Rais Samia alishabadili namna ya kusalimia, mbona huwa hatung'amui mambo haraka!

El Roi

JF-Expert Member
May 29, 2020
263
502
Nakumbuka wakati Rais ameingia fully kwenye nafasi hiyo, alikuja na salamu iliyokuwa inaanza hivi !Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania" ndipo watu walipoitika " kazi iendelee".

Lakini baada ya muda kidogo, salamu hiyo ilibadilika" Haikuanza tena na Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano ........ bali wakati huo na Sasa anatamka Moja kwa Moja... Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndipo watu huitika " kazi iendelee".

Sikujua na mpaka Sasa sijui kwa hakika with tangible findings kwa nini Rais alibadili gia angani juu ya salamu hii. Hata hivyo,nikiri Mimi binafsi, napendezwa na vile salamu yake ilivyo Sasa na anavyosalimia.. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, basi tunaitikia ...............

Kwangu Mimi salamu hii ilipoanza kutumika, niliona kwa hakika iligubikwa na ukakasi even with no good reasons na ilionekana inaiga (counterfeit) salamu za kiimani. Salamu kama Nawasalimu kwa jina la Yesu, nawasalimu kwa jina la mtume wa mwenyezi Mungu, nk, hizi ni salamu za kiimani (kidini).

Sijui kwa hakika, lakini sauti kutoka ndani yangu (in Paschal Mayala's voice) inaniambia kwa hakika kwamba "Rais hakutaka mgongano huo na salamu za kiimani, na aliepuka kuifanya hii salamu kuonekana kama imeiga salamu za kiimani na hivyo kuonekana anazipa hizo salama za kiimani uzito sawasawa na hii salamu yake". (Kumbuka mambo ya kiimani hufanywa supreme juu ya jambo jingine lolote unapotokea mgongano, hivi ndo tumekuzwa kuamini).

Na Nina hakika baadhi ya viongozi wa dini hawakuwa na furaha sana na hii salamu kama ilivyokuwa inatajwa mwanzoni. (Ilionekana kama inaifanya jamhuri ya muungano kuwa sawa (at par) na majina ya mitume.

Nimshukuru sana Rais kwa style mpya aliyokuja nayo na ambayo kwa kweli inapendeza na inasikika vizuri masikioni.

Tatizo ninaloliona ambalo nashangaa kwa Nini liwepo, ni namna ambavyo watu wengine, wakiwemo viongozi na chawa , wanavyoendelea kutumia ule mtindo wa kwanza wa kusalimia, ambao mwanzilishi wa salamu na kiongozi wetu mkuu ameishauacha.

Ombi la andiko hili ni kutaka kuwaomba watumiaji wa hii salama kumfuata Rais anavyoianza salamu kwa sasa. Na hii ni kwa sababu ukiachia uanzilishi wa hii salamu, yeye ni supreme kwetu wengine wote. Anavyosalimia Sasa ndiyo mwongozo (precedence) dhidi ya utumiaji wa salamu hii.

Kwa Nini hatujui walau kutambua (discerning) jambo rahisi kama hilo?

Kwa andiko hili niwataarifu watumiaji wa salamu hii kwamba, " Rais alitegemea kwamba mpaka Sasa watu wangekuwa wamegundua kwamba namna ya kusalimia ilishabadilika tofauti na alivyoanza."

Salamu sasa ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" kazi iendelee" na siyo Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania" kazi iendelee (wote).

Andiko hili pia litusaidie watanzania kuwa watafiti, watambuzi, na watu ambao Wana makali ya ufahamu wa wakati. (To be curious, discernful/sensitive, and sharp edged knowledgeable)

Tanzania imekuwa jamii inayobadilika kidogokidogo sana kwa sababu ukweli usemwe " we are not that much curious,sensitive and sharp edged knowledgeable".

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.........kazi iendelee.

Usiku mwema my fellow citizens.
 
Kwa style hii itachukua muda sana kuja kugundua kwamba Rais ni mwajiriwa wako, hivyo haupaswi kumtii kipita kiwango.
Umasikini huondoa kujiamini.
Umaskini huleta nidhamu ya uoga
Umaskini huondoa uhuru wa kufikiri.
Umaskini hujishusha na kutoona thamani yako.

