Hata bila kumchukia wala kubishana na wateuzi wake, nafasi ya Katibu Mwenezi haimfai Makonda

El Roi

JF-Expert Member
May 29, 2020
263
502
Kuna namna ambayo hata kama Sina chuki na mtu, hainizuii kutoa dukuduku lililo moyoni mwangu juu ya mtu huyo.

Binafsi, Leo sijafurahi kabisa kusikia mwamba huyu anarudi kwenye ulingo wa siasa akiwa na nafasi ya uenezi kwenye chama kinachotawala nchi.

Matendo na vituko vya Makonda havijawahi kunifanya kuwa sehemu ya wale wanaomuunga mkono. Mimi huwa sivutiwi kabisa na tabia ya huyu jamaa mbele ya watu( kumbuka Sina shida na udhaifu wake mwingine anaoweza kuwa nao ambayo hautugusi sisi jamii) hivyo shida yangu kwake sio personal.

Nikija Sasa kwenye uchambuzi wa mada yangu, Namuona Makonda kwenye nafasi hii kuwa irrelevant. Mwenezi wa chama kwa lugha rahisi ni mwenezaji wa chama kwa jamii( wananchi) tujiulize

1) Tabia ya Makonda mbele ya jamii ni uenezi ( publicity) inayofaa?

Kumbuka unapofanya biashara yoyote watu huanza kukununua wewe kabla ya bidhaa unayoiuza.
People buy you first before they buy what you sell. Tujiulize, kwa tabia alokuwa nayo Makonda ananunulika? Is he buyable?

Kazi ya uenezi wa chama na itikadi yake naona inakuwa ngumu na labda kuchangia kuporomosha chama maana haiba ya huyu ndg kwa jamii haivutii. Kujiamini kuliko pitiliza, ulevi wa madaraka na kutojali ndo picha jamii iliyonayo juu ya ndugu huyu, cjui kama wateuzi wake hawakuliona hili

2) Kama unajua kusoma tabia za watu, Makonda ni mtu mgumu ( rigid). Lugha yake imejaa mamlaka zaidi kuliko utetezi. Hana lugha ya kujishusha. Kwangu Mimi alifaa hata kama ni kumtafutia nafasi basi hata katibu mkuu wa wizara. Huyu bwana ni burecratic Hana asili za udiplomasia kabisa.

Kazi ya kueneza chama unapaswa kuwa na lugha laini ya mwananchi, lugha ya kushawishi, na lugha ya kujishusha mbele ya wale unaotaka kuwavuta. Sioni Makonda akiwa na tone hii. Ebu msikie tu hata tone yake anapoongea. Ni makaripio na maagizo hata pasipo penyewe.

Makonda bado hajawa na uchama wa kuwa msemaji wa chama tawala. Katokea uvccm. Waone uvccm wanafanya siasa gani. Si za ushawishi Bali nguvu na hata ugomvi. Wasikie wanavyotamba mtaani, " atayechezea CCM atatuona." Naogopa katibu mwenezi aliyejaa mamlaka tu na Hana lugha ya ushawishi kama atakisaidia chama.

3 ) Huyu bwana ndo atakuwa msemaji wa chama, mwelekeo wa Rais ni siasa za maridhiano, je huyu mwenezi ni mtu wa haiba hiyo ya ku engage watu kwenye maridhiano?

Natabiri siasa Kali na misimamo mikali hapa mbele katika siasa za Tanzania. Namuona mtu ambaye hawezi kabisa kuwa friendly labda mahali hapo awe amekutawala tu.

Mwenezi mwenye misimamo mikali na ukada uliopitiliza ( fanatism) atakifanya chama kiwe na maelewano na vyama vingine inapobidi?

4) sijajua kama huwa tunajua maana ya kuwa na uwezo wa kuongea na kumudu lugha. ( verbal intelligence)

Verbal intelligence imewafanya watu wengi huko duniani kupata maendeleo makubwa.

Je mwenezi huyu ana verbal intelligence? Kazi yake inahusisha kuongea, je anaweza kuongea vizuri?
Kuongea vizuri siyo tu kutoa sauti lazima uwe na substances katika usemaji wako. Does he talk substantively so to speak? Na je anaimudu lugha?

Huyu bwana ni msukuma mwenzangu, hata bila kusema mengi lugha yake ni ngumu haichambuki kirahisi. Huongea mambo rahisi tu lakini katika hali ngumu kama vile ni mafumbo. Atavutia kweli kwa hii namna anavyoongea? ( verbal intelligence)?

