yutong
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 1,601
- 338
Wadau mimi napenda kuuliza kama pana mwanaJF yeyote anayeijua shule nzuri (English medium) ya chekechea na primary iliyopo maeneo ya Tegeta, wazo ama madale. Pia nijuwe kama shule hiyo ina magari kwa ajili ya usafiri wa watoto. Naomba kuwakilisha na asanteni sana kwa kuisoma post yangu. Mungu awabariki wote