Ilinichukua muda kuijua nafasi yangu ya kujitawala na kujiamulia vitu na kuishi haki zangu na kujiamini.

Nchi hii tukimuondoa adui umaskini kati yetu ndipo tutakapojua uhuru kamili na kujiamini..

Chawa ni matokeo ya umaskini ulioshikamana na ngozi na akili
 
Nakumbuka wakati Rais ameingia fully kwenye nafasi hiyo, alikuja na salamu iliyokuwa inaanza hivi !Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania" ndipo watu walipoitika " kazi iendelee".

Lakini baada ya muda kidogo, salamu hiyo ilibadilika" Haikuanza tena na Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano ........ bali wakati huo na Sasa anatamka Moja kwa Moja... Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndipo watu huitika " kazi iendelee".

Sikujua na mpaka Sasa sijui kwa hakika with tangible findings kwa nini Rais alibadili gia angani juu ya salamu hii. Hata hivyo,nikiri Mimi binafsi, napendezwa na vile salamu yake ilivyo Sasa na anavyosalimia.. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, basi tunaitikia ...............

Kwangu Mimi salamu hii ilipoanza kutumika, niliona kwa hakika iligubikwa na ukakasi even with no good reasons na ilionekana inaiga (counterfeit) salamu za kiimani. Salamu kama Nawasalimu kwa jina la Yesu, nawasalimu kwa jina la mtume wa mwenyezi Mungu, nk, hizi ni salamu za kiimani (kidini).

Sijui kwa hakika, lakini sauti kutoka ndani yangu (in Paschal Mayala's voice) inaniambia kwa hakika kwamba "Rais hakutaka mgongano huo na salamu za kiimani, na aliepuka kuifanya hii salamu kuonekana kama imeiga salamu za kiimani na hivyo kuonekana anazipa hizo salama za kiimani uzito sawasawa na hii salamu yake". (Kumbuka mambo ya kiimani hufanywa supreme juu ya jambo jingine lolote unapotokea mgongano, hivi ndo tumekuzwa kuamini).

Na Nina hakika baadhi ya viongozi wa dini hawakuwa na furaha sana na hii salamu kama ilivyokuwa inatajwa mwanzoni. (Ilionekana kama inaifanya jamhuri ya muungano kuwa sawa (at par) na majina ya mitume.

Nimshukuru sana Rais kwa style mpya aliyokuja nayo na ambayo kwa kweli inapendeza na inasikika vizuri masikioni.

Tatizo ninaloliona ambalo nashangaa kwa Nini liwepo, ni namna ambavyo watu wengine, wakiwemo viongozi na chawa , wanavyoendelea kutumia ule mtindo wa kwanza wa kusalimia, ambao mwanzilishi wa salamu na kiongozi wetu mkuu ameishauacha.

Ombi la andiko hili ni kutaka kuwaomba watumiaji wa hii salama kumfuata Rais anavyoianza salamu kwa sasa. Na hii ni kwa sababu ukiachia uanzilishi wa hii salamu, yeye ni supreme kwetu wengine wote. Anavyosalimia Sasa ndiyo mwongozo (precedence) dhidi ya utumiaji wa salamu hii.

Kwa Nini hatujui walau kutambua (discerning) jambo rahisi kama hilo?

Kwa andiko hili niwataarifu watumiaji wa salamu hii kwamba, " Rais alitegemea kwamba mpaka Sasa watu wangekuwa wamegundua kwamba namna ya kusalimia ilishabadilika tofauti na alivyoanza."

Salamu sasa ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" kazi iendelee" na siyo Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania" kazi iendelee (wote).

Andiko hili pia litusaidie watanzania kuwa watafiti, watambuzi, na watu ambao Wana makali ya ufahamu wa wakati. (To be curious, discernful/sensitive, and sharp edged knowledgeable)

Tanzania imekuwa jamii inayobadilika kidogokidogo sana kwa sababu ukweli usemwe " we are not that much curious,sensitive and sharp edged knowledgeable".

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.........kazi iendelee.

