Ndugu wanajamvi napenda kujua kama spare parts za audi zinapatikana bongo hapa. Maana kuna mtu anataka nimwagizie audi ila sasa kabla sijamuagizia ni bora nikajua upatikanaji wa spare nisije kulaumiwa. Anayenijibu naomba anitag.
asanteni sana weekend njema
Habari wana jamvi. Natafuta nyimbo za mwanamziki Caz T aka mwana wa komba. Ki ukweli nimezimiss sana hizo nyimbo. Yeyote mwenye taarifa mahali zinapatikana tafadhari anisaidie. Naomba ukijibu unitag ama unikoti.
Asanteni sana.
Waheshimiwa wana jamvi habari zenu. Hivi karibuni nataka kuagiza gari aina ya Mercedes benz ML270 kwa USD 6790 CIF Dar es Salaam, ina cc2700, Diesel, mwaka 2000.
Naomba kujua endapo nitaagiza gari hii kodi yake mpaka kuitoa bandarini itakuwa sh ngapi? Naombeni msaada wenu wataalamu wa kodi...
Habari zenu wana-JF
Nikiwa katika mchakato wa kuagiza gari, nimekutana na vitu vifuatavyo ambavyo ningependa ufafanuzi wenu wadau wa JF. Kwa ujumla sijaelewa tofauti kati ya "Motor vehicles with Import duty and VAT only" na Motor vehicles with Import duty , Excise Duty and VAT. Naomba...
Binafsi nimevutiwa sana na gari ya aina ya BMW 3 Series (318i) na Subaru Impreza. Lakini kabla sijafikia uamuzi ni gari gani ninunue kati ya hayo mawili ningeomba ushauri wenu wana-JF hapa jamvini na mnipe sababu za kiufundi kuhusu magari yote hayo mawili kila moja hasara na faida zake...
Wapare
wanaume:
1. wanapenda nguo za dukani
2. wanapenda kuulamba
3. wanapenda kajiheshima kwa watu
4. wanapenda sifa
5. wanapenda sana ngono na hasa kudanganya visichana
6. wanapenda kuongea kiingereza
7. wakarimu
8. vinapenda sana bia
wanawake
1. wanapenda sana kuolewa
2. wanagawa sana uroda...
Wadau mimi napenda kuuliza kama pana mwanaJF yeyote anayeijua shule nzuri (English medium) ya chekechea na primary iliyopo maeneo ya Tegeta, wazo ama madale. Pia nijuwe kama shule hiyo ina magari kwa ajili ya usafiri wa watoto. Naomba kuwakilisha na asanteni sana kwa kuisoma post yangu. Mungu...
Hii ndo hali halisi na hapo ni kwa madaktari tu lakini sehemu zote ndo ilivyo tukianzia kwa walimu, polisi, nk. Bora hata polisi wanapanda daladala bure, Na walimu je?
we hicho kimeo mie siwezi chukua hata bure kwanza mie si mtu wa brand hiyo. platz? what is platz bwana? mie mtu wa magari ya kazi na masafa kaka unanionaje? do i look like i care? hahahahah, mi siwezi kuendesha kimeo kama hicho bhana na tatizo si fedha ya kununua gari ila hicho kimeo na...
Muhuri wa Utengano wa JF
Idara ya Siri, Habari na Mwasiliano - Makao makuu
P.O. Box 2011
Da Lala Salama
Taarivya kwa byombo bya habari
Ifuatayo ni hotuba ya Mheshimiwa sana Yutong (MB)
Ndungu wazee wa JF niwapongeze kwa kuhudhuria wito wangu, pili niwapongeze mke wangu mama Preta Yutong kwa...
Jamani wanajf hebu tujaribu kufikiria soka la tanzania wakati ule mapaka sasa, je unafikiri limepanda kiwango ama limeshuka? na unadhani nani kahusika ktk kulishusha ama kulipandisha kiwango? Nakumbuka enzi hizo kulikuwa na wachezaji kama akina Husein Masha, Athuman China, Idd Pazi, Rosta...
Nataka kununua LED TV kati ya Brand zilizotajwa hapo juu, lakini mi nimechanganyikiwa ninunue ipi kati ya hizo? naomba ushauri wa kitaalamu na uzoefu katika hizi led tv mbili. Niende kwa Sony au Samsung TV? Ipi ni bora?
Habari zenu madr wa jf! Mimi nasumbuliwa sana na maumivu ya shingo sehemu ya nyuma yahani kuanziwa kwenye kisogo mpaka sehemu za mabega.
Je tatizo itakuwa nini? Na je kuna tiba yoyote naweza pata? Asanteni sana wakuu
Kitendawili wanaJF ... bila shaka mtaitikia tegaaa:
Ni handsome boy
Anapenda safari za nje
Chukua akili za kwako changanya na za mbayuwayu.. eh
sizihitaji kura za wafanyakazi
hata nyoka akizeeka anajivua gamba
hawezi kujibadili kuwa wingu akanyeshe mtera
haya kazi kwako kutegua kitendawili
Basi leo ngoja niwarudishe enzi za 1980's na 1990's wakati huo nchi ikiwa haijauzwa. Palikuwa na mabasi ya Layland CD wakati huo Scania ndo dili. Mnakumbuka Mabasi haya?
Igesa Line
Kwacha
Safina
Gold Line
Widambe
Mwaafrika
Makete
Siri Yako
Super Star
Railway
Kamata
Bin Klebo Bus Service
Kiswele...
Utaratibu huu wa uteuzi wa makatibu wakuu wa wizara na viongozi wengine wa serikali uliopo sasa hivi unaturudisha nyuma sana. Yahani jinsi ilivyo sasa kila kitu kinasubiri maamuzi ya rais, kweli ni haki hii? kila kitu rais tu jamani? Ah amejirudinkia madaraka makubwa mno na hapo kweli kunahaja...
WanaJF heshima zenu wa kuu! Maana nyie ndo kama bunge la jamhuri ya tanganyika. Nahitaji kusikiliza BBC Swahili live online, nifanyaje? Naomba msaada please.
Ndugu wanaJF hebu tujikumbushe bendi zetu za zamani wakati ambapo nyerere alikuwa hana utani na mafisadi'
1. Tancut Alumas Orchestra (ikiwa na kina John Kitime)
2. Bima Lee Orchesta
3. Vijana Jazz Orchestra (Ahmed Maneti, Kida Waziri enzi hizo) walitamba sana na Ngapulila, Mwisho wa Mwezi, Wifi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.