Wadau nimesikitika sana
kwa kitendo cha baba rizi 1 kutohudhuria mazishishi ya wanajeshi walio
kufa sudani... Hatimae amekwenda kampala,,hii ni jinsi gani inaonesha
jeshi letu halidhaminiwi
hapa inakaaje wadau
Habari yafo mmeku?sasa ug si nisawa na tz au anapenda kukaaa hewani kama popo!!!! Sijui ingekuaje kama angekuwa anasafiri na basi
Ngikeri Daslam mmeku. Nave ni kuukeri?nashatiki mmeku teamba wawakwa kuukeri??
ajigawe mara ngapi? km makaburi yao ataenda kuyaangalia
Ikulu kuna Itifaki, na Mkuu wa Majeshi Mwamunyange alimuwakilisha. sasa MKUU ROMBO utahudhuria mazishi Nchi nzima mpaka hata ya kule alikowakilisha Mwandosya (kwa D Mwangosi) mtajauliza mbona hakwenda
ajigawe mara ngapi? km makaburi yao ataenda kuyaangalia
Ikulu kuna Itifaki, na Mkuu wa Majeshi Mwamunyange alimuwakilisha. sasa MKUU ROMBO utahudhuria mazishi Nchi nzima mpaka hata ya kule alikowakilisha Mwandosya (kwa D Mwangosi) mtajauliza mbona hakwenda
sasa ug si nisawa na tz au anapenda kukaaa hewani kama popo!!!! Sijui ingekuaje kama angekuwa anasafiri na basi