Usiku mwema my fellow citizens.
Alitunga hii salamu kukwepa ile "Bwana Yesu asifiwe" siku hizi nasikia hana tena lile dubwasha ndo maana analitamka Jina la Yesu!
 
Nakumbuka wakati Rais ameingia fully kwenye nafasi hiyo, alikuja na salamu iliyokuwa inaanza hivi !Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania" ndipo watu walipoitika " kazi iendelee".

Lakini baada ya muda kidogo, salamu hiyo ilibadilika" Haikuanza tena na Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano ........ bali wakati huo na Sasa anatamka Moja kwa Moja... Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndipo watu huitika " kazi iendelee".

Sikujua na mpaka Sasa sijui kwa hakika with tangible findings kwa nini Rais alibadili gia angani juu ya salamu hii. Hata hivyo,nikiri Mimi binafsi, napendezwa na vile salamu yake ilivyo Sasa na anavyosalimia.. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, basi tunaitikia ...............

Kwangu Mimi salamu hii ilipoanza kutumika, niliona kwa hakika iligubikwa na ukakasi even with no good reasons na ilionekana inaiga (counterfeit) salamu za kiimani. Salamu kama Nawasalimu kwa jina la Yesu, nawasalimu kwa jina la mtume wa mwenyezi Mungu, nk, hizi ni salamu za kiimani (kidini).

Sijui kwa hakika, lakini sauti kutoka ndani yangu (in Paschal Mayala's voice) inaniambia kwa hakika kwamba "Rais hakutaka mgongano huo na salamu za kiimani, na aliepuka kuifanya hii salamu kuonekana kama imeiga salamu za kiimani na hivyo kuonekana anazipa hizo salama za kiimani uzito sawasawa na hii salamu yake". (Kumbuka mambo ya kiimani hufanywa supreme juu ya jambo jingine lolote unapotokea mgongano, hivi ndo tumekuzwa kuamini).

Na Nina hakika baadhi ya viongozi wa dini hawakuwa na furaha sana na hii salamu kama ilivyokuwa inatajwa mwanzoni. (Ilionekana kama inaifanya jamhuri ya muungano kuwa sawa (at par) na majina ya mitume.

Nimshukuru sana Rais kwa style mpya aliyokuja nayo na ambayo kwa kweli inapendeza na inasikika vizuri masikioni.

Tatizo ninaloliona ambalo nashangaa kwa Nini liwepo, ni namna ambavyo watu wengine, wakiwemo viongozi na chawa , wanavyoendelea kutumia ule mtindo wa kwanza wa kusalimia, ambao mwanzilishi wa salamu na kiongozi wetu mkuu ameishauacha.

Ombi la andiko hili ni kutaka kuwaomba watumiaji wa hii salama kumfuata Rais anavyoianza salamu kwa sasa. Na hii ni kwa sababu ukiachia uanzilishi wa hii salamu, yeye ni supreme kwetu wengine wote. Anavyosalimia Sasa ndiyo mwongozo (precedence) dhidi ya utumiaji wa salamu hii.

Kwa Nini hatujui walau kutambua (discerning) jambo rahisi kama hilo?

Kwa andiko hili niwataarifu watumiaji wa salamu hii kwamba, " Rais alitegemea kwamba mpaka Sasa watu wangekuwa wamegundua kwamba namna ya kusalimia ilishabadilika tofauti na alivyoanza."

Salamu sasa ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" kazi iendelee" na siyo Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania" kazi iendelee (wote).

Andiko hili pia litusaidie watanzania kuwa watafiti, watambuzi, na watu ambao Wana makali ya ufahamu wa wakati. (To be curious, discernful/sensitive, and sharp edged knowledgeable)

Tanzania imekuwa jamii inayobadilika kidogokidogo sana kwa sababu ukweli usemwe " we are not that much curious,sensitive and sharp edged knowledgeable".

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.........kazi iendelee.

Usiku mwema my fellow citizens.
Mambo hayo yasikupe shida, labda kaelimishwa kuwa Kiislam salaam ni Asalaam Alaikum tu.

Naipenda zaidi hiyo ya sasa.
 
Nakumbuka wakati Rais ameingia fully kwenye nafasi hiyo, alikuja na salamu iliyokuwa inaanza hivi !Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania" ndipo watu walipoitika " kazi iendelee".