Namalizia kwa kusema Tena" mie ni mtu mwema na huwa Sina vita na watu, Shida yangu Niko so principled.
Nisema uteuzi wa halmashauri kuu ya CcM juu ya Makonda haujanivutia hakika. He is so irrelevant for the job.
 
Kuna namna ambayo hata kama Sina chuki na mtu, hainizuii kutoa dukuduku lililo moyoni mwangu juu ya mtu huyo.

Binafsi, Leo sijafurahi kabisa kusikia mwamba huyu anarudi kwenye ulingo wa siasa akiwa na nafasi ya uenezi kwenye chama kinachotawala nchi.

Matendo na vituko vya Makonda havijawahi kunifanya kuwa sehemu ya wale wanaomuunga mkono. Mimi huwa sivutiwi kabisa na tabia ya huyu jamaa mbele ya watu( kumbuka Sina shida na udhaifu wake mwingine anaoweza kuwa nao ambayo hautugusi sisi jamii) hivyo shida yangu kwake sio personal.

Nikija Sasa kwenye uchambuzi wa mada yangu, Namuona Makonda kwenye nafasi hii kuwa irrevant. Mwenezi wa chama kwa lugha rahisi ni mwenezaji wa chama kwa jamii( wananchi) tujiulize

1) Tabia ya Makonda mbele ya jamii ni uenezi ( publicity) inayofaa?

Kumbuka unapofanya biashara yoyote watu huanza kukununua wewe kabla ya bidhaa unayoiuza.
People buy you first before they buy what you sell.
Tujiulize, kwa tabia alokuwa nayo Makonda ananunulika? Is he buyable?

Kazi ya uenezi wa chama na itikadi yake naona inakuwa ngumu na labda kuchangia kuporomosha chama maana haiba ya huyu ndg kwa jamii haivutii. Kujiamini kuliko pitiliza, ulevi wa madaraka na kutojali ndo picha jamii iliyonayo juu ya ndugu huyu, cjui kama wateuzi wake hawakuliona hili

2) Kama unajua kusoma tabia za watu, Makonda ni mtu mgumu ( rigid). Lugha yake imejaa mamlaka zaidi kuliko utetezi. Hana lugha ya kujishusha. Kwangu Mimi alifaa hata kama ni kumtafutia nafasi basi hata katibu mkuu wa wizara. Huyu bwana ni burecratic Hana asili za udiplomasia kabisa.

Kazi ya kueneza chama unapaswa kuwa na lugha laini ya mwananchi, lugha ya kushawishi, na lugha ya kujishusha mbele ya wale unaotaka kuwavuta. Sioni Makonda akiwa na tone hii. Ebu msikie tu hata tone yake anapoongea. Ni makaripio na maagizo hata pasipo penyewe.

Makonda bado hajawa na uchama wa kuwa msemaji wa chama tawala.
Katokea uvccm. Waone uvccm wanafanya siasa gani. Si za ushawishi Bali nguvu na hata ugomvi. Wasikie wanavyotamba mtaani, " atayechezea CCM atatuona." Naogopa katibu mwenezi aliyejaa mamlaka tu na Hana lugha ya ushawishi kama atakisaidia chama.

3 ) Huyu bwana ndo atakuwa msemaji wa chama, mwelekeo wa Rais ni siasa za maridhiano, je huyu mwenezi ni mtu wa haiba hiyo ya ku engage watu kwenye maridhiano?

Natabiri siasa Kali na misimamo mikali hapa mbele katika siasa za Tanzania. Namuona mtu ambaye hawezi kabisa kuwa friendly labda mahali hapo awe amekutawala tu.

Mwenezi mwenye misimamo mikali na ukada uliopitiliza ( fanatism) atakifanya chama kiwe na maelewano na vyama vingine inapobidi?

4) sijajua kama huwa tunajua maana ya kuwa na uwezo wa kuongea na kumudu lugha. ( verbal intelligence)

Verbal intelligence imewafanya watu wengi huko duniani kupata maendeleo makubwa.

Je mwenezi huyu ana verbal intelligence? Kazi yake inahusisha kuongea, je anaweza kuongea vizuri?
Kuongea vizuri siyo tu kutoa sauti lazima uwe na substances katika usemaji wako. Does he talk substantively so to speak? Na je anaimudu lugha?

