Search results

  1. Simon Martha Mkina

    Mwandishi nguli na Mkuu wa Dawati la Uchunguzi JF, Simon Mkina achaguliwa kushiri mafunzo ya kung’amua na kuzuia Utakatishaji Fedha

    Mafunzo yako katika madarasa mawili; online na pengine kwenda nje, hasa wakati wa mitihani. Taifa linachaguliwa na washiriki na kuidhinishwa na wakufunzi kulingana na bajeti na mambo mengine.
  2. Simon Martha Mkina

    Don't switch off, internet is now a human right

    By Simon Mkina Every time governments turn off the internet, they use one of these five arguments to grease -up the real intention; it is a matter of national security; elections must be protected; violence must be avoided; cheating must be prevented, and the spread of false information should...
  3. Simon Martha Mkina

    Kuzima intaneti ni kuminya haki za binadamu

    Na Simon Mkina MARA zote serikali zenye kuongozwa na watawala dhalimu duniani, huzima mtandao wa intaneti kwa madai makubwa matano; kuimarisha usalama wa taifa, kulinda uchaguzi, kuepusha vurugu, kuzuia udanganyifu kwenye mitihani na kukwamisha kusambaa kwa taarifa za uzushi. Hata hivyo, madai...
  4. Simon Martha Mkina

    Prof. Baregu kwanini umeondoka hatujamaliza ugomvi wetu?

    Marehemu Profesa Mwesiga Baregu (Picha kutoka mtandaoni) Jana, Juni 13 asubuhi, nilipokea taarifa za kifo chako nikiwa bado kitandani; nikiwa nimejilaza kwa mapumziko na siyo kwa ugonjwa. Mke wangu, Jacqueline akanijuza kuhusu kuondoka kwako hapa juu ya uso wa dunia. Nilipigwa butwaa na...
  5. Simon Martha Mkina

    President Samia takes power amid heartbreaks

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣
  6. Simon Martha Mkina

    President Samia takes power amid heartbreaks

    When Tanzanian authorities announced the passing of President John Magufuli on Wednesday, Vice President Samia Suluhu Hassan (pictured) delivered the grim news. The 61-year-old was sworn in as her country’s first woman president two days later, propelling her from the relative obscurity of her...
  7. Simon Martha Mkina

    Mtanzania apora Sh. bilioni 400 za Aga Khan

    Pamoja na kwamba maelezo ya awali ya benki yanakanganya, lakini inawezekana siku alipokwenda kutoa fedha, dirishani, aliitwa na uongozi na akaahidi kurejea siku inayofuata. Lakini hakutokea na hakuna traces. Akapotea. Kama unavyosema, ni mchezo unaohusisha idadi kubwa ya watu wakiwamo maofisa...
  8. Simon Martha Mkina

    Syphoning Aga Khan money through banking secrecy: Tanzanian involved in robbing of $176 million

    Mkuu tayari, isome habari hii ya uchunguzi kwa Kiswahili: Mtanzania apora Sh. bilioni 400 za Aga Khan
  9. Simon Martha Mkina

    Mtanzania apora Sh. bilioni 400 za Aga Khan

    Familia ya Aga Khan ikiwa katika picha ya pamoja. Aliyeketi ndiye kiongozi wa sasa Na Simon Mkina Nyaraka za akaunti zilizoko Benki ya Barclays zinazoonyesha mmiliki wake ni Mtanzania – kwa miaka mitatu mfululizo, zimetumika kutakatisha zaidi ya Sh. bilioni 400, fedha zilizokwapuliwa kutoka...
  10. Simon Martha Mkina

    Syphoning Aga Khan money through banking secrecy: Tanzanian involved in robbing of $176 million

    Aga Khan family By Simon Mkina Bank accounts owned by an individual whose documents at the Barclays Bank show is a Tanzanian, have been used to launder 176 million US dollars from Aga Khan Development Network (AKDN) – for three years, JamiiForums investigations can now reveal. This amount is...
  11. Simon Martha Mkina

    President Magufuli exploits his incumbency

    Poti P, Watanzania wanajua nani wanakwenda kumchagua, wamekuwa wakifuatilia kampeni na hata kabla ya hapo. Wanafahamu nani anawafaa. Sasa kazi yetu ni kuwaeleza waende kupiga kura. Uamuzi wanao.
  12. Simon Martha Mkina

    President Magufuli exploits his incumbency

    Unamkumbuka Yoweri Kaguta Museveni, yule aliyekuwa Rais wa Uganda ambaye juzi kabadili jina, lakini kabaki na cheo chake; infact kaongeza jina la nne, aliwahi kushangaa- "inakuwaje una jeshi, usalama wa taifa, polisi na fedha, halafu unashindwa uchaguzi?" Naamini poti wangu nawe ni Museveni...
  13. Simon Martha Mkina

    President Magufuli exploits his incumbency

    Tanzania’s election is scheduled for October 28, and although there are 15 parties in contention only two have any real chance of victory. Chama Cha Mapinduzi (CCM), the ruling party since independence in 1961, has never lost an election. It is led by incumbent president Dr. John Magufuli who...
  14. Simon Martha Mkina

    Kampuni ya Landfall Universe Limited yapitisha Sh 1.4 trilioni haramu

    Jamii Forums kama kawaida na timu yake inakusanya nondo. Inafanyiwa kazi. Subiri
  15. Simon Martha Mkina

    Kampuni ya Landfall Universe Limited yapitisha Sh 1.4 trilioni haramu

    Na Simon Mkina Mamlaka za usajili na taasisi za kibenki Tanzania hazitambui kampuni ya Landfall Universe Limited, ambayo imefanya miamala yenye thamani ya Sh. trilioni 1.4 (Dola za Marekani milioni 620) kupitia kwenye akaunti yake ya benki kwa miaka mitatu mfululizo kati ya 2013 na 2016...
  16. Simon Martha Mkina

    Phantom Tanzanian company flagged moving $620 million

    By Simon Mkina Tanzanian company registration instruments, just like the East African country’s banking institutions, are unaware of a firm that has channeled over Shilling 1.4 trillion ($620 million) through its account for three years. The companies’ registrar office in Dar es Salaam, the...
  17. Simon Martha Mkina

    The great Tanzanite surprise recorded

    By Simon Martha Mkina, Mererani Lazaro Lasimi and his colleagues descended hundreds of metres into the earth underneath the Mererani Hills, in Manyara in northern Tanzania. At the bottom of the mine, they dug 57 small holes, carefully placing dynamite into each. Only when they were all safely...
  18. Simon Martha Mkina

    Uchaguzi 2020 Going into the 2020 Tanzania polls: What are the stakes?

    Tanzanian citizens will go to the polls on October 28, 2020, to elect the President, Members of Parliament (MPs) and local Councilors. For close to five years now, Tanzania has been preparing herself for the constitutionally mandatory general elections. Hopes by Tanzania’s ruling political...
  19. Simon Martha Mkina

    TANZIA MwanaJF mwenzetu Ramaa Tech afariki dunia kwa ajali ya pikipiki

    Pole sana kwa wanafamilia wa JF, ndugu na jamaa. Alale vyema RT
Back
Top Bottom