Lakini baada ya muda kidogo, salamu hiyo ilibadilika" Haikuanza tena na Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano ........ bali wakati huo na Sasa anatamka Moja kwa Moja... Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndipo watu huitika " kazi iendelee".

Sikujua na mpaka Sasa sijui kwa hakika with tangible findings kwa nini Rais alibadili gia angani juu ya salamu hii. Hata hivyo,nikiri Mimi binafsi, napendezwa na vile salamu yake ilivyo Sasa na anavyosalimia.. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, basi tunaitikia ...............

Kwangu Mimi salamu hii ilipoanza kutumika, niliona kwa hakika iligubikwa na ukakasi even with no good reasons na ilionekana inaiga (counterfeit) salamu za kiimani. Salamu kama Nawasalimu kwa jina la Yesu, nawasalimu kwa jina la mtume wa mwenyezi Mungu, nk, hizi ni salamu za kiimani (kidini).

Sijui kwa hakika, lakini sauti kutoka ndani yangu (in Paschal Mayala's voice) inaniambia kwa hakika kwamba "Rais hakutaka mgongano huo na salamu za kiimani, na aliepuka kuifanya hii salamu kuonekana kama imeiga salamu za kiimani na hivyo kuonekana anazipa hizo salama za kiimani uzito sawasawa na hii salamu yake". (Kumbuka mambo ya kiimani hufanywa supreme juu ya jambo jingine lolote unapotokea mgongano, hivi ndo tumekuzwa kuamini).

Na Nina hakika baadhi ya viongozi wa dini hawakuwa na furaha sana na hii salamu kama ilivyokuwa inatajwa mwanzoni. (Ilionekana kama inaifanya jamhuri ya muungano kuwa sawa (at par) na majina ya mitume.

Nimshukuru sana Rais kwa style mpya aliyokuja nayo na ambayo kwa kweli inapendeza na inasikika vizuri masikioni.

Tatizo ninaloliona ambalo nashangaa kwa Nini liwepo, ni namna ambavyo watu wengine, wakiwemo viongozi na chawa , wanavyoendelea kutumia ule mtindo wa kwanza wa kusalimia, ambao mwanzilishi wa salamu na kiongozi wetu mkuu ameishauacha.

Ombi la andiko hili ni kutaka kuwaomba watumiaji wa hii salama kumfuata Rais anavyoianza salamu kwa sasa. Na hii ni kwa sababu ukiachia uanzilishi wa hii salamu, yeye ni supreme kwetu wengine wote. Anavyosalimia Sasa ndiyo mwongozo (precedence) dhidi ya utumiaji wa salamu hii.

Kwa Nini hatujui walau kutambua (discerning) jambo rahisi kama hilo?

Kwa andiko hili niwataarifu watumiaji wa salamu hii kwamba, " Rais alitegemea kwamba mpaka Sasa watu wangekuwa wamegundua kwamba namna ya kusalimia ilishabadilika tofauti na alivyoanza."

Salamu sasa ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" kazi iendelee" na siyo Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania" kazi iendelee (wote).

Andiko hili pia litusaidie watanzania kuwa watafiti, watambuzi, na watu ambao Wana makali ya ufahamu wa wakati. (To be curious, discernful/sensitive, and sharp edged knowledgeable)

Tanzania imekuwa jamii inayobadilika kidogokidogo sana kwa sababu ukweli usemwe " we are not that much curious,sensitive and sharp edged knowledgeable".

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.........kazi iendelee.

Usiku mwema my fellow citizens.

Andiko la kujipendendekeza.
 
