Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,744
Mwanamke
1. Mzuri wa Sura
2. Mzuri wa Umbo
3. MWENYE AKILI?
Ni nadra sana hasa miaka yetu hii. Nahangaika sana nipate mwanamke wa namna hiyo. Inakuwa changamoto.
Unakuta dada mzuri wa umbo na sura lakini kichwani.... Empty. Unaumia sana kuwa huyu si anaweza hata kukuambukiza upumbavu?
Miaka hii.. sijui ni kutokana na aina ya vyakula tulavyo...watoto wanazaliwa wazuri sana hasa mabinti. Lakini kichwani kumejaa tu mayonnaise hamna kitu.
Sisi wengine tunabaki tu tunaumia. Maana pia shida inakuwa kubwa wenye akili nao hawazaani sana ukilinganisha na hawa wengine...
NIMPATE WAPI MWANAMKE MZURI WA SURA,UMBO NA MWENYE AKILI (MZURI WA TABIA)? Nimpate wapi mimi Chizi Maarifa?
1. Mzuri wa Sura
2. Mzuri wa Umbo
3. MWENYE AKILI?
Ni nadra sana hasa miaka yetu hii. Nahangaika sana nipate mwanamke wa namna hiyo. Inakuwa changamoto.
Unakuta dada mzuri wa umbo na sura lakini kichwani.... Empty. Unaumia sana kuwa huyu si anaweza hata kukuambukiza upumbavu?
Miaka hii.. sijui ni kutokana na aina ya vyakula tulavyo...watoto wanazaliwa wazuri sana hasa mabinti. Lakini kichwani kumejaa tu mayonnaise hamna kitu.
Sisi wengine tunabaki tu tunaumia. Maana pia shida inakuwa kubwa wenye akili nao hawazaani sana ukilinganisha na hawa wengine...
NIMPATE WAPI MWANAMKE MZURI WA SURA,UMBO NA MWENYE AKILI (MZURI WA TABIA)? Nimpate wapi mimi Chizi Maarifa?