MATESLAA
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,246
- 74
habari zenu wana JF
nimesoma kwenye gazeti yakwamba laptop humaliza nguvu za kiume hasa pale unapotumia internet [ ukiipakata kwenye mapaja ]
swali langu ni hii::
hawa dada zetu wanavyo zipakata nao wako hatarini kuadhilika kama sisi wanaume NB kupoteza nguvu za kike ect
nimesoma kwenye gazeti yakwamba laptop humaliza nguvu za kiume hasa pale unapotumia internet [ ukiipakata kwenye mapaja ]
swali langu ni hii::
hawa dada zetu wanavyo zipakata nao wako hatarini kuadhilika kama sisi wanaume NB kupoteza nguvu za kike ect