Sijui kwa hakika, lakini sauti kutoka ndani yangu (in Paschal Mayala's voice) inaniambia kwa hakika kwamba "Rais hakutaka mgongano huo na salamu za kiimani, na aliepuka kuifanya hii salamu kuonekana kama imeiga salamu za kiimani na hivyo kuonekana anazipa hizo salama za kiimani uzito sawasawa na hii salamu yake". (Kumbuka mambo ya kiimani hufanywa supreme juu ya jambo jingine lolote unapotokea mgongano, hivi ndo tumekuzwa kuamini).
Naunga mkono hoja, the Voices from within ndio sauti ya YEYE aliye ndani yako hivyo huu ndio ukweli wenyewe!.
Andiko hili pia litusaidie watanzania kuwa watafiti, watambuzi, na watu ambao Wana makali ya ufahamu wa wakati. (To be curious, discernful/sensitive, and sharp edged knowledgeable)

Tanzania imekuwa jamii inayobadilika kidogokidogo sana kwa sababu ukweli usemwe " we are not that much curious,sensitive and sharp edged knowledgeable".
Naunga mkono hoja.
P
 
Nakumbuka wakati Rais ameingia fully kwenye nafasi hiyo, alikuja na salamu iliyokuwa inaanza hivi !Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania" ndipo watu walipoitika " kazi iendelee".

Lakini baada ya muda kidogo, salamu hiyo ilibadilika" Haikuanza tena na Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano ........ bali wakati huo na Sasa anatamka Moja kwa Moja... Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndipo watu huitika " kazi iendelee".

Sikujua na mpaka Sasa sijui kwa hakika with tangible findings kwa nini Rais alibadili gia angani juu ya salamu hii. Hata hivyo,nikiri Mimi binafsi, napendezwa na vile salamu yake ilivyo Sasa na anavyosalimia.. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, basi tunaitikia ...............

Kwangu Mimi salamu hii ilipoanza kutumika, niliona kwa hakika iligubikwa na ukakasi even with no good reasons na ilionekana inaiga (counterfeit) salamu za kiimani. Salamu kama Nawasalimu kwa jina la Yesu, nawasalimu kwa jina la mtume wa mwenyezi Mungu, nk, hizi ni salamu za kiimani (kidini).

Sijui kwa hakika, lakini sauti kutoka ndani yangu (in Paschal Mayala's voice) inaniambia kwa hakika kwamba "Rais hakutaka mgongano huo na salamu za kiimani, na aliepuka kuifanya hii salamu kuonekana kama imeiga salamu za kiimani na hivyo kuonekana anazipa hizo salama za kiimani uzito sawasawa na hii salamu yake". (Kumbuka mambo ya kiimani hufanywa supreme juu ya jambo jingine lolote unapotokea mgongano, hivi ndo tumekuzwa kuamini).

Na Nina hakika baadhi ya viongozi wa dini hawakuwa na furaha sana na hii salamu kama ilivyokuwa inatajwa mwanzoni. (Ilionekana kama inaifanya jamhuri ya muungano kuwa sawa (at par) na majina ya mitume.

Nimshukuru sana Rais kwa style mpya aliyokuja nayo na ambayo kwa kweli inapendeza na inasikika vizuri masikioni.

Tatizo ninaloliona ambalo nashangaa kwa Nini liwepo, ni namna ambavyo watu wengine, wakiwemo viongozi na chawa , wanavyoendelea kutumia ule mtindo wa kwanza wa kusalimia, ambao mwanzilishi wa salamu na kiongozi wetu mkuu ameishauacha.

Ombi la andiko hili ni kutaka kuwaomba watumiaji wa hii salama kumfuata Rais anavyoianza salamu kwa sasa. Na hii ni kwa sababu ukiachia uanzilishi wa hii salamu, yeye ni supreme kwetu wengine wote. Anavyosalimia Sasa ndiyo mwongozo (precedence) dhidi ya utumiaji wa salamu hii.

Kwa Nini hatujui walau kutambua (discerning) jambo rahisi kama hilo?

Kwa andiko hili niwataarifu watumiaji wa salamu hii kwamba, " Rais alitegemea kwamba mpaka Sasa watu wangekuwa wamegundua kwamba namna ya kusalimia ilishabadilika tofauti na alivyoanza."

Salamu sasa ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" kazi iendelee" na siyo Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania" kazi iendelee (wote).

Andiko hili pia litusaidie watanzania kuwa watafiti, watambuzi, na watu ambao Wana makali ya ufahamu wa wakati. (To be curious, discernful/sensitive, and sharp edged knowledgeable)

Tanzania imekuwa jamii inayobadilika kidogokidogo sana kwa sababu ukweli usemwe " we are not that much curious,sensitive and sharp edged knowledgeable".