Huyu bwana ni msukuma mwenzangu, hata bila kusema mengi lugha yake ni ngumu haichambuki kirahisi. Huongea mambo rahisi tu lakini katika hali ngumu kama vile ni mafumbo. Atavutia kweli kwa hii namna anavyoongea? ( verbal intelligence)?

Namalizia kwa kusema Tena" mie ni mtu mwema na huwa Sina vita na watu, Shida yangu Niko so principled.
Nisema uteuzi wa halmashauri kuu ya CcM juu ya Makonda haujanivutia hakika. He is so irrevant for the job.
Upo sahihi Hana verbal intelligence labda kaingizwa kimkakati ili kupoza kuuzwa kwa bandari
 
Kuna namna ambayo hata kama Sina chuki na mtu, hainizuii kutoa dukuduku lililo moyoni mwangu juu ya mtu huyo.

Binafsi, Leo sijafurahi kabisa kusikia mwamba huyu anarudi kwenye ulingo wa siasa akiwa na nafasi ya uenezi kwenye chama kinachotawala nchi.

Matendo na vituko vya Makonda havijawahi kunifanya kuwa sehemu ya wale wanaomuunga mkono. Mimi huwa sivutiwi kabisa na tabia ya huyu jamaa mbele ya watu( kumbuka Sina shida na udhaifu wake mwingine anaoweza kuwa nao ambayo hautugusi sisi jamii) hivyo shida yangu kwake sio personal.

Nikija Sasa kwenye uchambuzi wa mada yangu, Namuona Makonda kwenye nafasi hii kuwa irrevant. Mwenezi wa chama kwa lugha rahisi ni mwenezaji wa chama kwa jamii( wananchi) tujiulize

1) Tabia ya Makonda mbele ya jamii ni uenezi ( publicity) inayofaa?

Kumbuka unapofanya biashara yoyote watu huanza kukununua wewe kabla ya bidhaa unayoiuza.
People buy you first before they buy what you sell. Tujiulize, kwa tabia alokuwa nayo Makonda ananunulika? Is he buyable?

Kazi ya uenezi wa chama na itikadi yake naona inakuwa ngumu na labda kuchangia kuporomosha chama maana haiba ya huyu ndg kwa jamii haivutii. Kujiamini kuliko pitiliza, ulevi wa madaraka na kutojali ndo picha jamii iliyonayo juu ya ndugu huyu, cjui kama wateuzi wake hawakuliona hili

2) Kama unajua kusoma tabia za watu, Makonda ni mtu mgumu ( rigid). Lugha yake imejaa mamlaka zaidi kuliko utetezi. Hana lugha ya kujishusha. Kwangu Mimi alifaa hata kama ni kumtafutia nafasi basi hata katibu mkuu wa wizara. Huyu bwana ni burecratic Hana asili za udiplomasia kabisa.

Kazi ya kueneza chama unapaswa kuwa na lugha laini ya mwananchi, lugha ya kushawishi, na lugha ya kujishusha mbele ya wale unaotaka kuwavuta. Sioni Makonda akiwa na tone hii. Ebu msikie tu hata tone yake anapoongea. Ni makaripio na maagizo hata pasipo penyewe.

Makonda bado hajawa na uchama wa kuwa msemaji wa chama tawala. Katokea uvccm. Waone uvccm wanafanya siasa gani. Si za ushawishi Bali nguvu na hata ugomvi. Wasikie wanavyotamba mtaani, " atayechezea CCM atatuona." Naogopa katibu mwenezi aliyejaa mamlaka tu na Hana lugha ya ushawishi kama atakisaidia chama.

3 ) Huyu bwana ndo atakuwa msemaji wa chama, mwelekeo wa Rais ni siasa za maridhiano, je huyu mwenezi ni mtu wa haiba hiyo ya ku engage watu kwenye maridhiano?

Natabiri siasa Kali na misimamo mikali hapa mbele katika siasa za Tanzania. Namuona mtu ambaye hawezi kabisa kuwa friendly labda mahali hapo awe amekutawala tu.

Mwenezi mwenye misimamo mikali na ukada uliopitiliza ( fanatism) atakifanya chama kiwe na maelewano na vyama vingine inapobidi?

4) sijajua kama huwa tunajua maana ya kuwa na uwezo wa kuongea na kumudu lugha. ( verbal intelligence)

Verbal intelligence imewafanya watu wengi huko duniani kupata maendeleo makubwa.

