matusi

yutong

JF-Expert Member
Apr 15, 2011
1,601
338
Mpendwa Bibi yutong,

Kutokana na juhudi ulizoonesha kwenye kuchangia katika uzi huu pamoja na malalamiko kadha wa kadha uliyotoa kuhusu ukubwa wa bei ya bidhaa, nimeamua kukupa punguzo la asilimia 99% na hivyo kukuuzia bidhaa hiyo kwa shilingi za kitanzania 69,000 taslimu. Ukiwa tayari umeshakusanya kiwango hicho cha fedha kuwa huru kuwasiliana nami wakati wowote nikupe bidhaa hiyo. Nitahakikisha nimeiweka tu kukusubiri utakapokuwa tayari kwa malipo.Kama una malalamiko zaidi au unahitaji punguzo zaidi usisite kuwasiliana nami au kuandika tu katika uzi huu. Usiwe na hofu kuhusu ukarabati wa bidhaa baada ya manunuzi kwani nimeamua nitakufanyia bure kwa kipindi cha miaka 10. Ingawa sijaamua kuwa nakujazia mafuta, jisikie huru kuwasiliana nami wakati wowote utakapohitaji hela ya mafuta pia baada ya manunuzi. Ila kuna sharti moja tu: Nitumie picha yako nione kama unafaa kupewa punguzo hilo na marupurupu hayo. Nakushukuru sana na natumai tutafanya biashara.

Ma-salaam,
CarForSale

PS. Tuma picha kwenda BlackMamba@BigBlackDudes.com

we hicho kimeo mie siwezi chukua hata bure kwanza mie si mtu wa brand hiyo. platz? what is platz bwana? mie mtu wa magari ya kazi na masafa kaka unanionaje? do i look like i care? hahahahah, mi siwezi kuendesha kimeo kama hicho bhana na tatizo si fedha ya kununua gari ila hicho kimeo na wahatarisha wenye vipesa vya mikopo na pesa za kustaafu wasije wakaingia mkenge. Mie kaka si mtu wa kuendesha mikweche kama hiyo. We kama ulinunua kimeo na unataka umbambike mtu nasema umeshindwa washamba wa magari ndo watanunua hiyo. Kwanza mie nikikuwekea mkoko wangu hapa unaweza ukakikmbia humu JF. Fanyeni kazi wabongo acheni udadalali na utapeli bhana.
 
we hicho kimeo mie siwezi chukua hata bure kwanza mie si mtu wa brand hiyo. platz? what is platz bwana? mie mtu wa magari ya kazi na masafa kaka unanionaje? do i look like i care? hahahahah, mi siwezi kuendesha kimeo kama hicho bhana na tatizo si fedha ya kununua gari ila hicho kimeo na wahatarisha wenye vipesa vya mikopo na pesa za kustaafu wasije wakaingia mkenge. Mie kaka si mtu wa kuendesha mikweche kama hiyo. We kama ulinunua kimeo na unataka umbambike mtu nasema umeshindwa washamba wa magari ndo watanunua hiyo. Kwanza mie nikikuwekea mkoko wangu hapa unaweza ukakikmbia humu JF. Fanyeni kazi wabongo acheni udadalali na utapeli bhana.

Bado sija-receive picha yako, mrembo. My offer stands. And, yeah, you obviously "care". You wouldn't be posting to this thread otherwise. Nataka huu uzi uwe benchmark kwa wapuuzi wote wanaopenda kuponda vitu without backing up their criticism. Sio unakuja hapa na kuanza kuropokaropoka tu only because you got nothing better to do. Fu**ing faggots!
 
Back
Top Bottom