Kuna elimu za aina nyingi.
Lakini naweza kutaja baadhi ya makundi kama ifuatavyo:
1. Elimu ya kujibia mitihani - physics, geography, Kiswahili, nk, tunayofunzwa shuleni, vyuoni. Kuna kundi kubwa la watu wanaishia hapa. Na kuna asilimia kubwa ya ujuzi wa humu ambao hata hauhusiani na maisha...