Je mwenezi huyu ana verbal intelligence? Kazi yake inahusisha kuongea, je anaweza kuongea vizuri?
Kuongea vizuri siyo tu kutoa sauti lazima uwe na substances katika usemaji wako. Does he talk substantively so to speak? Na je anaimudu lugha?

Huyu bwana ni msukuma mwenzangu, hata bila kusema mengi lugha yake ni ngumu haichambuki kirahisi. Huongea mambo rahisi tu lakini katika hali ngumu kama vile ni mafumbo. Atavutia kweli kwa hii namna anavyoongea? ( verbal intelligence)?

Namalizia kwa kusema Tena" mie ni mtu mwema na huwa Sina vita na watu, Shida yangu Niko so principled.
Nisema uteuzi wa halmashauri kuu ya CcM juu ya Makonda haujanivutia hakika. He is so irrevant for the job.
Yaliopita si ndwele tugange yaliopo na yajayo.
 
Mtafute Makonda wa kabla ya u-RC unaweza ukafuta huu uzi wako. Makonda akiwa DC nilikuwa namkubali na hakuwa na mambo ya kifala. Tatizo ni alipoanza kuwa RC. Kwa muda aliokaa nje ya ulingo huenda akawa kajirekebisha. Pia kumbuka kamati kuu hadi ikuteue kuna mchakato mrefu wa kumchunguza mwenendo wake umefanyika. Tujipe muda.
 
Wana namna yao ya kurudi madarakani ndio sababu ya kumuweka bashite. Ingekuwepo tume huru kuelekea 2025 sidhani kama wangempa hiyo nafasi
 
Kuna namna ambayo hata kama Sina chuki na mtu, hainizuii kutoa dukuduku lililo moyoni mwangu juu ya mtu huyo.

Binafsi, Leo sijafurahi kabisa kusikia mwamba huyu anarudi kwenye ulingo wa siasa akiwa na nafasi ya uenezi kwenye chama kinachotawala nchi.

Matendo na vituko vya Makonda havijawahi kunifanya kuwa sehemu ya wale wanaomuunga mkono. Mimi huwa sivutiwi kabisa na tabia ya huyu jamaa mbele ya watu( kumbuka Sina shida na udhaifu wake mwingine anaoweza kuwa nao ambayo hautugusi sisi jamii) hivyo shida yangu kwake sio personal.

Nikija Sasa kwenye uchambuzi wa mada yangu, Namuona Makonda kwenye nafasi hii kuwa irrelevant. Mwenezi wa chama kwa lugha rahisi ni mwenezaji wa chama kwa jamii( wananchi) tujiulize

1) Tabia ya Makonda mbele ya jamii ni uenezi ( publicity) inayofaa?

Kumbuka unapofanya biashara yoyote watu huanza kukununua wewe kabla ya bidhaa unayoiuza.
People buy you first before they buy what you sell. Tujiulize, kwa tabia alokuwa nayo Makonda ananunulika? Is he buyable?

Kazi ya uenezi wa chama na itikadi yake naona inakuwa ngumu na labda kuchangia kuporomosha chama maana haiba ya huyu ndg kwa jamii haivutii. Kujiamini kuliko pitiliza, ulevi wa madaraka na kutojali ndo picha jamii iliyonayo juu ya ndugu huyu, cjui kama wateuzi wake hawakuliona hili

2) Kama unajua kusoma tabia za watu, Makonda ni mtu mgumu ( rigid). Lugha yake imejaa mamlaka zaidi kuliko utetezi. Hana lugha ya kujishusha. Kwangu Mimi alifaa hata kama ni kumtafutia nafasi basi hata katibu mkuu wa wizara. Huyu bwana ni burecratic Hana asili za udiplomasia kabisa.

Kazi ya kueneza chama unapaswa kuwa na lugha laini ya mwananchi, lugha ya kushawishi, na lugha ya kujishusha mbele ya wale unaotaka kuwavuta. Sioni Makonda akiwa na tone hii. Ebu msikie tu hata tone yake anapoongea. Ni makaripio na maagizo hata pasipo penyewe.

Makonda bado hajawa na uchama wa kuwa msemaji wa chama tawala. Katokea uvccm. Waone uvccm wanafanya siasa gani. Si za ushawishi Bali nguvu na hata ugomvi. Wasikie wanavyotamba mtaani, " atayechezea CCM atatuona." Naogopa katibu mwenezi aliyejaa mamlaka tu na Hana lugha ya ushawishi kama atakisaidia chama.

