukawa HURU kwa sababu unachokifanya unapenda na unakifurahia licha ya mshahara mdogo unaoupata.

Uhuru wa nafsi unakupa maana halisi ya utumwa, daktari ambaye anaipenda kazi yake hawezi kuacha kazi hiyo kwa kikwazo cha mshahara mdogo.

Kweli ni mdogo lakini kuenjoy kwake kazi hiyo ni kukubwa kuliko machungu ya kuongezewa laki unusu kwa mwaka.

KAMA UNAIPENDA KAZI UNAYOIFANYA USIACHE, BAKI NA KAZI YAKO KWANI UPO HURU KINAFSI.
I can't second this hard enough.
 
Back
Top Bottom