Nauza mahindi kwa sh 55,000 (gunia)

Nauza mahindi kwa sh 55,000 (gunia)

Star onair

Senior Member
Joined
May 31, 2020
Posts
144
Reaction score
145
Nauza mahindi KWA sh 55,000 (gunia)

Debe la mahindi utapata KWA 8500

Kila jumamosi mzigo unaingia wote mnakaribishwa.

Bei ya debe la mahindi KWA Dsm ni kuanzia 10k.

Ila ofa hii ipo KWA kipindi hiki cha Ramadhani baada ya hapo haitokuwepo tena wahi sasa KWA 8500 tu.

Karibuni
 
Nauza mahindi KWA sh 55,000 (gunia)

Debe la mahindi utapata KWA 8500

Kila jumamosi mzigo unaingia wote mnakaribishwa.

Bei ya debe la mahindi KWA Dsm ni kuanzia 10k.

Ila ofa hii ipo KWA kipindi hiki cha Ramadhani baada ya hapo haitokuwepo tena wahi sasa KWA 8500 tu.

Karibuni
Debe linakuwa na kilo zisizopungua 20.
Karibu sana mkuu
Muongo debe kilo 17 mpk 18
 
Back
Top Bottom