3 ) Huyu bwana ndo atakuwa msemaji wa chama, mwelekeo wa Rais ni siasa za maridhiano, je huyu mwenezi ni mtu wa haiba hiyo ya ku engage watu kwenye maridhiano?

Natabiri siasa Kali na misimamo mikali hapa mbele katika siasa za Tanzania. Namuona mtu ambaye hawezi kabisa kuwa friendly labda mahali hapo awe amekutawala tu.

Mwenezi mwenye misimamo mikali na ukada uliopitiliza ( fanatism) atakifanya chama kiwe na maelewano na vyama vingine inapobidi?

4) sijajua kama huwa tunajua maana ya kuwa na uwezo wa kuongea na kumudu lugha. ( verbal intelligence)

Verbal intelligence imewafanya watu wengi huko duniani kupata maendeleo makubwa.

Je mwenezi huyu ana verbal intelligence? Kazi yake inahusisha kuongea, je anaweza kuongea vizuri?
Kuongea vizuri siyo tu kutoa sauti lazima uwe na substances katika usemaji wako. Does he talk substantively so to speak? Na je anaimudu lugha?

Huyu bwana ni msukuma mwenzangu, hata bila kusema mengi lugha yake ni ngumu haichambuki kirahisi. Huongea mambo rahisi tu lakini katika hali ngumu kama vile ni mafumbo. Atavutia kweli kwa hii namna anavyoongea? ( verbal intelligence)?

Namalizia kwa kusema Tena" mie ni mtu mwema na huwa Sina vita na watu, Shida yangu Niko so principled.
Nisema uteuzi wa halmashauri kuu ya CcM juu ya Makonda haujanivutia hakika. He is so irrelevant for the job.
Wamefanya yote haya wakiwa wnasaini mkataba wa Bandari, devil de attention tumekula za uso
 
Kuna namna ambayo hata kama Sina chuki na mtu, hainizuii kutoa dukuduku lililo moyoni mwangu juu ya mtu huyo.

Binafsi, Leo sijafurahi kabisa kusikia mwamba huyu anarudi kwenye ulingo wa siasa akiwa na nafasi ya uenezi kwenye chama kinachotawala nchi.

Matendo na vituko vya Makonda havijawahi kunifanya kuwa sehemu ya wale wanaomuunga mkono. Mimi huwa sivutiwi kabisa na tabia ya huyu jamaa mbele ya watu( kumbuka Sina shida na udhaifu wake mwingine anaoweza kuwa nao ambayo hautugusi sisi jamii) hivyo shida yangu kwake sio personal.

Nikija Sasa kwenye uchambuzi wa mada yangu, Namuona Makonda kwenye nafasi hii kuwa irrelevant. Mwenezi wa chama kwa lugha rahisi ni mwenezaji wa chama kwa jamii( wananchi) tujiulize

1) Tabia ya Makonda mbele ya jamii ni uenezi ( publicity) inayofaa?

Kumbuka unapofanya biashara yoyote watu huanza kukununua wewe kabla ya bidhaa unayoiuza.
People buy you first before they buy what you sell. Tujiulize, kwa tabia alokuwa nayo Makonda ananunulika? Is he buyable?

Kazi ya uenezi wa chama na itikadi yake naona inakuwa ngumu na labda kuchangia kuporomosha chama maana haiba ya huyu ndg kwa jamii haivutii. Kujiamini kuliko pitiliza, ulevi wa madaraka na kutojali ndo picha jamii iliyonayo juu ya ndugu huyu, cjui kama wateuzi wake hawakuliona hili

2) Kama unajua kusoma tabia za watu, Makonda ni mtu mgumu ( rigid). Lugha yake imejaa mamlaka zaidi kuliko utetezi. Hana lugha ya kujishusha. Kwangu Mimi alifaa hata kama ni kumtafutia nafasi basi hata katibu mkuu wa wizara. Huyu bwana ni burecratic Hana asili za udiplomasia kabisa.

Kazi ya kueneza chama unapaswa kuwa na lugha laini ya mwananchi, lugha ya kushawishi, na lugha ya kujishusha mbele ya wale unaotaka kuwavuta. Sioni Makonda akiwa na tone hii. Ebu msikie tu hata tone yake anapoongea. Ni makaripio na maagizo hata pasipo penyewe.

