Search results

  1. El Roi

    Jiji ni barabara nzuri, nje ya hapo ni vijiji

    Najua kwa hakika kabisa kwamba, kupanda hadhi kwa maeneo, mfano mji kuwa manispaa na manispaa kuwa Jiji Kuna vigezo vyake. Mfano , idadi ya watu, Pato la eneo husika, na sababu nyingine nyingi za kisiasa ambazo sijui kwa hakika zinaingiaje kwenye kupandisha eneo hadhi. Sababu zao zinaweza kuwa...
  2. El Roi

    Siasa za wastani za Zitto Kabwe, ni tishio kwa ustawi wa ACT Wazalendo

    Kuna usemi usemao" usilizunguke bomu, bali pita katikati yake mapema ili lilipuke mapema wakati huo, kukusaidia lisije kuangamiza watu wengi zaidi baadae ambao hawataliona iwapo litalipuka" Maana ya usemi huo ni katika kusaidia kujenga dhana tu kwamba" usikwepe kushughulikia tatizo unaloliona...
  3. El Roi

    UVCCM, tafadhali, jifunzeni siasa na muwe wastaarabu

    Kuna chapisho langu Moja niliwahi kuhoji kwa Nini vijana wa CCM ni washari na Wana ujasiri uliopitiliza ( over confidence). Kwa sababu ya yanayoendelea chini ya kapeti naomba kushauri ngazi za juu za CCM kuchunguza mienendo ya vijana wao, maana it is too much now. Nimesema ngazi za juu kwa...
  4. El Roi

    Jakaya Mrisho Kikwete, My favourite president!

    Ni jambo la kushukuru Mungu kwamba, binafsi nimeishi wakati wa Marais wote walioitawala nchi hii. Nimeanza na Mwl na Sasa Samia suluhu Hassani. Ukweli usemwe, Jm Kikwete looks the best president this country has ever had. Namiss, uwazi wake serikalini katika kuendesha mambo, Uungwana wake na...
  5. El Roi

    Tunahitaji akili ya kisasa Ili kuendesha nchi kisasa.

    Kuna msemo wa kiingereza usemao " familiarity breeds contempt". Ukiwa na maana mazoea huleta dharau. Ninasikitishwa sana na watu tunaowaamini na tuliowaweka mbele kama as a drive katika uendeshaji wa nchi. Hivi Leo ukienda serikalini, mahakama na hata bungeni, hivi kweli waliopewa dhamana ya...
  6. El Roi

    Vyombo vya habari mnatuangusha kwenye kusaidia nchi kuendelea

    Sijajua kwa hakika vyombo vya habari vya Tanzania hasa televisheni na magazeti mengi Yana ugonjwa gani.. Tabia ya kukwepa kujadili mambo muhimu kwa uwazi na kuwapa watu nafasi ya kuongea na kuchambua sera , Sheria na hata mambo ya jamii ( public participation) kutaifanya nchi hii kuwa nyuma...
  7. El Roi

    Uchaguzi ndiyo kipimo cha juu cha ukomavu wa Wanasiasa/ Viongozi wetu

    Jambo ambalo sijalifahamu kwa kiwango kikubwa huwa ni kwanini suala la uongozi ukitaka " madaraka" huwa ni suala la kufa na kupona kwa nchi nyingi za kiafrika. Mtu mmoja aliwahi kuniambia kwamba siasa za kiafrika za kimadaraka huwa haziendi zaidi ya matumbo yetu, akiwa anamaanisha kwamba "...
  8. El Roi

    Busara iliyotumika kuzuia sherehe za pamoja za uhuru, itumike pia kusitisha mbio za mwenge wa uhuru Kila mwaka

    Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, sherehe nyingi za kitaifa za nchi hii, zilianza kusherehekewa kwa mtindo wa kubana matumizi katika awamu ya Tano ya utawala wa nchi yetu. Ni muda Sasa sherehe hizi zinasherehekewa kwa namna nyingine na siyo tulivyokuwa tumezoea, Gwaride la kitaifa na mambo mengi...
  9. El Roi

    Somo kutoka kwa Pauline Gekul, uasi uzaa uasi?

    Kama mtu ninayeheshimu ile dhana ya kutokuwa na hatia mpaka sheria ithibitishe hivyo, ( pressumption of Innocence ), sitaki Moja kwa Moja kumhukumu paulin Gekul aliyekuwa naibu waziri wa Katiba na sheria kwa Yale yanayosemekana aliyafanya. Na ndiyo maana kichwa Cha andiko langu ni swali. Ni...
  10. El Roi

    Arusha ni Mji ulioachwa uharifu utambe

    Nikiri kwamba mie kwa majukumu yangu ya kimaisha ni mtu ninayezunguka sana katika nchi hii na maeneo mengine ya Dunia ukipenda. Arusha pamoja na kuwa na sifa za madhari nzuri, muingiliano wa watu wa mataifa mbalimbali, na taasisi mbalimbali za kimataifa, ukweli usemwe, Jiji hilo sio salama...
  11. El Roi

    Kwani haitoshi kutamka tu mheshimiwa Rais?

