Wakuu
Ni jambo la kusikitisha na kuuzunisha kwa baba au mkuu wa nchi kusafiri na kuacha nchi yake katika dimbwi la matatizo.
Kwa habari nilizo zipata mkuu wa nchi yupo Kenya na mkewe amelakiwa na Kibaki, ni jambo la kushangaza sana embu tujadili hili swala bila kuweka itikadi zetu hapa...
Wakuu,
Nimeshuka hapa kituo cha Jangwani naelekea moja kwa moja mpaka kiwanjani, napishana na defender ikiwa na askari watatu...
Nitazidi kuwapa update
PICHA kwa hisani ya Blog ya Mjengwa:
Wadau nimesikitika sana kwa kitendo cha baba rizi 1 kutohudhuria mazishishi ya wanajeshi walio kufa sudani... Hatimae amekwenda kampala,,hii ni jinsi gani inaonesha jeshi letu halithaminiwi
Hapa imekaaje wadau
Kambi rasmi ya upinzani bungeni,imesema tz inastahili kuingia katika kitabu cha kumbukumbu cha maajabu ya dunia cha the guinness book of records kwa kufaulisha wanafunzi 5200wasiojua kusoma wala kuandika hii ni kashfa kubwa kwa serekali ya ccm
soure mwananchi jumanne agasti 14/ 2012
ngoja...
Ndugu wadau
nimejiuza maswali mengi sana kwanini rais wa kenya aliamua kuweka mafuta kwenye ndege na kuziwasha usiku wa manane kuja tz kuwafata majerui na maiti,,najiuliza kwanini awafate usiku wa manane tena kwa ndege??
Kwanini asinge waacha hospitali kuu ya taifa muhimbili watibiwe then...
Aisee baba yangu naangalia itv hapa kwa mwenyekiti wa kijiji hizi ajali zitatumaliza,nilikuwa na mpango wa kwenda dar es salaam tanzania ila nimegairi mpaka mwezi wa kumi 10 manake nasikia huu mwezi si mchezo ngoja nigoje habari ya pili huku nikingoja mbege
Wadau
Kituo cha kwa Manyanya kimekidhili wavuta unga na mateja nnje nnje ukipita hapo utawaona wanavyojidunga madawa yao na kuvuta bangi, cha kushangaza nyumba ya nne kutoka hapo ni nyumba ya diwani wao aitwae tarimba CCM na cha kusikitisha zaidi ni polisi kupita kila siku wakielekea mahakama ya...
wadau tarehe 2 mwezi wa 5 mahaka kuu inamvua ubunge mbunge wa tabata segerea so vijana kwa wazee wote tukae mkao wa kula kwa uchaguzi mwingine..cha msingi ni kuhakikisha tunaweka stashahada zetu vizuri....na kujitokeza kwa wingi kituoni kuwaadhibu magamba kwa mara ya pili mfululizo...
mimi ni moja wa washabiki wa man u,
leo nimeangalia mpira kwanzia dakika ya kwanza mpaka ya mwisho
kiukeli kutoka moyoni kwangu leo tumebebwa
mchezaji wa city hakustahili kupewa kadi njekundu,
japokuwa walikuwa pungufu walituzidi kimpira leo ,halina ubishi hilo
miezi takribani 8 au 9 iliyopita nikiskiza kipindi katika moja ya radio radio maharufu sana hapa dar city,,ikimdhalilisha afade sasa kwamba anarasta chafu, haog,i anavuta bangi. kiukweli walimdhalilisha sana ,,ikafikia kipindi hawapigi nyimbo zake redioni sasa inakuaje afande sele umewapigia...
habari zenu wana JF
nimesoma kwenye gazeti yakwamba laptop humaliza nguvu za kiume hasa pale unapotumia internet [ ukiipakata kwenye mapaja ]
swali langu ni hii::
hawa dada zetu wanavyo zipakata nao wako hatarini kuadhilika kama sisi wanaume NB kupoteza nguvu za kike ect
wana jf naomba kulizi mpenzi wangu amekuwa akisumbuliwa na tatizo la kutokwa na maji maji ukeni kiasi cha kufanya nishindwe kumwingilia tatizo ni nini hapa wakuuuu
wadau hapa mtaani kwetu kuna mganga wa kienyeji kutoka simbawanga anadai anarudisha bikra wa madada wote walio poteza
et kweli wadau inawezekana??????/
au anataka kuwatapeli pesa zao
Dr naomba unisaidie mimi ni mvulana....nimekuwa nikiumwa tumbo la kuhara na kukata kwa muda wa siku 1 au 2 pindi tu ninapotoka kufanya ngono na mpenzi wangu ,,nilibadili mpenzi lakina tatizo liko pale pale
naomba msahada wenu
Mpenzi wangu hajui kuhesabu siku zake za kwenda mwezini na ana umri wa miaka 24 hajui siku zake za hatari yani kushika ujauzito kila siku nampa somo lakini aelewi nifanjaje ndugu zangu?
et wana janvi ile ndega ya rais iliyo tucost 40bil bado ipo au imeuzwa na kama ipo mbona haitumiki...na kama haitumiki kwanini tusipige bei..na hiyo pesa tuwape wanafunzi walio kosa mkopo vioni
Ndugu zangu naomba usauri wenu ,,, nini ni mwanafunzi wa chuo.nilikuwa na nchumba wangu wa kidato cha 6,,alikuwa akinidharau sana,matusi sana,na alikuwa hakiniwekea masharti wakati wa kula tunda,,sasa amemaliza kidato cha 6 na amepata 0 aninilazimisha turudiane wakati ni na chombo cha chuo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.