MATESLAA
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,246
- 74
Ndugu wadau
nimejiuza maswali mengi sana kwanini rais wa kenya aliamua kuweka mafuta kwenye ndege na kuziwasha usiku wa manane kuja tz kuwafata majerui na maiti,,najiuliza kwanini awafate usiku wa manane tena kwa ndege??
Kwanini asinge waacha hospitali kuu ya taifa muhimbili watibiwe then atume basi liwafate maiti???? Ua hatuaminika coz si mara ya kwanza hata wale wanakwaya wa kigali walifatwa ivyo ivyo na ndege za wakuu wao wa nchi
je sisi tukipata maafa nnje ya nchi 2tatendewa kama wenzetu
nimejiuza maswali mengi sana kwanini rais wa kenya aliamua kuweka mafuta kwenye ndege na kuziwasha usiku wa manane kuja tz kuwafata majerui na maiti,,najiuliza kwanini awafate usiku wa manane tena kwa ndege??
Kwanini asinge waacha hospitali kuu ya taifa muhimbili watibiwe then atume basi liwafate maiti???? Ua hatuaminika coz si mara ya kwanza hata wale wanakwaya wa kigali walifatwa ivyo ivyo na ndege za wakuu wao wa nchi
je sisi tukipata maafa nnje ya nchi 2tatendewa kama wenzetu