    Sijui kama ni shida ninayoiona Mimi tu au na wenzangu mnaiona pia shida hii. Mara kadhaa Sasa utawasikia watu na hasa viongozi, Kila wanapomtaja Rais lazima wamalizie na jina lake lote, Dr. Samia suluhu Hassan. Utamsikia kwa mfano waziri anaeleza jambo " mheshimiwa Rais, Dkt. Samia suluhu...
  12. El Roi

    Kama UVCCM ingekuwa chama ningependekeza kifutwe

    Taifa kama Taifa najua kwa njia mbalimbali huwa lina mipango ya namna ya kutengeneza warithi ( successors) wa nafasi mbalimbali za uongozi na utawala ktk nchi zao . Na ninajua pia kwamba, vyama vya siasa kwa kuwa ni candidates wa nafasi za kiuongozi na madaraka ya nchi, huwa pia na mipango ya...
  13. El Roi

    Hata bila kumchukia wala kubishana na wateuzi wake, nafasi ya Katibu Mwenezi haimfai Makonda

    Kuna namna ambayo hata kama Sina chuki na mtu, hainizuii kutoa dukuduku lililo moyoni mwangu juu ya mtu huyo. Binafsi, Leo sijafurahi kabisa kusikia mwamba huyu anarudi kwenye ulingo wa siasa akiwa na nafasi ya uenezi kwenye chama kinachotawala nchi. Matendo na vituko vya Makonda havijawahi...
  14. El Roi

    CCM, why wasting resources for no good reasons?

    Of recently, I sat down and come across to the thinking of Tanzania's political atmosphere. To my surprise, after I did some analysis, I got to a shocking reality that, the predominantly ruling party (CCM) are the only ones who are doing the day to day politics and frankly speaking, are already...
  15. El Roi

    Wakati CCM wanaona kabisa jinsi ambavyo hakuna uwanja sawa wa kufanya siasa, harakati zote za kisiasa ni za Nini?

    Kwa kuwa nimejizoesha kufanya tafakuri tunduizi katika mambo yangu mengi, hapa nyuma nimeanza kujiuliza, harakati, mikakati, na nguvu yote wanayotumia CCM ni ya nini? Mimi ninapoona uwanja wa kufanya siasa vile ulivyo, hakuna kabisa haja ya kusumbuka kujijenga na harakati nyingi wanazofanya...
  16. El Roi

    Rais Samia alishabadili namna ya kusalimia, mbona huwa hatung'amui mambo haraka!

    Nakumbuka wakati Rais ameingia fully kwenye nafasi hiyo, alikuja na salamu iliyokuwa inaanza hivi !Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania" ndipo watu walipoitika " kazi iendelee". Lakini baada ya muda kidogo, salamu hiyo ilibadilika" Haikuanza tena na Nawasalimu kwa jina la...
  17. El Roi

    Nashauri Doroth Gwajima arudi Wizara ya Afya na Ummy Mwalim aende Maendeleo ya jamii

    Moja ya mawaziri wazuri wachapa kazi ktk awamu hii ni Dorothy Gwajima na Ummy Mwalimu. Uchapakazi wao ni makini na wanaooneka wanapenda kazi. Yaani, wanaishi Ili wafanye kazi, na siyo wanafanya kazi Ili waishi. (They live to work and not work to live). Kwa maana ya kuongezea thamani uchapakazi...
  18. El Roi

    Uhifadhi na utalii, acha uwe hivyo tusiwapumbaze wananchi (Wamasai)

    Sasa ninaamini kwa nguvu zote kwamba kati ya mambo magumu kuyafanya ni kukubali mabadiliko.(change). Wakati mmoja nikiwa mahali, nilisikia kisa Cha watu ambao walimkataa kasisi wao mpya baada ya kuondoa kibweta ambacho kilikuwa mahali pasipo sahihi lakini kwa sababu ya mazoea ( ambayo hupinga...
  19. El Roi

    The Tanzanian electioneering time, a measure to the said " restored democratic space".

    I have heard people applauding the moves well initiated by the president to bringing in sanity in our local politics. I partly concur with them,though on the other hand, l remain with perplexities since we haven't yet stepped into the electioneering time. As for me, the measure for the said...
  20. El Roi

    Kwa mwendo huu wa Polisi tutabaki salama kweli?

    Jeshi la polisi ni Moja ya taasisi muhimu sana katika ustawi wa nchi yoyote duniani. Ulinzi wa raia na mali zao ndo kiini cha amani na maendeleo kwa ujumla wake. Wasiwasi nilioupata Juu ya Jeshi letu la polisi ni namna linavyofanya kazi zake. Na kwa Leo nisingependa kuongelea madhaifu yaliyo na...
Back
Top Bottom