GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,920
"Ni mara chache sana kukuta watu wamefurika hivi tena asubuhi saa 2, wenzetu kule wanajua kuchakata, wanatumia picha za miaka ya zamani waonekane wamejaza watu kwenye kampeni zao, waje wajionee kwenye kampeni za CCM watu walivyofurika, hongereni sana." - Dkt. Magufuli, Igalula.
Kwa haya 'Maajabu' yanayoendelea sasa kuna Uwezekano mkubwa wengine muda wowote tukaanza kuficha Mgombea tunayemshabikia na Chama.
Kwa haya 'Maajabu' yanayoendelea sasa kuna Uwezekano mkubwa wengine muda wowote tukaanza kuficha Mgombea tunayemshabikia na Chama.