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.........kazi iendelee.

Usiku mwema my fellow citizens.
Maneno ya Mwanzo yalikuwa yanafanya salamu kuwa ndefu,saizi Iko shortened so ni poa.
 
Alikuwa anakwepa kusema 'Tumsifu Yesu Kristu' na 'Bwana Yesu asifiwe' kaja na salamu mpya IMEBUMA😁
 
Salaam kwa jina la MUNGU ndiyo sahihi, siyo vingineyvo. Alikosea sana mwanzoni kwa ivi sasa hiyo salaam ndiyo sawa
 
Nakumbuka wakati Rais ameingia fully kwenye nafasi hiyo, alikuja na salamu iliyokuwa inaanza hivi !Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania" ndipo watu walipoitika " kazi iendelee".

Lakini baada ya muda kidogo, salamu hiyo ilibadilika" Haikuanza tena na Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano ........ bali wakati huo na Sasa anatamka Moja kwa Moja... Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndipo watu huitika " kazi iendelee".

Sikujua na mpaka Sasa sijui kwa hakika with tangible findings kwa nini Rais alibadili gia angani juu ya salamu hii. Hata hivyo,nikiri Mimi binafsi, napendezwa na vile salamu yake ilivyo Sasa na anavyosalimia.. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, basi tunaitikia ...............

Kwangu Mimi salamu hii ilipoanza kutumika, niliona kwa hakika iligubikwa na ukakasi even with no good reasons na ilionekana inaiga (counterfeit) salamu za kiimani. Salamu kama Nawasalimu kwa jina la Yesu, nawasalimu kwa jina la mtume wa mwenyezi Mungu, nk, hizi ni salamu za kiimani (kidini).

Sijui kwa hakika, lakini sauti kutoka ndani yangu (in Paschal Mayala's voice) inaniambia kwa hakika kwamba "Rais hakutaka mgongano huo na salamu za kiimani, na aliepuka kuifanya hii salamu kuonekana kama imeiga salamu za kiimani na hivyo kuonekana anazipa hizo salama za kiimani uzito sawasawa na hii salamu yake". (Kumbuka mambo ya kiimani hufanywa supreme juu ya jambo jingine lolote unapotokea mgongano, hivi ndo tumekuzwa kuamini).

Na Nina hakika baadhi ya viongozi wa dini hawakuwa na furaha sana na hii salamu kama ilivyokuwa inatajwa mwanzoni. (Ilionekana kama inaifanya jamhuri ya muungano kuwa sawa (at par) na majina ya mitume.

Nimshukuru sana Rais kwa style mpya aliyokuja nayo na ambayo kwa kweli inapendeza na inasikika vizuri masikioni.

Tatizo ninaloliona ambalo nashangaa kwa Nini liwepo, ni namna ambavyo watu wengine, wakiwemo viongozi na chawa , wanavyoendelea kutumia ule mtindo wa kwanza wa kusalimia, ambao mwanzilishi wa salamu na kiongozi wetu mkuu ameishauacha.

Ombi la andiko hili ni kutaka kuwaomba watumiaji wa hii salama kumfuata Rais anavyoianza salamu kwa sasa. Na hii ni kwa sababu ukiachia uanzilishi wa hii salamu, yeye ni supreme kwetu wengine wote. Anavyosalimia Sasa ndiyo mwongozo (precedence) dhidi ya utumiaji wa salamu hii.

Kwa Nini hatujui walau kutambua (discerning) jambo rahisi kama hilo?

Kwa andiko hili niwataarifu watumiaji wa salamu hii kwamba, " Rais alitegemea kwamba mpaka Sasa watu wangekuwa wamegundua kwamba namna ya kusalimia ilishabadilika tofauti na alivyoanza."

Salamu sasa ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" kazi iendelee" na siyo Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania" kazi iendelee (wote).

Andiko hili pia litusaidie watanzania kuwa watafiti, watambuzi, na watu ambao Wana makali ya ufahamu wa wakati. (To be curious, discernful/sensitive, and sharp edged knowledgeable)

Tanzania imekuwa jamii inayobadilika kidogokidogo sana kwa sababu ukweli usemwe " we are not that much curious,sensitive and sharp edged knowledgeable".