Makonda bado hajawa na uchama wa kuwa msemaji wa chama tawala. Katokea uvccm. Waone uvccm wanafanya siasa gani. Si za ushawishi Bali nguvu na hata ugomvi. Wasikie wanavyotamba mtaani, " atayechezea CCM atatuona." Naogopa katibu mwenezi aliyejaa mamlaka tu na Hana lugha ya ushawishi kama atakisaidia chama.

3 ) Huyu bwana ndo atakuwa msemaji wa chama, mwelekeo wa Rais ni siasa za maridhiano, je huyu mwenezi ni mtu wa haiba hiyo ya ku engage watu kwenye maridhiano?

Natabiri siasa Kali na misimamo mikali hapa mbele katika siasa za Tanzania. Namuona mtu ambaye hawezi kabisa kuwa friendly labda mahali hapo awe amekutawala tu.

Mwenezi mwenye misimamo mikali na ukada uliopitiliza ( fanatism) atakifanya chama kiwe na maelewano na vyama vingine inapobidi?

4) sijajua kama huwa tunajua maana ya kuwa na uwezo wa kuongea na kumudu lugha. ( verbal intelligence)

Verbal intelligence imewafanya watu wengi huko duniani kupata maendeleo makubwa.

Je mwenezi huyu ana verbal intelligence? Kazi yake inahusisha kuongea, je anaweza kuongea vizuri?
Kuongea vizuri siyo tu kutoa sauti lazima uwe na substances katika usemaji wako. Does he talk substantively so to speak? Na je anaimudu lugha?

Huyu bwana ni msukuma mwenzangu, hata bila kusema mengi lugha yake ni ngumu haichambuki kirahisi. Huongea mambo rahisi tu lakini katika hali ngumu kama vile ni mafumbo. Atavutia kweli kwa hii namna anavyoongea? ( verbal intelligence)?

Namalizia kwa kusema Tena" mie ni mtu mwema na huwa Sina vita na watu, Shida yangu Niko so principled.
Nisema uteuzi wa halmashauri kuu ya CcM juu ya Makonda haujanivutia hakika. He is so irrelevant for the job.
Vipi na yule Msemaji Mkuu wa serikali,mbona kawa Bubu ghafla au serikalini hamna habari za kutupasha!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Nilichonote ni kwamba unaandika na kueleza vizuri mambo, mengine tuwaachie CCM wenyewe na lichama lao
 
Mtafute Makonda wa kabla ya u-RC unaweza ukafuta huu uzi wako. Makonda akiwa DC nilikuwa namkubali na hakuwa na mambo ya kifala. Tatizo ni alipoanza kuwa RC. Kwa muda aliokaa nje ya ulingo huenda akawa kajirekebisha. Pia kumbuka kamati kuu hadi ikuteue kuna mchakato mrefu wa kumchunguza mwenendo wake umefanyika. Tujipe muda.
Sofia aliyekaa miezi 3 uenezi hiyo Kamati haikumchunguza kabla ya uteuzi?
 
Mtafute Makonda wa kabla ya u-RC unaweza ukafuta huu uzi wako. Makonda akiwa DC nilikuwa namkubali na hakuwa na mambo ya kifala. Tatizo ni alipoanza kuwa RC. Kwa muda aliokaa nje ya ulingo huenda akawa kajirekebisha. Pia kumbuka kamati kuu hadi ikuteue kuna mchakato mrefu wa kumchunguza mwenendo wake umefanyika. Tujipe muda.
Kamati kuu ndio Nini, kwamba wanauelewa sana ama? Hiyo kamati kuu ingekuwa na uwezo huo tusingeona ccm ikitegemea mbeleko ya vyombo vya Dola kwa kiwango hiki.
 
Kuna namna ambayo hata kama Sina chuki na mtu, hainizuii kutoa dukuduku lililo moyoni mwangu juu ya mtu huyo.


Namalizia kwa kusema Tena" mie ni mtu mwema na huwa Sina vita na watu, Shida yangu Niko so principled.
Nisema uteuzi wa halmashauri kuu ya CcM juu ya Makonda haujanivutia hakika. He is so irrelevant for the job.
Palipoa sana kwenye hiko kiti kaja Kiongozi asiyeogopa kukosea , hapa ni mwendo wa gwaride . Maamuzi ya busara sana kwa CCM
 
Back
Top Bottom