Hii ni kwa wauzaji wa vifaa vya simu na mafundi wanaotengeneza simu. Jipatie usb na charger kwa bei ya jumla. Nina usb hizi original za Nokia ninauza sh. 5000(rejareja) Ukichukuwa nyingi napunguza Hadi sh 3000. Ni usb og pia hutumika kuflashia simu.
Pia nina charger za itel na tecno nitakuuzia...
Wakuu wenye karatasi zile za A4. Nahitaji ambazo zimetumika. Inaweza kuwa past paper, au group assignment paper. Nahitaji nyingi hata kama una kilo 100 ni Pm.
Dear HR kama unabarua nyingi ofisini kwako ni pm. Msizichome moto tufanye biashara. Hata ofisi yoyote ambayo mmepokea application letter...
Nahitaji mtu nitakae saidiana nae kufanya biashara ya kuuza mazao na hasa zaidi ya mbogamboga na nafaka. Tafadhali ni Pm tu kama unajua unao uwezo wa kuuza hizi products.
Kama ni mkazi wa Morogoro itakuwa vizuri zaidi.
Elimu si kigezo kwa sasa nahitaji tu Mwenye uwezo mkubwa wa kuuza
N.b kwa...
Habari ndugu zangu. Nashukuru Mungu wangu kwa kuendelea kunitendea yaliyo mema siku zote.
Nina gunia nyingi ambazo zimeshavunwa zipo Morogoro za mazao tajwa hapo juu.
Nahitaji Mtu mwenye connection kubwa ya wateja na nitamlipa hata 15% ya pesa ntakayouza kwa kila gunia.
Ila kwa sasa nahitaji...
Habari zenu ndugu zangu,
Ni wiki ya pili sasa nimeshindwa kutoa mzigo shambani milimani kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha.
Wenye fuso wanagoma kwa kuogopa kudondosha gari.
Nami ni lazima nahitaji Kusafirisha haya mzao town coz bei ipo juu now.
Wenye uzoefu embu nisaidieni ushauri.
Habar zenu jamani.
Kama kuna mtu anauzoefu wa kusafirisha mazao kwa kutumia mafuso katika mikoa hii Morogoro, Mbeya na Iringa. We can join together na ku-transport mzigo.
Nimechoka Kusafirisha mahindi kwa njia ya bus coz inanifanya nashindwa kusupply mzigo mwingi. Kwa wiki najikuta naleta...
Nauza mahindi KWA sh 55,000 (gunia)
Debe la mahindi utapata KWA 8500
Kila jumamosi mzigo unaingia wote mnakaribishwa.
Bei ya debe la mahindi KWA Dsm ni kuanzia 10k.
Ila ofa hii ipo KWA kipindi hiki cha Ramadhani baada ya hapo haitokuwepo tena wahi sasa KWA 8500 tu.
Karibuni
Nauza mahindi KWA sh 55,000 (gunia)
Debe la mahindi utapata KWA 8500
Kila jumamosi mzigo unaingia wote mnakaribishwa.
Bei ya debe la mahindi KWA Dsm ni kuanzia 10k.
Ila ofa hii ipo KWA kipindi hiki cha Ramadhani baada ya hapo haitokuwepo tena wahi sasa KWA 8500 tu.
Karibuni
Nimeuanzisha huu uzi tushee changamoto ambazo mnakutana nazo katika hii channel ya Netflix lakini pia najua wengi wenu mngependa kujiunga na Netflix Ila hamna hela ya bandle.
Sasa nimewaletea solution. Nitatoa channel kwenu, channel ambayo imehakiwa ina bandle unlimited so unaweza...
Habar wakuu.
Nimeuanzisha huu uzi ili tupeane connection za kazi ambazo mtu analipwa KWA siku.
Maeneo yapo mengi.
•viwandani
•masokoni
•godowns
•bus stand
• etcetera
Wakuu wenye connection ninawakaribisha kushare nasi vijana.
#karibuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.