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.........kazi iendelee.

Usiku mwema my fellow citizens.

Hii salamu ya Jamhuri ya Muungano,kazi iendelee ni salamu nzuri sana kwa taifa lenye jamii na imani mbalimbali,salamu hii inawaunganisha wote.
 
Nakumbuka wakati Rais ameingia fully kwenye nafasi hiyo, alikuja na salamu iliyokuwa inaanza hivi !Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania" ndipo watu walipoitika " kazi iendelee".

Lakini baada ya muda kidogo, salamu hiyo ilibadilika" Haikuanza tena na Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano ........ bali wakati huo na Sasa anatamka Moja kwa Moja... Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndipo watu huitika " kazi iendelee".

Sikujua na mpaka Sasa sijui kwa hakika with tangible findings kwa nini Rais alibadili gia angani juu ya salamu hii. Hata hivyo,nikiri Mimi binafsi, napendezwa na vile salamu yake ilivyo Sasa na anavyosalimia.. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, basi tunaitikia ...............

Kwangu Mimi salamu hii ilipoanza kutumika, niliona kwa hakika iligubikwa na ukakasi even with no good reasons na ilionekana inaiga (counterfeit) salamu za kiimani. Salamu kama Nawasalimu kwa jina la Yesu, nawasalimu kwa jina la mtume wa mwenyezi Mungu, nk, hizi ni salamu za kiimani (kidini).

Sijui kwa hakika, lakini sauti kutoka ndani yangu (in Paschal Mayala's voice) inaniambia kwa hakika kwamba "Rais hakutaka mgongano huo na salamu za kiimani, na aliepuka kuifanya hii salamu kuonekana kama imeiga salamu za kiimani na hivyo kuonekana anazipa hizo salama za kiimani uzito sawasawa na hii salamu yake". (Kumbuka mambo ya kiimani hufanywa supreme juu ya jambo jingine lolote unapotokea mgongano, hivi ndo tumekuzwa kuamini).

Na Nina hakika baadhi ya viongozi wa dini hawakuwa na furaha sana na hii salamu kama ilivyokuwa inatajwa mwanzoni. (Ilionekana kama inaifanya jamhuri ya muungano kuwa sawa (at par) na majina ya mitume.

Nimshukuru sana Rais kwa style mpya aliyokuja nayo na ambayo kwa kweli inapendeza na inasikika vizuri masikioni.

Tatizo ninaloliona ambalo nashangaa kwa Nini liwepo, ni namna ambavyo watu wengine, wakiwemo viongozi na chawa , wanavyoendelea kutumia ule mtindo wa kwanza wa kusalimia, ambao mwanzilishi wa salamu na kiongozi wetu mkuu ameishauacha.

Ombi la andiko hili ni kutaka kuwaomba watumiaji wa hii salama kumfuata Rais anavyoianza salamu kwa sasa. Na hii ni kwa sababu ukiachia uanzilishi wa hii salamu, yeye ni supreme kwetu wengine wote. Anavyosalimia Sasa ndiyo mwongozo (precedence) dhidi ya utumiaji wa salamu hii.

Kwa Nini hatujui walau kutambua (discerning) jambo rahisi kama hilo?

Kwa andiko hili niwataarifu watumiaji wa salamu hii kwamba, " Rais alitegemea kwamba mpaka Sasa watu wangekuwa wamegundua kwamba namna ya kusalimia ilishabadilika tofauti na alivyoanza."

Salamu sasa ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" kazi iendelee" na siyo Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania" kazi iendelee (wote).

Andiko hili pia litusaidie watanzania kuwa watafiti, watambuzi, na watu ambao Wana makali ya ufahamu wa wakati. (To be curious, discernful/sensitive, and sharp edged knowledgeable)

Tanzania imekuwa jamii inayobadilika kidogokidogo sana kwa sababu ukweli usemwe " we are not that much curious,sensitive and sharp edged knowledgeable".

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.........kazi iendelee.

Usiku mwema my fellow citizens.
Ungetumia huo muda kutafuta pesa au mambo yenye direct impact kwa Jamii iliyokuzunguka tungekua tumepiga hatua kubwa
 
Back
Top Bottom